Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,021
- 9,177
hapa moshi wamachingwa wamejipanga mbele ya kituo kikuu cha policy kwa raha zao
Haha, hope kamanda wa polisi wa huku ni muelewa, Tunaweza pata picha!
hapa moshi wamachingwa wamejipanga mbele ya kituo kikuu cha policy kwa raha zao
Taratibu kijana, acha jazba.
Hamna mmachinga anayenyanyaswa na polisi. Polisi wanachofanya ni kulinda raia na mali zao, kwa case ya iringa wanazuia uvunjwaji wa amani unaosababishwa na wamachinga kupitia kwa mbunge ambaye ni mchungaji. Nilitegemea wachungaji ndio wahubiri amani, lakini kumbe siyo hivyo!
Ninashangaa sana watu mnavyoleta habari za CCM hapa, kisa mbunge wa Chadema ndio anahamasisha vurugu!!polisi wanafanya kazi yao na siyo kwa instruction za CCM!
Huo sasa ni ujuha, sasa gari la zimamoto linahusika vipi na matatizo yao? Saa hizi wanaliponda, halafu baadaye moto unaunguza mali zao na wanaanza kulitafuta tena kwa ajili ya kuzima moto. Wehu huu jamani!
Mkuu taarifa nilizozipata hivi punde ni kua inasemekana Msigwa hajakamatwa ila ngoja nizisake news zaidi
Mkuu naskia watu 3 wamekufa,Manamke,mtoto wa miaka 9 na polisi mmoja,nikweli?
Acha umbumbumbu wewe, hakuna mwenye akili timamu ataafiki machinga kufanya biashara eneo hilo. Barabarani no way. Hizi siasa hizi zinatupeleka kusiko.