Chama cha Kilaghai Tanzania...

Chama cha Kilaghai Tanzania...

CHADEMA ni chama kinachoendeshwa kwa misingi ya ulaghai. Chama kama hiki mtu yeyote atakayetaka kukiunga mkono kwa hoja anajikuta anakwazika.
Hii imesababisha CHADEMA kuungwa mkono zaidi na makundi mawili ya watanzania:

1. wale ambao ni bendera fuata upepo.
2. wale wenye malengo ya kupanda haraka na kwa urahisi kwenye arena za kisiasa za kitaifa.

Nitayachambua makundi haya mawili kama ifuatavyo:

1. Wale ambao ni bendera fuata upepo. Katika kundi hili kuna watu wa aina tatu:

i) Wale ambao wamedanganyika na propaganda kuwa chadema ni chama cha kikabila au cha kikanda na kwa vile wao wanatoka kwenye kanda hizo basi wanajisikia ukaribu zaidi na chadema. Hapa utaona kuwa propaganda za kukichafua chama kuwa ni cha kikabila au cha kikanda kimeweza kuwaongezea chadema nguvu katika maeneo inayoshutumiwa kuyapendelea.

ii)Wale ambao wamelaghaika na propaganda za kuwa chadema ni chama cha udini. Kuna waumini wengi wameviunga mkono vyama vya chadema na CUF kwa sababu tu wamekuwa wakisikia kuwa vyama hivyo vinashabiiana na dini zao. Hawa ni bendera fuata upepo ambao hawachuji ukweli wa taarifa na hawajiulizi chama kinaweza kuwanufaishi vipi kama waumini wa dini husika.

iii)Kundi la tatu katika bendera fuata upepo ni vijana ambao wanaona kuwa chadema ni kama fashion. Ukikaa nao chini vijana hawa kuwauliza kwanini wanaiunga mkono chadema hawana lolote la kuongea. Mfano wa watu waliomo kwenye kundi hili ni members wa jamiiforums ambao hurusha matusi kwa kila mtu anayehoji jambo juu ya chadema.

Makundi haya matatu ya bendera fuata upepo huwa ni rahisi sana kuvunjwa moyo na kukikimbia chama mara tu upepo utakapoelekea upande tofauti. Kwa mfano, iwapo chadema itafanya jitihada za kuhakikisha jamii inajua ukweli kuwa siyo chama cha ukanda wala ukabila, basi makundi haya mawili i) na ii) yatatoweka.
Vilevile iwapo chadema itasambaza elimu ya uraia na kuwawezesha wananchi kuchagua vyama vyama vya kuviunga mkono kwa hoja, basi makundi yote iii),ii) na i) itayapoteza.
Hizi ni changamoto zinazohitaji political calculations kudeal nazo.

2. Wale wenye malengo ya kupanda haraka na kwa urahisi kwenye arena za kisiasa za kitaifa:
Katika kundi hili wamo wanasiasa kama Dr. Wilbroad Slaa na Shibuda. Misingi ya wanasiasa wa aina hii kuhama kutoka kwenye chama kimoja mpaka kingine ni kuhakikisha tu kuwa wanaendelea kuwepo kwenye shughuli za kisiasa katika nafasi za uongozi. Hawana ugomvi wa kiitikadi na CCM.

Kimsingi hawa ni watu ambao iwapo leo hii CCM itawahakikishia kuwa watapata fursa ya kuwa viongozi wa juu, basi wako tayari kujiunga nayo. Wamejitoa CCM kwa sababu tu walinyimwa fursa ya kuwa viongozi katika ngazi walizogombea. Iwapo chadema itawanyima fursa ya kuwa viongozi, wataikimbia pia.
Mfano mzuri umeonekana hivi karibuni Lushoto ambaye kijana mpya katika siasa Deogratius Kisandu aliikimbia chadema kwa kukosa fursa za uongozi ambapo kimsingi alijiunga chadema kwa kuamini kuwa fursa hizo atazipata kwa urahisi zaidi ndani ya chama hicho.

CHADEMA imekosa uungwaji mkono katika misingi ya itikadi. Hii imesababishwa na ukweli kwamba cHADEMA imechukua itikadi zilezile za CCM, TANU na ASP na kushindwa kuwapa wananchi chaguo jipya. Zaidi ya hayo, hata kwenye ilani za uchaguzi za chadema hakuna offer tofauti na zile ambazo wananchi wanapewa na CCM. Kuthibitisha hili, chadema imepata wakati mgumu sana kupokelewa katika maeneo ambayo kuna chama kingine cha upinzani kilichojijenga kama Zanzibar. Iwapo chadema wangekuwa na itikadi au sera mpya ambazo utekelezaji wake unaelezeka, isingekuwa vigumu kupata wafuasi katika maeneo hayo.

Kwa vile CCM imeshapewa fursa ya kutawala, mapungufu yake yameonekana. Jukumu la chadema kwenye hili linatakiwa ni kuja na mkakati unaoelezea kwa undani ni vipi watafanya tofauti na CCM. Badala yake, kazi pekee inayofanywa na chadema ni kuainisha matatizo na kuyahubiri majukwaani bila kuelezea iwapo wana mkakati wowote mpya ili wananchi waupime. Hii inasababisha hata wasomi wanapovifananisha hivi vyama wanakosa zile tofauti za kuzijadili na mwishowe hujadili tabia za viongozi vya vyama na utendaji wao badala ya kujadili sera zake na itikadi.


Ulaghai wa CHADEMA ni sababu nyingine iliyofanya chama hiki kupoteza wafuasi makini. Mtu yeyote atakayejaribu kuichunguza chadema kidogo tu atagundua kuna mambo mengi yasiyofaa yanayofanywa na viongozi wake. Viongozi hawa hufanya hivi kujinufaisha wao wenyewe na familia zao. Kwa vile umaarufu wa chadema umetokana na uhubiri wa ufisadi, uwepo wa ufisadi ndani ya chadema umewavunja sana moyo wananchi walioamini kuwa wamepata tumaini jipya. Wale wanaoishabikia chadema kwa kufuata upepo wanapojua ulaghai huu, huvunjwa moyo na kuikimbia. Mfano wa hili ni kijana Mtela Mwampamba ambaye aliamini kuwa chadema ni tumaini jipya mpaka pale alipojionea mwenyewe kwa macho yake uhalisia wa mambo ndani ya chama hicho.

