Bila picha, itakuwa uzushi tuWadau wa siasa ,ningepeda kujua, kuna mwenyekiti wa chama anaitwa ,FAHAMI DOVUTWA, anapenda sana kuvaa kofia nyekundu ,je ni sare ya uniform za chama chake au ni mmoja wa makomando waliofeli kwenye uwanja wa mafunzo?? Hivyo huvaa ili kujipongeza kwa hatua aliyofikia
Wadau wa siasa ,ningepeda kujua, kuna mwenyekiti wa chama anaitwa ,FAHAMI DOVUTWA, anapenda sana kuvaa kofia nyekundu ,je ni sare ya uniform za chama chake au ni mmoja wa makomando waliofeli kwenye uwanja wa mafunzo?? Hivyo huvaa ili kujipongeza kwa hatua aliyofikia
Wadau wa siasa ,ningepeda kujua, kuna mwenyekiti wa chama anaitwa ,FAHAMI DOVUTWA, anapenda sana kuvaa kofia nyekundu ,je ni sare ya uniform za chama chake au ni mmoja wa makomando waliofeli kwenye uwanja wa mafunzo?? Hivyo huvaa ili kujipongeza kwa hatua aliyofikia
Jamaa anachukuaga fomu za urais halafu baadae anajitoa kugombea halafu anawaelekeza wanachama wake wampigie kura mgombea wa CCM, bangi zina madhara mbalimbali.
Alikuwa ananikera kweli huyu! Nafikiri alikuwa PANDIKIZI LA KIKWETE. Kwani kwenye uongozi/Utawala wa AWAMU YA NNE, alikuwa anawakaba kweli "Wapinzani wenzake"! Awamu hii, imeonyesha HANA CHA KUSAIDIA! Apambane na hali yake!Jamaa anachukuaga fomu za urais halafu baadae anajitoa kugombea halafu anawaelekeza wanachama wake wampigie kura mgombea wa CCM, bangi zina madhara mbalimbali.
Huyu mzee ni kibaraka tu naeJamaa anachukuaga fomu za urais halafu baadae anajitoa kugombea halafu anawaelekeza wanachama wake wampigie kura mgombea wa CCM, bangi zina madhara mbalimbali.