Recent content by BRO LEE

  1. BRO LEE

    JamiiForums Tanzania Kumbe mimi na wewe hatupo?

    Kweli, kama ni ugonjwa yupo wodini tunaelekea ICU. Japo pia tuna wazee wa hovyo a.k.a chawa wazee .
  2. BRO LEE

    JamiiForums Tanzania Housegirl alipwe Mshahara wa elfu 80 hadi laki 3

    Hili suala ni mtambuka linapaswa kufanyiwa mchakato sana, sipingani na hoja ila modality ya utekelezaji ndo ikoje?. Kuna baadhi ya familia dada wa kazi ni sehemu yao, analipwa labda 50K lakini anatibiwa, ananunuliwa mavazi, anapewa hela ya kusuka, anapewa hela ya vocha kwa kuwa simu yake...
  3. BRO LEE

    JamiiForums Tanzania Kumbe mimi na wewe hatupo?

    Ndo kinachoakiwa la sivyo tutakuwa na Taifa la hovyo sana hapo baadae.
  4. BRO LEE

    JamiiForums Tanzania Kumbe mimi na wewe hatupo?

    Nimesoma nikarudia na kurudia, kisha nikaanza kutazama avatar na jina, hii akili iliyotumika ni kubwa sana kwa kizazi hiki cha chawa wanafikiri kwa kutumia tumbo.
  5. BRO LEE

    JamiiForums Tanzania Kila nikianza ku "save" hela, matatizo ya kifamilia yananisonga. Nifanyeje?

    Hilo duka gani ndugu, duka la kijijini unalipwa kiasi gani hadi uweze kufanya matumizi hayo yote kwa mwaka mmoja?!!!!. Anyway ujumbe umefika unaomba msaada .
  6. BRO LEE

    JamiiForums Tanzania Kwenu wazazi wenye watoto wa kike

    Kwa mtizamo wangu, thamani ya mwanamke haipo kwenye bikra ndo sababu inatoka hata kwa mazingira fulani tu. Thamani ya kweli ipo kwenye uwekezaji wa kimalezi, waliofanya wazazi/walezi. Sawa labda unahitaji bikra vipi ukishaitoa itaendelea kumfanya awe na heshima, upendo, utulivu wa akili, mwenye...
  7. BRO LEE

    JamiiForums Tanzania Waepuke wanawake masikini

    Kuna ukweli kwa asilimia kubwa, japo hao unaoita maskini ndo wanaotoa furaha ya kweli kwa wanaume, angalia katika mahusiano wanandoa ambao wote wanakazi nzuri na maisha mazuri upande wa mahusiano hawako vizuri baba atatamani house maid angakuwa mke wake, na anaweza kuwa na mahusiano na mhudumu...
  8. BRO LEE

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi

    Habari wana jamvi, naomba ufafanuzi wa kisheria kwa jambo hili. Bwana X aliomba mkopo wa benk kwa dhamana ya nyumba ambayo ilikuwepo eneo ambalo halijapimwa na viongozi wa mtaa wakadhibitisha hati ya mauziano kisha bank ikatoa mkopo. Bwana X akashindwa kulipa mkopo wake bank ikaikamata kupitia...
  9. BRO LEE

    JamiiForums Tanzania Msaada Tafadhali

    Asante tajiri
  10. BRO LEE

    JamiiForums Tanzania Msaada Tafadhali

    Natumia Oppo A 55
  11. BRO LEE

    JamiiForums Tanzania Msaada Tafadhali

    Kila nikijaribu ku - install app ambazo sio za play store zinakataa na nakutana na huo ujumbe , naomba namna ya kufanya, mf. Snaptube, you tube go nk
  12. BRO LEE

    JamiiForums Tanzania Nikiambiwa hii Mvua Kubwa inayonyesha (hasa Mkoani Dar) haijaondoka na Watu na haijaleta madhara ya Mali na Miundombinu nitabisha hadi Kiama

    Hii taarifa ingekuwa na picha ingependeza. Kwa wananchi wa DSM sitarajii wadanganyike kirahisi km wa Mikoani, et kujengewa daraja na mbunge !!. Tujifunze kutafuta taarifa toka mamlaka zinazohusika.
  13. BRO LEE

    JamiiForums Tanzania Eti anadai hawezi kwa sababu mimi ni mama wa mwanaye!

    Heshima mwisho sebuleni chumbani kazi kazi, wanaume ndo tunafail hapo mwanamke anataka akunjwe , aminywe halafu mtu anampapasa. Ndo sababu wengine wanagongewa na bodaboda wao wanapigw rough km wanavyoendesha tough
  14. BRO LEE

    JamiiForums Tanzania Nisikilize: Mkeo si ndugu yako

    Maisha hayana kanuni kwa hiyo itategemea na wanandoa au wanafamilia, wapo ambao wenzi wao ndo waliowatoa kwenye utumwa wa fikra na uchumi toka kwa ndugu zao na kuwafanya wajiamini na kujiyegemea na mwisho na hivyo kuwa na uchumi na maamuzi binafsi kwake mke ni kila kitu. Wapo ndugu lawama wao...
  15. BRO LEE

    JamiiForums Tanzania Nifanyeje?

    Habari wadau, natumia oppo A 55, nimejaribu ku-install snatube app lakini haikubali naomba msaada nijue nakwama wapi au nifanyeje. Nimeshaitua kwa simu ya awali Oppo A 16 na huawei.
Back
Top Bottom