Hapa nitaainisha baadhi ya mambo yanayoiondoa CHADEMA usoni na moyoni mwa watanzania wanaotaka chama kinachopinga ufisadi.
1. Mmiliki wa jengo lililopangishwa na CHADEMA Kinondoni kama ofisi za makao makuu na bei ya pango kwa mwezi vimefanywa siri. Mara kadhaa swali hili limeibuliwa lakini hakuna jibu lililoweza kutolewa na uongozi wa CHADEMA.

2. Wanachama walioomba fursa ya kushiriki tenda ya kununua magari ya chama wamenyimwa fursa hiyo na hatimaye tenda hiyo imetolewa kwa usiri mkubwa. Chris Lukosi amekuwa akishutumiwa kuwa sababu ya kujitoa kwake CHADEMA ni kunyimwa tenda hii, lakini pale wadau walipohoji baada ya Lukosi kunyimwa tenda hiyo ni nani amepewa na kwa vigezo vipi?, kinaibuka kigugumizi.

3. Swala la Katibu Mkuu wa chama kujikopesha mamilioni ya shilingi zilizochangwa na walalahoi kwa ajili ya shughuli za chama. Ikumbukwe kuwa watu waliochangia M4C walifanya hivyo kwa vile waliamini kuwa michango yao itakiwezesha chama kujiimarisha. Taarifa kuwa pesa zimetumika kifisadi zimewavunja watu moyo.

4. Taarifa za Josephine Mushumbusi kulipwa mamilioni ya shilingi za chama kwa kazi anayoiita ya kujitolea. Wadau walihoji kuwa na wao wangependa kujitolea kwenye shughuli za chama ili walipwe hayo mamilioni. Ilidhihirika kuwa Josephine alipata fursa hiyo kwa upendeleo.

5. Pesa za ruzuku zimekuwa zikiishia Makao Makuu. Watendaji wa chama mawilayani wamekuwa wakifanya kazi bila nyenzo. Hii ilisababisha mpaka kukawa na mtafaruku huko Mpanda kwa kukosa ofisi ya wilaya ambayo kimsingi ni jukumu la chama makao makuu kuhakikisha chama kina ofisi za wilaya. Ikumbukwe pia kuwa matumizi haya mabaya ya fedha yalikuwa sababu ya mvutano wa kisiasa kati ya marehemu Chacha Wangwe na kiongozi Mkuu wa Chama.

6. Kumekuwa na taarifa za matumizi mabaya ya pesa za Sabodo jambo ambalo limeelezewa kuwa sababu ya kumfanya Sabado kuahirisha ahadi yake ya kuijengea CHADEMA ofisi za makao makuu na chuo cha siasa.

7. Katibu Mkuu wa CHADEMA ni miongoni mwa washutumiwa wa ufisadi wa mamilioni ya pesa za mradi wa maji wa Karatu.

8. Viti Maalum vya ubunge vimetolewa kwa upendeleo ambapo akinamama waliojitolea kukijenga chama wameachwa pembeni na nafasi hizo kupewa akinamama walio karibu na viongozi wa juu wa chama. Hapa ikumbukwe kuwa mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la CHADEMA (BAWACHA) wa Taifa alishinda nafasi ya uchaguzi wa viti maalum, lakini akatolewa kwa kuambiwa kuwa hajakidhi vigezo vya kuwa mbunge ingawa amewaongoza wanawake wenzake kwa muda mrefu ndani ya chadema. Wakati huohuo mwanamama anayeishi Marekani, Leticia Nyerere amepewa Ubunge wa viti maalum kutokana na "kufahamiana" na mwenyekiti wa chama. Hili limewavunja moyo wengi walioanza kuiamini chadema.

9. Vijana kama Kafulila walioonekana kuwa na ari ya mabadiliko ndani ya chama wamekuwa wakinyimwa nafasi ya kugombea uongozi kinyume na katiba.

10. CHADEMA kukanusha kauli ya Nape kuwa wanapewa msaada na chama cha siasa cha Ujerumani, baadae ikadhihirika kuwa ni kweli wanapokea msaada huo. Hii imedhihirisha kuwa CHADEMA sio wawazi katika utendaji wao. Wadau wanajiuliza chama hicho cha siasa kinataka nini Tanzania mpaka kikipinge chama kilichoasisiwa na wapigania Uhuru na kutaka chadema iingie madarakani? Ikumbukwe kuwa muasisi wa CHADEMA Mzee Mtei, alikataa kushiriki harakati za kupigania uhuru na pia alikataa kujitolea kuijenga nchi baada ya Uhuru.

11. Hesabu za pesa zinazochangwa na walalahoi kwa ajili ya M4C imekuwa ni jambo la siri kubwa ndani ya CHADEMA.
Mkuu ZeMarcopolo Hebu rekebisha kauli yako hapo nilipo weka Red ( Mfano wa watu waliomo kwenye kundi hili ni members wa jamiiforums ambao hurusha matusi kwa kila mtu anayehoji jambo juu ya chadema.) Sio wote Member wa Jamii Forums ni Wanachama wa chama

cha chadema au CCM Au CUF sisi Wengine hatuko katika Siasa zenu za Uchwara Siasa za Ki-Tanzania kama Timu za Mpira Simba na

Yanga hazina mpango wowote kugombea kula viongozi wote wanaotaka Uongozi hutumia hata nguvu ili mradi washinde na wapate

wanachokitaka. Mimi binafsi yangu ninapinga vyama vyote kuna ubinafsi na ufisadi ndani ya vyama vyote vya kisiasa nchini

Tanzania. Jirekebishe matamshi yako umezungumza vizuri unakuja kuharibu hapo penye Red asante.
 
