Mtihani mgumu..

Mtihani mgumu..

Miaka 24 unataka kuoa mtu keshazaa afu ana masharti kibao ? Hayo masharti anatoa mtu ambaye ni bikra hata kama ni ya kichina.afu inaonyesha kuwa wewe ndo kwanza unaanza mahusiano ndo maana unababaika jitambue
 
Uboya huo kuekwa pending wakati wenzio wanajipigia na washatotolesha temana nae huyo kwanini hakusubiri ndoa tangu zamani shenzake!!!!
Ndo hapo sasa yan mtu anafanya kunikomoa sa atatafuta wakuweza hayo mashart me simo
.
 
Miaka 24 unataka kuoa mtu keshazaa afu ana masharti kibao ? Hayo masharti anatoa mtu ambaye ni bikra hata kama ni ya kichina.afu inaonyesha kuwa wewe ndo kwanza unaanza mahusiano ndo maana unababaika jitambue

Nimekusoma mkuu.. tatzo lake anaangalia upande wake tu.
 
Miaka 24 unataka kuoa mtu keshazaa afu ana masharti kibao ? Hayo masharti anatoa mtu ambaye ni bikra hata kama ni ya kichina.afu inaonyesha kuwa wewe ndo kwanza unaanza mahusiano ndo maana unababaika jitambue

Nimekusoma mkuu..
 
Acha uboya wewe!!piga chini nyuchi ambazo hazijazaa na warembo za kumwaga tu,yaani jitu limetotoleshwa alafu linakuletea masharti kibaaaaooo!!kwambaa yeye ni bikra!?
 
Acha uboya wewe!!piga chini nyuchi ambazo hazijazaa na warembo za kumwaga tu,yaani jitu limetotoleshwa alafu linakuletea masharti kibaaaaooo!!kwambaa yeye ni bikra!?

Nmeamua nijitoe tu ila nahtaj hekima kumueleza aelewe na asibaki na kinyongo na mimi
 
Miaka 24 kuoa mdada mwenye mtoto.mhh bado sana endelea kutafuta
Duuh, kumbe jamii yetu ni ya watu wanafiki kiasi hiki. Eti mdada mwenye mtoto! Tatizo lipo wapi? Kila siku tunaona nyumba za ibada zinajaa, watu wameenda kuwatembelea watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu, kumbe unafiki. Kama umempenda oa, huyo mtoto ni binadamu anastahili kuthaminiwa na sio kunyanyaswa.
 
Miaka 24 kuoa mdada mwenye mtoto.mhh bado sana endelea kutafuta
Duuh, kumbe jamii yetu ni ya watu wanafiki kiasi hiki. Eti mdada mwenye mtoto! Tatizo lipo wapi? Kila siku tunaona nyumba za ibada zinajaa, watu wameenda kuwatembelea watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu, kumbe unafiki. Kama umempenda oa, huyo mtoto ni binadamu anastahili kuthaminiwa na sio kunyanyaswa.
 
wewe kijana mbona wataka kulegea, huyo hafai, demu yoyote anayetaka kidume asubiri basi na yeye awa bikra. sssa demu sio bikra anataka wewe usubiri ebo!!! listen here sonny, huyo demu kwanza hana soko kwa kweli so actually she shuld not be in a position to be giving conditions at all, hataki akae na k yake alee mtoto
 
Nmeamua nijitoe tu ila nahtaj hekima kumueleza aelewe na asibaki na kinyongo na mimi

Anza kupunguza mawasiliano,then baadae mpotezee mazima! Akija uliza, useme vigezo vyote unavyopaswa kuvitimiza vimekushinda.
 
Duuh, kumbe jamii yetu ni ya watu wanafiki kiasi hiki. Eti mdada mwenye mtoto! Tatizo lipo wapi? Kila siku tunaona nyumba za ibada zinajaa, watu wameenda kuwatembelea watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu, kumbe unafiki. Kama umempenda oa, huyo mtoto ni binadamu anastahili kuthaminiwa na sio kunyanyaswa.

Duuh, kumbe jamii yetu ni ya watu wanafiki kiasi hiki. Eti mdada mwenye mtoto! Tatizo lipo wapi? Kila siku tunaona nyumba za ibada zinajaa, watu wameenda kuwatembelea watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu, kumbe unafiki. Kama umempenda oa, huyo mtoto ni binadamu anastahili kuthaminiwa na sio kunyanyaswa.

Kaja.mbe mbele huko wapi nimemnyanyasa mtoto?
Kijana bado mdogo 24 kulea mtoto si haki pia huyo mwanamke akafie mbele mbona hakusubiri ndoa azae?
kapanuliwa huko kazalishwa sasa hivi ndo anajitia mpaka ndoa.
Mfyuuuuu
 
vijana wa siku hizi ni shiiiiiiiidddddeeeeeeeeerrrrrrrr.....mtu ameshatotoleshwa afu anajidai we anakukazia me nilidhani ye ni bikra
 
Acha upoyoyo wewe wanawake ni wengi sana iyo sio kazi kusema umeipoteza ulalamike, isitoshe uyi mwanamke ujamkuta bikra iweje akuzuie kula mzigo ungali yeye alishazaliswa hapo akili kumkichwa fanya maamuz magumu kjana
 
kwa hiyo mwakani unatimiza miaka 25 ??

Hongera
 
Hahaaaaa, hebu rekebisha "heading" unatutania wewe...Mtihani mgumu uko wapi??!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom