Kwenye suala hili la Bandari, kumeibuka mivutano ya kidini mikubwa baina Waislam v Waikristo, Wakatoliki v Walutheri n.k hasa kwa 'raia wa mitandaoni' (Netzen). Mivutano hii ya kishabiki wa Kiimani imenipa jibu moja tu, HATUIJUI DUNIA.
Ustaarabu wa imani unaongozwa na kanuni hii:
IJUE DUNIA...
Dah, kweli uhuru hauna adabu. Yaani Mwijaku ni wa kumuambia Mwalimu na Daktari wa Sheria za Katiba(ambapo siasa na utawala hubobewa hapo) kuwa hajui siasa?
Mtoa mada Unapojinasibu kuwa unaelimu, halafu mambo ya msingi huyajui, inashangaza. Kazi ya kujenga shule sio ya Mo au GSM, hiyo ni kazi ya serikali.
Umetafiti wapi ukaona kuwa waislam wana shida ya shule?
Ziwe bongo flava, ziwe rnb, ziwe funk, ziwe rap, iwe rhumba, ziwe soul muhimu tu isiwe gospel au Kaswida.
1. Asante ya Sugu na Sele, kutoka kwenye album yake ya Muziki na Maisha. 'Chorus' yake aliifanya Mr Paul(hivi yuko wapi huyu mkali wa zouk?).
'lyrics';
Maisha yangu namshukuru...
Sasa ukitaka alichokifanya Mrusi ukraine, Kiwe copy cat kwa US ndio ukubaliane kuwa mabeberu ni watu dhalimu, basi una muono finyu. Unajua pia kwenye biashara za kimataifa, unapozungumzi ardhi ni dhana pana ikijumuisha vilivyomo juu na ndani yake?
Kwani US alipotaka ivamia Cuba 1963 inatofauti...
Una jiumiza nafsi bure tu. Ndio dunia inaenda hivyo. Wakubwa wanavamia wadogo, wanawatawala, wanachukua rasimali na kugeuza masoko na maabara za majaribio ya teknolojia zao.
Hizi laana zingekua zinafanya kazi, basi Marekani isingekua imeendelea kwa sayansi na teknolojia leo.
Ukiona mtu hajadili hoja akaanza kumzodoa mtoa hoja, akaanza tafuta makandokando ya hoja, basi jua hoja hiyo ina mashiko na mjibu hoja ameshindwa.
Mtu anaanza tafuta vyuo vilivyopo malaysia, maana yake hoja kuu imemshinda kujibu.
Mtu akianza tafuta dini ya mleta hoja, basi hoja kuu imemshinda...
Nitasikitishwa sana kama BAKWATA watacounter tamko la TEC. Tutaingiza jamii kwenye mtanziko wa ajabu sana. Rais Samia, serikali yako na chama changu CCM kina watu makini kabisa wa kuweza kukuvusha hapa ulipo kwama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.