Mkuu ZeMarcopolo Hebu rekebisha kauli yako hapo nilipo weka Red ( Mfano wa watu waliomo kwenye kundi hili ni members wa jamiiforums ambao hurusha matusi kwa kila mtu anayehoji jambo juu ya chadema.) Sio wote Member wa Jamii Forums ni Wanachama wa chama

cha chadema au CCM Au CUF sisi Wengine hatuko katika Siasa zenu za Uchwara Siasa za Ki-Tanzania kama Timu za Mpira Simba na

Yanga hazina mpango wowote kugombea kula viongozi wote wanaotaka Uongozi hutumia hata nguvu ili mradi washinde na wapate

wanachokitaka. Mimi binafsi yangu ninapinga vyama vyote kuna ubinafsi na ufisadi ndani ya vyama vyote vya kisiasa nchini

Tanzania. Jirekebishe matamshi yako umezungumza vizuri unakuja kuharibu hapo penye Red asante.
Kiongozi Mzizimkavu,
Tafadhali yasome vizuri maneno hayo. Yanalielezea kundi maalum lenye tabia tajwa na sio kila member wa JF.
 
Kiongozi Mzizimkavu,
Tafadhali yasome vizuri maneno hayo. Yanalielezea kundi maalum lenye tabia tajwa na sio kila member wa JF.
Ungeliandika hivi Baadhi ya Member wa Jamii forums sio kuandika ( Mfano wa watu waliomo kwenye kundi hili ni members wa jamiiforums ambao hurusha matusi kwa kila mtu anayehoji jambo juu ya chadema.) Ukiandika neno kundi hili unamanisha mimi na wewe pia tumo katika hilo kundi hilo mkuu? Kiswahili lugha yetu mkuu.@ZeMarcopolo Kuna Tofauti kubwa ya kusema kundi hili na kusema Baadhi ya Member. Samahani kama nimekukwaza jaribu kunielewa vizuri.
 
wewe ni mlaghaiwa...
pole sana kwani inathibitisha ulivyohudhuria shule na bado hujaelimika.Unajifariji mwenyewe na kundi lako la akina mwigulu na nape.Njaa kitu kibaya sana sishangai hata wakati wa ubaguzi south afrika kulikuwa na wanafiki kama nyie waliowasaliti ndugu zao .Pole sana
 
Unajaribu kulaghai watanzania KINAPE zaidi,kwani NAPE ndiyo huwa na maneno mengi akitia nukta pumba tupu mwanzo mwisho.

Kama jana kaibuka huko eti ni Chadema wenyewe ndiyo wamerusha lile BOMU kwa tafsiri rahisi ni kwamba hata lile la kule KANISANI OLASITE ni MAASIKOFU au MAPADRI basi.Kwa kauli ya huyu mh. inajieleza kuwa kwenye mikusanyiko ambayo iliyokwishatokea mlipuko ya mabomu wahusika ni viongozi wa mikusanyiko hiyo husika.
Jamani ndg zanguni,!!.!!! WATANZANIA wa Leo sio wale wakuwadanganya kirahisi kama wale wa kipindi cha nyuma.Wewe endelea kutuambia hii mvua inayonyesha huku jua linawaka eti simba anazaa.Kuna walio wavivu wa kufikiri kama wewe watakubaliana nawe.
 
Angalia chadema wanaishia kufanya mikutano mijini tu, halafu wanasema tutachukua nchi 2015. Nchi haichukuliki kwa kufanya mikutano mijini tu. Huu nao ni ulaghai.
.

Huu utakuwa mji gani?

DSCF7443.JPG
 
sijaona mantiki yako hapo sasa sijui unataka kuuaminisha nini umma wa kitanzania? sio kila mtu ANAKUA EASLY TAKEN na ujimga wako na usifanye kua watu wanachama wa CDM hawjitambui ila maskini walio CCM kimsingi ndio wenye akili....uko wrong!
 
Kwa maneno yako inaonyesha wanachofanya CHADEMA kisiasa wako sahihi. Kwa hayo wanayofanya CHADEMA inaonekana kuwa kuna kundi limeshishika ukuta na fimbo/hamsa zinacharazwa "pants down"
 
...............Sasa Chadema kinachofanywa na CHADEMA siyo kitu kipya. CCM nao wanafanya hivyo hivyo. Ingawa kutokana na historia na uzee wa CCM, hakuna mkoa au kanda inayoweza kusema kwamba CCM ni mali yao.
Kuhusu CHADEMA,..... well, waingereza wanasema "the proof is in the pudding"- Godbless Lema. Godbless Lema hana hata sifa ya kuwa "class-monitor" wa darasa la nne wa shule ya msingi. Lakini yupo katika kitovu cha nguvu na utawala wa CHADEMA. Kwanini? kwa sababu - "one of the nephews".

Swala la nepotism liko kila mahali. Hata wewe leo hii ukipewa cheo chochote iwe ni CCM,CHADEMA au Serikali ya CCM lazima uta-practice the same. That's nature. Mbona Watanzania hawasemi CCM ni chama cha KIDINI,KIDUGU au KIKABILA? Vigogo karibu wote wa CCM wamejaza ndugu zao kwenye chama, anza kwa Mama Kiwete,Riz,Kiwete, Dr.Hussein Mwinyi,Nepi Mosses Nnauye,Vita Kawawa,Lusinde,Wassira, Warioba,na wengineo.

Kikwete amejitahidi sana kuingiza Waislamu kwenye Serikali yake. Mbona Watanzania hawapigi kelele kuwa kuna udini na ukabila ndani ya CCM na Serikali yake???

CCM acheni propaganda za kishenzi.
 
CHADEMA ni chama kinachoendeshwa kwa misingi ya ulaghai. Chama kama hiki mtu yeyote atakayetaka kukiunga mkono kwa hoja anajikuta anakwazika.
Hii imesababisha CHADEMA kuungwa mkono zaidi na makundi mawili ya watanzania:

1. wale ambao ni bendera fuata upepo.
2. wale wenye malengo ya kupanda haraka na kwa urahisi kwenye arena za kisiasa za kitaifa.

Nitayachambua makundi haya mawili kama ifuatavyo:

1. Wale ambao ni bendera fuata upepo. Katika kundi hili kuna watu wa aina tatu:

i) Wale ambao wamedanganyika na propaganda kuwa chadema ni chama cha kikabila au cha kikanda na kwa vile wao wanatoka kwenye kanda hizo basi wanajisikia ukaribu zaidi na chadema. Hapa utaona kuwa propaganda za kukichafua chama kuwa ni cha kikabila au cha kikanda kimeweza kuwaongezea chadema nguvu katika maeneo inayoshutumiwa kuyapendelea.

ii)Wale ambao wamelaghaika na propaganda za kuwa chadema ni chama cha udini. Kuna waumini wengi wameviunga mkono vyama vya chadema na CUF kwa sababu tu wamekuwa wakisikia kuwa vyama hivyo vinashabiiana na dini zao. Hawa ni bendera fuata upepo ambao hawachuji ukweli wa taarifa na hawajiulizi chama kinaweza kuwanufaishi vipi kama waumini wa dini husika.

iii)Kundi la tatu katika bendera fuata upepo ni vijana ambao wanaona kuwa chadema ni kama fashion. Ukikaa nao chini vijana hawa kuwauliza kwanini wanaiunga mkono chadema hawana lolote la kuongea. Mfano wa watu waliomo kwenye kundi hili ni members wa jamiiforums ambao hurusha matusi kwa kila mtu anayehoji jambo juu ya chadema.

