Ukweli wapo wanaumme wa wanaokubari,mfano mzuri ni familia yetu nishakua mtu mzima ndo najua dada yetu wa kwanza so mtoto wa baba yetu.Sijui najua peke yangu au pia ndugu zangu lakin hamna aliye sha fungua dogo nakumuliza mwenzake so ipo hiyo
Jamani mimi sio mkubwa sana kwa hiyo story so ya zamani ni kipindi niko darasa la saba,iko hivi.
Nakumbuka nilikuwa na marafiki kama wanne hivi ila mimi kiumbo ndo nilikuwa mrefu kidogo kulinganisha na wenzangu ambao niliwazidi kama mwaka mmoja hivi Sasa sijui ilikuaje hadi nikamtuma rafiki...
Alkelokas
Kama hawezi kusubiri basi hakufai,wa kwanza aliondoka sababu mungu akupenda muwe wote.Mwaka mmoja mdogo sana kaka akikusubiri umalize huyo ndo chaguo lako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.