sijaona mantiki yako hapo sasa sijui unataka kuuaminisha nini umma wa kitanzania? sio kila mtu ANAKUA EASLY TAKEN na ujimga wako na usifanye kua watu wanachama wa CDM hawjitambui ila maskini walio CCM kimsingi ndio wenye akili....uko wrong!
Kwanin madai ya watu hayasikilizwi? Na kwanin kila panapokua na madai ya wananchi inageuzwa kua uchochezi na watetez kuwekwa ndan? Kamuhanda kama unasali hutaionja pepo
Inakuaje wale waliotumwa na jamhuri kwenda kutuliza ghasia zilizosababishwa na udini wao ndio wamegeuka waporaji wa mali za raia mpakani tunduma? central government inafanya nin mpaka kunatokea eruption ya haya mambo tena? wananchi waelewe nini hapo? Wanatumia nguvu nyingi wananchi wamekimbia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.