Makundi haya matatu ya bendera fuata upepo huwa ni rahisi sana kuvunjwa moyo na kukikimbia chama mara tu upepo utakapoelekea upande tofauti. Kwa mfano, iwapo chadema itafanya jitihada za kuhakikisha jamii inajua ukweli kuwa siyo chama cha ukanda wala ukabila, basi makundi haya mawili i) na ii) yatatoweka.
Vilevile iwapo chadema itasambaza elimu ya uraia na kuwawezesha wananchi kuchagua vyama vyama vya kuviunga mkono kwa hoja, basi makundi yote iii),ii) na i) itayapoteza.
Hizi ni changamoto zinazohitaji political calculations kudeal nazo.

2. Wale wenye malengo ya kupanda haraka na kwa urahisi kwenye arena za kisiasa za kitaifa:
Katika kundi hili wamo wanasiasa kama Dr. Wilbroad Slaa na Shibuda. Misingi ya wanasiasa wa aina hii kuhama kutoka kwenye chama kimoja mpaka kingine ni kuhakikisha tu kuwa wanaendelea kuwepo kwenye shughuli za kisiasa katika nafasi za uongozi. Hawana ugomvi wa kiitikadi na CCM.

Kimsingi hawa ni watu ambao iwapo leo hii CCM itawahakikishia kuwa watapata fursa ya kuwa viongozi wa juu, basi wako tayari kujiunga nayo. Wamejitoa CCM kwa sababu tu walinyimwa fursa ya kuwa viongozi katika ngazi walizogombea. Iwapo chadema itawanyima fursa ya kuwa viongozi, wataikimbia pia.
Mfano mzuri umeonekana hivi karibuni Lushoto ambaye kijana mpya katika siasa Deogratius Kisandu aliikimbia chadema kwa kukosa fursa za uongozi ambapo kimsingi alijiunga chadema kwa kuamini kuwa fursa hizo atazipata kwa urahisi zaidi ndani ya chama hicho.

CHADEMA imekosa uungwaji mkono katika misingi ya itikadi. Hii imesababishwa na ukweli kwamba cHADEMA imechukua itikadi zilezile za CCM, TANU na ASP na kushindwa kuwapa wananchi chaguo jipya. Zaidi ya hayo, hata kwenye ilani za uchaguzi za chadema hakuna offer tofauti na zile ambazo wananchi wanapewa na CCM. Kuthibitisha hili, chadema imepata wakati mgumu sana kupokelewa katika maeneo ambayo kuna chama kingine cha upinzani kilichojijenga kama Zanzibar. Iwapo chadema wangekuwa na itikadi au sera mpya ambazo utekelezaji wake unaelezeka, isingekuwa vigumu kupata wafuasi katika maeneo hayo.

Kwa vile CCM imeshapewa fursa ya kutawala, mapungufu yake yameonekana. Jukumu la chadema kwenye hili linatakiwa ni kuja na mkakati unaoelezea kwa undani ni vipi watafanya tofauti na CCM. Badala yake, kazi pekee inayofanywa na chadema ni kuainisha matatizo na kuyahubiri majukwaani bila kuelezea iwapo wana mkakati wowote mpya ili wananchi waupime. Hii inasababisha hata wasomi wanapovifananisha hivi vyama wanakosa zile tofauti za kuzijadili na mwishowe hujadili tabia za viongozi vya vyama na utendaji wao badala ya kujadili sera zake na itikadi.


Ulaghai wa CHADEMA ni sababu nyingine iliyofanya chama hiki kupoteza wafuasi makini. Mtu yeyote atakayejaribu kuichunguza chadema kidogo tu atagundua kuna mambo mengi yasiyofaa yanayofanywa na viongozi wake. Viongozi hawa hufanya hivi kujinufaisha wao wenyewe na familia zao. Kwa vile umaarufu wa chadema umetokana na uhubiri wa ufisadi, uwepo wa ufisadi ndani ya chadema umewavunja sana moyo wananchi walioamini kuwa wamepata tumaini jipya. Wale wanaoishabikia chadema kwa kufuata upepo wanapojua ulaghai huu, huvunjwa moyo na kuikimbia. Mfano wa hili ni kijana Mtela Mwampamba ambaye aliamini kuwa chadema ni tumaini jipya mpaka pale alipojionea mwenyewe kwa macho yake uhalisia wa mambo ndani ya chama hicho.

Hapa nitaainisha baadhi ya mambo yanayoiondoa CHADEMA usoni na moyoni mwa watanzania wanaotaka chama kinachopinga ufisadi.
1. Mmiliki wa jengo lililopangishwa na CHADEMA Kinondoni kama ofisi za makao makuu na bei ya pango kwa mwezi vimefanywa siri. Mara kadhaa swali hili limeibuliwa lakini hakuna jibu lililoweza kutolewa na uongozi wa CHADEMA.

2. Wanachama walioomba fursa ya kushiriki tenda ya kununua magari ya chama wamenyimwa fursa hiyo na hatimaye tenda hiyo imetolewa kwa usiri mkubwa. Chris Lukosi amekuwa akishutumiwa kuwa sababu ya kujitoa kwake CHADEMA ni kunyimwa tenda hii, lakini pale wadau walipohoji baada ya Lukosi kunyimwa tenda hiyo ni nani amepewa na kwa vigezo vipi?, kinaibuka kigugumizi.

3. Swala la Katibu Mkuu wa chama kujikopesha mamilioni ya shilingi zilizochangwa na walalahoi kwa ajili ya shughuli za chama. Ikumbukwe kuwa watu waliochangia M4C walifanya hivyo kwa vile waliamini kuwa michango yao itakiwezesha chama kujiimarisha. Taarifa kuwa pesa zimetumika kifisadi zimewavunja watu moyo.

