Nahisi nimebaki mwenyewe sasa msaada

Nahisi nimebaki mwenyewe sasa msaada

Alishakuja na story ooh yupo chuo dem anaomba sana hela mara smartphone, akaja tena kivingine kuwa kaacha kuhonga kapata maendeleo ana laptop na sub woofer hataki tena dem ha ha ha kumbe hana lolote eti chuo labda juma training college

hahahahaha wanasema ukiwa muongo uwe na kumbu kumbu
 
Kwa umri huo unatakiwa uwe unavuta bangi sio kuwaza mademu muda ukipita utayarudia ukubwani
Hahahahahah ushauri mbaya sana huu! Ila ni mzuri kwa upande mwingine
wale wazee wanaovuta bangi ujanani hawakuvuta
Na kweli !!!😀
wakazie wewe hao wanyama wetu ndo walivyo chukua mfano ushawahi muona Jogoo anavyomkimbiza koo........huku na kule ila siku ya siku anamkuta amechutama mbele anasubiria dushelele !!usitongoze kama unafanya application ya fedha kwa mzazi wakazie
Sijui kwanini huwa ni mpaka koo akimbizwe sana:what:
 
Ila huyu Heri lee ni msahaulifu mno na ni mwongo pia
Angalia thread hii
https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=692730 hapo alikuwa chuo na sasa anasema kamaliza form 4 :what::what:

Kwanza niwape pole na mishe
kuna demu flan nlikutana nae chuo baada 1 wiki nilitikisa kibiriti alikataa niliendelea kumwinda mwishowe alisema aniitaji na ana mpenzi na anampenda sana m si nkampotezea tangu juz aliniona na dem mwingne ameweka bifu haitikii salam ka zaman wala hata assnmt group hatuonge nkimwongesha anaweza hata nitukana au kunisonya
sasa sielewi kama what happening na ni wanawake wote wako ivi au

!!!!!???
 
Last edited by a moderator:
Thank you for the offer, mtu umemaliza Form iv, probably kazi pia huna unless unauza sembe hahahha

mbona mpunga umejaa mamy ili ufanye moja ili upate zila uko ready
 
hivi hizi bangi siku hizi mnavutia mata.koni?thread zako mbona ni za uwongo uwongo?
 
Madem wengine hawapendi pesa wanapenda swags je unazingatia uvaaji? isije ukawa mtu wa mayeno ohooo
 
Kijana kwa umri wako lazima uzinguliwe tu ingawa sio kila mtu atapitia kwenye shida hizi....

Kitu cha muhimu soma tafuta pesa utawapanga na watajipanga tu.
 
Dogo unachekesha.Inaonyesha class ulikua kilaza ndo mana hujaendelea na shule.Ungekazana kusoma sahv ungekua Form 5.Mie muda huo kwakua nlikua na-focus na my future basi nlikua nagegeda ma-beki3,no stress no commitment.Shule ikaenda poa sasa wewe endelea kujistress
 
Back
Top Bottom