4. Taarifa za Josephine Mushumbusi kulipwa mamilioni ya shilingi za chama kwa kazi anayoiita ya kujitolea. Wadau walihoji kuwa na wao wangependa kujitolea kwenye shughuli za chama ili walipwe hayo mamilioni. Ilidhihirika kuwa Josephine alipata fursa hiyo kwa upendeleo.

5. Pesa za ruzuku zimekuwa zikiishia Makao Makuu. Watendaji wa chama mawilayani wamekuwa wakifanya kazi bila nyenzo. Hii ilisababisha mpaka kukawa na mtafaruku huko Mpanda kwa kukosa ofisi ya wilaya ambayo kimsingi ni jukumu la chama makao makuu kuhakikisha chama kina ofisi za wilaya. Ikumbukwe pia kuwa matumizi haya mabaya ya fedha yalikuwa sababu ya mvutano wa kisiasa kati ya marehemu Chacha Wangwe na kiongozi Mkuu wa Chama.

6. Kumekuwa na taarifa za matumizi mabaya ya pesa za Sabodo jambo ambalo limeelezewa kuwa sababu ya kumfanya Sabado kuahirisha ahadi yake ya kuijengea CHADEMA ofisi za makao makuu na chuo cha siasa.

7. Katibu Mkuu wa CHADEMA ni miongoni mwa washutumiwa wa ufisadi wa mamilioni ya pesa za mradi wa maji wa Karatu.

8. Viti Maalum vya ubunge vimetolewa kwa upendeleo ambapo akinamama waliojitolea kukijenga chama wameachwa pembeni na nafasi hizo kupewa akinamama walio karibu na viongozi wa juu wa chama. Hapa ikumbukwe kuwa mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la CHADEMA (BAWACHA) wa Taifa alishinda nafasi ya uchaguzi wa viti maalum, lakini akatolewa kwa kuambiwa kuwa hajakidhi vigezo vya kuwa mbunge ingawa amewaongoza wanawake wenzake kwa muda mrefu ndani ya chadema. Wakati huohuo mwanamama anayeishi Marekani, Leticia Nyerere amepewa Ubunge wa viti maalum kutokana na "kufahamiana" na mwenyekiti wa chama. Hili limewavunja moyo wengi walioanza kuiamini chadema.

9. Vijana kama Kafulila walioonekana kuwa na ari ya mabadiliko ndani ya chama wamekuwa wakinyimwa nafasi ya kugombea uongozi kinyume na katiba.

10. CHADEMA kukanusha kauli ya Nape kuwa wanapewa msaada na chama cha siasa cha Ujerumani, baadae ikadhihirika kuwa ni kweli wanapokea msaada huo. Hii imedhihirisha kuwa CHADEMA sio wawazi katika utendaji wao. Wadau wanajiuliza chama hicho cha siasa kinataka nini Tanzania mpaka kikipinge chama kilichoasisiwa na wapigania Uhuru na kutaka chadema iingie madarakani? Ikumbukwe kuwa muasisi wa CHADEMA Mzee Mtei, alikataa kushiriki harakati za kupigania uhuru na pia alikataa kujitolea kuijenga nchi baada ya Uhuru.

11. Hesabu za pesa zinazochangwa na walalahoi kwa ajili ya M4C imekuwa ni jambo la siri kubwa ndani ya CHADEMA.

Mdau si vyema kuzungumzia vitu usivyovijua ili mradi tu uonekane umeanzisha maada, hizo unazoleta ni prpaganda tu, na si vyema kurahisisha mambo kiasi hicho. Hii tabia ya kutoa maamuzi ya kuongea kwa kukurupuka itatugharimu watanzania jana mh. Lukuvi alikurupuka na sasa ameharibu hata uchunguzi kwa kuwa tayari majibu ya serikali yalitosha kuhitimisha uchunguzi tayari yanamuelekeo fulani wa kushutumu upande fulani kwa wenye akili tunajua nini kinachoendelea, wewe ccm hauijui tuulize sisi ndugu. watanzania tuache ulaghai dhambi ya uongo ni mbaya sana, tafakari sana haya vinginevyo tutazaa taifa la watu wasiofikiri.:shock:
 
CHADEMA ni chama kinachoendeshwa kwa misingi ya ulaghai. Chama kama hiki mtu yeyote atakayetaka kukiunga mkono kwa hoja anajikuta anakwazika.
Hii imesababisha CHADEMA kuungwa mkono zaidi na makundi mawili ya watanzania:

1. wale ambao ni bendera fuata upepo.
2. wale wenye malengo ya kupanda haraka na kwa urahisi kwenye arena za kisiasa za kitaifa.

Nitayachambua makundi haya mawili kama ifuatavyo:

1. Wale ambao ni bendera fuata upepo. Katika kundi hili kuna watu wa aina tatu:

i) Wale ambao wamedanganyika na propaganda kuwa chadema ni chama cha kikabila au cha kikanda na kwa vile wao wanatoka kwenye kanda hizo basi wanajisikia ukaribu zaidi na chadema. Hapa utaona kuwa propaganda za kukichafua chama kuwa ni cha kikabila au cha kikanda kimeweza kuwaongezea chadema nguvu katika maeneo inayoshutumiwa kuyapendelea.

ii)Wale ambao wamelaghaika na propaganda za kuwa chadema ni chama cha udini. Kuna waumini wengi wameviunga mkono vyama vya chadema na CUF kwa sababu tu wamekuwa wakisikia kuwa vyama hivyo vinashabiiana na dini zao. Hawa ni bendera fuata upepo ambao hawachuji ukweli wa taarifa na hawajiulizi chama kinaweza kuwanufaishi vipi kama waumini wa dini husika.

iii)Kundi la tatu katika bendera fuata upepo ni vijana ambao wanaona kuwa chadema ni kama fashion. Ukikaa nao chini vijana hawa kuwauliza kwanini wanaiunga mkono chadema hawana lolote la kuongea. Mfano wa watu waliomo kwenye kundi hili ni members wa jamiiforums ambao hurusha matusi kwa kila mtu anayehoji jambo juu ya chadema.

Makundi haya matatu ya bendera fuata upepo huwa ni rahisi sana kuvunjwa moyo na kukikimbia chama mara tu upepo utakapoelekea upande tofauti. Kwa mfano, iwapo chadema itafanya jitihada za kuhakikisha jamii inajua ukweli kuwa siyo chama cha ukanda wala ukabila, basi makundi haya mawili i) na ii) yatatoweka.
Vilevile iwapo chadema itasambaza elimu ya uraia na kuwawezesha wananchi kuchagua vyama vyama vya kuviunga mkono kwa hoja, basi makundi yote iii),ii) na i) itayapoteza.
Hizi ni changamoto zinazohitaji political calculations kudeal nazo.

2. Wale wenye malengo ya kupanda haraka na kwa urahisi kwenye arena za kisiasa za kitaifa:
Katika kundi hili wamo wanasiasa kama Dr. Wilbroad Slaa na Shibuda. Misingi ya wanasiasa wa aina hii kuhama kutoka kwenye chama kimoja mpaka kingine ni kuhakikisha tu kuwa wanaendelea kuwepo kwenye shughuli za kisiasa katika nafasi za uongozi. Hawana ugomvi wa kiitikadi na CCM.

Kimsingi hawa ni watu ambao iwapo leo hii CCM itawahakikishia kuwa watapata fursa ya kuwa viongozi wa juu, basi wako tayari kujiunga nayo. Wamejitoa CCM kwa sababu tu walinyimwa fursa ya kuwa viongozi katika ngazi walizogombea. Iwapo chadema itawanyima fursa ya kuwa viongozi, wataikimbia pia.
Mfano mzuri umeonekana hivi karibuni Lushoto ambaye kijana mpya katika siasa Deogratius Kisandu aliikimbia chadema kwa kukosa fursa za uongozi ambapo kimsingi alijiunga chadema kwa kuamini kuwa fursa hizo atazipata kwa urahisi zaidi ndani ya chama hicho.

CHADEMA imekosa uungwaji mkono katika misingi ya itikadi. Hii imesababishwa na ukweli kwamba cHADEMA imechukua itikadi zilezile za CCM, TANU na ASP na kushindwa kuwapa wananchi chaguo jipya. Zaidi ya hayo, hata kwenye ilani za uchaguzi za chadema hakuna offer tofauti na zile ambazo wananchi wanapewa na CCM. Kuthibitisha hili, chadema imepata wakati mgumu sana kupokelewa katika maeneo ambayo kuna chama kingine cha upinzani kilichojijenga kama Zanzibar. Iwapo chadema wangekuwa na itikadi au sera mpya ambazo utekelezaji wake unaelezeka, isingekuwa vigumu kupata wafuasi katika maeneo hayo.

Kwa vile CCM imeshapewa fursa ya kutawala, mapungufu yake yameonekana. Jukumu la chadema kwenye hili linatakiwa ni kuja na mkakati unaoelezea kwa undani ni vipi watafanya tofauti na CCM. Badala yake, kazi pekee inayofanywa na chadema ni kuainisha matatizo na kuyahubiri majukwaani bila kuelezea iwapo wana mkakati wowote mpya ili wananchi waupime. Hii inasababisha hata wasomi wanapovifananisha hivi vyama wanakosa zile tofauti za kuzijadili na mwishowe hujadili tabia za viongozi vya vyama na utendaji wao badala ya kujadili sera zake na itikadi.


Ulaghai wa CHADEMA ni sababu nyingine iliyofanya chama hiki kupoteza wafuasi makini. Mtu yeyote atakayejaribu kuichunguza chadema kidogo tu atagundua kuna mambo mengi yasiyofaa yanayofanywa na viongozi wake. Viongozi hawa hufanya hivi kujinufaisha wao wenyewe na familia zao. Kwa vile umaarufu wa chadema umetokana na uhubiri wa ufisadi, uwepo wa ufisadi ndani ya chadema umewavunja sana moyo wananchi walioamini kuwa wamepata tumaini jipya. Wale wanaoishabikia chadema kwa kufuata upepo wanapojua ulaghai huu, huvunjwa moyo na kuikimbia. Mfano wa hili ni kijana Mtela Mwampamba ambaye aliamini kuwa chadema ni tumaini jipya mpaka pale alipojionea mwenyewe kwa macho yake uhalisia wa mambo ndani ya chama hicho.

Hapa nitaainisha baadhi ya mambo yanayoiondoa CHADEMA usoni na moyoni mwa watanzania wanaotaka chama kinachopinga ufisadi.
1. Mmiliki wa jengo lililopangishwa na CHADEMA Kinondoni kama ofisi za makao makuu na bei ya pango kwa mwezi vimefanywa siri. Mara kadhaa swali hili limeibuliwa lakini hakuna jibu lililoweza kutolewa na uongozi wa CHADEMA.

2. Wanachama walioomba fursa ya kushiriki tenda ya kununua magari ya chama wamenyimwa fursa hiyo na hatimaye tenda hiyo imetolewa kwa usiri mkubwa. Chris Lukosi amekuwa akishutumiwa kuwa sababu ya kujitoa kwake CHADEMA ni kunyimwa tenda hii, lakini pale wadau walipohoji baada ya Lukosi kunyimwa tenda hiyo ni nani amepewa na kwa vigezo vipi?, kinaibuka kigugumizi.

3. Swala la Katibu Mkuu wa chama kujikopesha mamilioni ya shilingi zilizochangwa na walalahoi kwa ajili ya shughuli za chama. Ikumbukwe kuwa watu waliochangia M4C walifanya hivyo kwa vile waliamini kuwa michango yao itakiwezesha chama kujiimarisha. Taarifa kuwa pesa zimetumika kifisadi zimewavunja watu moyo.

4. Taarifa za Josephine Mushumbusi kulipwa mamilioni ya shilingi za chama kwa kazi anayoiita ya kujitolea. Wadau walihoji kuwa na wao wangependa kujitolea kwenye shughuli za chama ili walipwe hayo mamilioni. Ilidhihirika kuwa Josephine alipata fursa hiyo kwa upendeleo.

5. Pesa za ruzuku zimekuwa zikiishia Makao Makuu. Watendaji wa chama mawilayani wamekuwa wakifanya kazi bila nyenzo. Hii ilisababisha mpaka kukawa na mtafaruku huko Mpanda kwa kukosa ofisi ya wilaya ambayo kimsingi ni jukumu la chama makao makuu kuhakikisha chama kina ofisi za wilaya. Ikumbukwe pia kuwa matumizi haya mabaya ya fedha yalikuwa sababu ya mvutano wa kisiasa kati ya marehemu Chacha Wangwe na kiongozi Mkuu wa Chama.

6. Kumekuwa na taarifa za matumizi mabaya ya pesa za Sabodo jambo ambalo limeelezewa kuwa sababu ya kumfanya Sabado kuahirisha ahadi yake ya kuijengea CHADEMA ofisi za makao makuu na chuo cha siasa.

7. Katibu Mkuu wa CHADEMA ni miongoni mwa washutumiwa wa ufisadi wa mamilioni ya pesa za mradi wa maji wa Karatu.

8. Viti Maalum vya ubunge vimetolewa kwa upendeleo ambapo akinamama waliojitolea kukijenga chama wameachwa pembeni na nafasi hizo kupewa akinamama walio karibu na viongozi wa juu wa chama. Hapa ikumbukwe kuwa mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la CHADEMA (BAWACHA) wa Taifa alishinda nafasi ya uchaguzi wa viti maalum, lakini akatolewa kwa kuambiwa kuwa hajakidhi vigezo vya kuwa mbunge ingawa amewaongoza wanawake wenzake kwa muda mrefu ndani ya chadema. Wakati huohuo mwanamama anayeishi Marekani, Leticia Nyerere amepewa Ubunge wa viti maalum kutokana na "kufahamiana" na mwenyekiti wa chama. Hili limewavunja moyo wengi walioanza kuiamini chadema.

9. Vijana kama Kafulila walioonekana kuwa na ari ya mabadiliko ndani ya chama wamekuwa wakinyimwa nafasi ya kugombea uongozi kinyume na katiba.

10. CHADEMA kukanusha kauli ya Nape kuwa wanapewa msaada na chama cha siasa cha Ujerumani, baadae ikadhihirika kuwa ni kweli wanapokea msaada huo. Hii imedhihirisha kuwa CHADEMA sio wawazi katika utendaji wao. Wadau wanajiuliza chama hicho cha siasa kinataka nini Tanzania mpaka kikipinge chama kilichoasisiwa na wapigania Uhuru na kutaka chadema iingie madarakani? Ikumbukwe kuwa muasisi wa CHADEMA Mzee Mtei, alikataa kushiriki harakati za kupigania uhuru na pia alikataa kujitolea kuijenga nchi baada ya Uhuru.

11. Hesabu za pesa zinazochangwa na walalahoi kwa ajili ya M4C imekuwa ni jambo la siri kubwa ndani ya CHADEMA.

umetoa maelezo mengi lakini nadhani yako biased, mm nisiye na chama chochote naomba nikukumbushe na kuomba ufafanuzi wa maelezo yafuatayo-

mfano kafulila ni mbunge wa NCCR mageuzi naye ameingiaje CDM kugombea uongozi

mm nijuavyo hata kabla ya Dr. Slaa kuamua kumuoa Mushumbusi, mushumbusi alikuwa analipwa kama mtaalamu na ndivyo hata ww pale ulipo kama ni mtaalam utakuwa unalipwa hivyo, je tatizo liko wapi? je sekta binafsi ina kiwango cha mishahara, mm nijuavyo, huwa ni uwezo wako wa kujiamini na kudai mshahara uutakao, kitakachokuweka ni utendaji kazi wako, kama ni mbovu utaondolewa mara moja

kila chama kina sera ya kukopeshana, mm naona tatizo la CDM ni kuweka wazi vitu vyao ndio maana mmevijua je vyama vingine hawakopeshani? lengo huwa ni kupunguza stress za viongozi katika kutatua matatizo yao ya msingi na kuwapa muda zaidi kutumikia chama,pia kulinda heshima zao, fikiria Rais Kikwete ukutane naye pale NMB/NBC akisubiri foleni ya kumuona Afisa mikopo ili amuhudumie, utajisikiaje? ni akili ya kawaida ambayo haina haja ya shule kubwa


kuhusu kupokea misaada wanayopokea cdm nakumbuka walitaja vyama vyote wanavyoshirikiana nao na viwango wanavyopokea, je vyama vingine havipokei mbona hawatuambia wanapokea sh na kutoka wapi?je endapo ujerumani baada ya kutajwa kuwa hawaisaidia cdm huoni kuwa nao huenda waliamua kutumia fursa hiyo kujitangaza kwa kutoa fedha kwa cdm, wakijua watu wengi wanaitizama cdm kama chama kinachoweza kuleta changamoto kwa ccm? hili nalo hulioni


mgawanyo wa ruzuku nadhani ulishawekwa hadharani na cdm, tatizo ruzuku ni ndogo, matokeo yake hata wakigawa kinachowafikia wale wa mwisho kinakuwa kidogo hakiwatoshi, je ww ulipo hela unayopewa au unayolipwa inatosheleza mahitaji yako, kama sivyo kwann usilalamike, ili wakuu wasikie

cdm kama ilivyo cuf/nccr mageuzi/ccm sio chama cha kilaghai ndio maana kina usajili halali na kikikosea kinaweza kufutwa. kumbuka laghai huwa hasajiliwi popote duniani

kuhusu akina mtela na wenzake, yawezekana nao walitaka madaraka, walivyonyimwa ndio wakaondoka cdm, lkn kashfa nyingine tunaambiwa walipewa kazi ya kufanya na chama kimojawapo ili kuhujumu cdm, cdm walipowatambua wakawafukuza, je huoni hawa nao wanaweza kuwa waganga njaa, je siku hizi unawasikia, je unafikiri watanzania bado wanawaamini tena kama zamani? wamekwishapuuzwa na heshima yao imeliwa na wageni kabisa

fedha za sabodo, watakuja wao kutueleza mchanganuo wake, lkn hizo nazo zinaweza kuwa propaganda za kuichafua cdm,

jengo la kupanga ofisi hatujui gharama zake, lkn je ccm ambayo ina majengo mengi yaliyojengwa na watz wote mbona hwatupi mapato na matumizi ya kukodisha majengo yetu kila mwaka, huoni hili nalo ni tatizo? kama hawa hawafanyi kwnn mnawalaumu cdm kutofanya

tenda ya ununuzi wa magari, mm nashukuru umetuongezea taarifa ambayo wengine hatukujua sababu halisi ya chris lukosi kuondoka cdm, huoni huyu naye alikuwa natafuta maslahi yake binafsi na siyo ya cdm. katk tenda mkishindaniswa wengi sio lazima ww ushinde, mwenzio anaweza kukushinda kwa kipengele kidogo mfano after sales service kama ww hukuweka. lkn nawachie cdm waje watueleze

Dr. Slaa kushiriki ufujaji wa fedha za maji za karatu,mm nisiye na chama nawashangaa wote, kama ushahidi upo, kwann serikali inaota kigugumizi kumfungulia mashitaka mahakamani wakati hilo ni kosa la jinai?

lete ushahidi jukwaani tuujadili, usipoleta tutkuhesabu kuwa ni mbeya na msengenyaji usiyefaa
 
umetoa maelezo mengi lakini nadhani yako biased, mm nisiye na chama chochote naomba nikukumbushe na kuomba ufafanuzi wa maelezo yafuatayo-

mfano kafulila ni mbunge wa NCCR mageuzi naye ameingiaje CDM kugombea uongozi

mm nijuavyo hata kabla ya Dr. Slaa kuamua kumuoa Mushumbusi, mushumbusi alikuwa analipwa kama mtaalamu na ndivyo hata ww pale ulipo kama ni mtaalam utakuwa unalipwa hivyo, je tatizo liko wapi? je sekta binafsi ina kiwango cha mishahara, mm nijuavyo, huwa ni uwezo wako wa kujiamini na kudai mshahara uutakao, kitakachokuweka ni utendaji kazi wako, kama ni mbovu utaondolewa mara moja

kila chama kina sera ya kukopeshana, mm naona tatizo la CDM ni kuweka wazi vitu vyao ndio maana mmevijua je vyama vingine hawakopeshani? lengo huwa ni kupunguza stress za viongozi katika kutatua matatizo yao ya msingi na kuwapa muda zaidi kutumikia chama,pia kulinda heshima zao, fikiria Rais Kikwete ukutane naye pale NMB/NBC akisubiri foleni ya kumuona Afisa mikopo ili amuhudumie, utajisikiaje? ni akili ya kawaida ambayo haina haja ya shule kubwa


kuhusu kupokea misaada wanayopokea cdm nakumbuka walitaja vyama vyote wanavyoshirikiana nao na viwango wanavyopokea, je vyama vingine havipokei mbona hawatuambia wanapokea sh na kutoka wapi?je endapo ujerumani baada ya kutajwa kuwa hawaisaidia cdm huoni kuwa nao huenda waliamua kutumia fursa hiyo kujitangaza kwa kutoa fedha kwa cdm, wakijua watu wengi wanaitizama cdm kama chama kinachoweza kuleta changamoto kwa ccm? hili nalo hulioni


mgawanyo wa ruzuku nadhani ulishawekwa hadharani na cdm, tatizo ruzuku ni ndogo, matokeo yake hata wakigawa kinachowafikia wale wa mwisho kinakuwa kidogo hakiwatoshi, je ww ulipo hela unayopewa au unayolipwa inatosheleza mahitaji yako, kama sivyo kwann usilalamike, ili wakuu wasikie

cdm kama ilivyo cuf/nccr mageuzi/ccm sio chama cha kilaghai ndio maana kina usajili halali na kikikosea kinaweza kufutwa. kumbuka laghai huwa hasajiliwi popote duniani

kuhusu akina mtela na wenzake, yawezekana nao walitaka madaraka, walivyonyimwa ndio wakaondoka cdm, lkn kashfa nyingine tunaambiwa walipewa kazi ya kufanya na chama kimojawapo ili kuhujumu cdm, cdm walipowatambua wakawafukuza, je huoni hawa nao wanaweza kuwa waganga njaa, je siku hizi unawasikia, je unafikiri watanzania bado wanawaamini tena kama zamani? wamekwishapuuzwa na heshima yao imeliwa na wageni kabisa

fedha za sabodo, watakuja wao kutueleza mchanganuo wake, lkn hizo nazo zinaweza kuwa propaganda za kuichafua cdm,

jengo la kupanga ofisi hatujui gharama zake, lkn je ccm ambayo ina majengo mengi yaliyojengwa na watz wote mbona hwatupi mapato na matumizi ya kukodisha majengo yetu kila mwaka, huoni hili nalo ni tatizo? kama hawa hawafanyi kwnn mnawalaumu cdm kutofanya

tenda ya ununuzi wa magari, mm nashukuru umetuongezea taarifa ambayo wengine hatukujua sababu halisi ya chris lukosi kuondoka cdm, huoni huyu naye alikuwa natafuta maslahi yake binafsi na siyo ya cdm. katk tenda mkishindaniswa wengi sio lazima ww ushinde, mwenzio anaweza kukushinda kwa kipengele kidogo mfano after sales service kama ww hukuweka. lkn nawachie cdm waje watueleze

Dr. Slaa kushiriki ufujaji wa fedha za maji za karatu,mm nisiye na chama nawashangaa wote, kama ushahidi upo, kwann serikali inaota kigugumizi kumfungulia mashitaka mahakamani wakati hilo ni kosa la jinai?

lete ushahidi jukwaani tuujadili, usipoleta tutkuhesabu kuwa ni mbeya na msengenyaji usiyefaa

Wewe kama hata hujui kwanini Kafulila alihama Chadema basi hili swala liko nje ya uwezo wako.
 
Wewe kama hata hujui kwanini Kafulila alihama Chadema basi hili swala liko nje ya uwezo wako.
kumbe mgonjwa si yule aliyefukuzwa na chadema uk sasa ni dhahiri wewe umemzidi yule mgonjwa hujijui hujitambui unatumia nyama za chini ya mgongo kufikiria( masaburi theory).
 
kumbe mgonjwa si yule aliyefukuzwa na chadema uk sasa ni dhahiri wewe umemzidi yule mgonjwa hujijui hujitambui unatumia nyama za chini ya mgongo kufikiria( masaburi theory).
zemarcopolo nitakutumia doze kwa dhl nipe address yako plz(siku wehu wakijitambua milembe itakuwa nursery school.
 
Back
Top Bottom