Recent content by bro alex

  1. bro alex

    Ni kweli huwa mnapata wenza humu?

    ndio hela NINAYO sabab silishwi na serikali Fullstop, kwishaaaa
  2. bro alex

    Bila promo ZeroBrainer endelea kuiheshimisha Tanzania

    Mkuu Huwa unamsikiliza vizuri huyo mshikaji walau hata interview Moja tu Isha wah msikiliza? Fullstop, kwishaaa
  3. bro alex

    Uamuzi wangu ni huu kwenye mapenzi

    Ukimpenda mwanamke usilianzishe hapo hapo subira ni muhimu sana peaneni walau miaka minne au mitano ya kufahamiana zaidi, alipata mwingine basi HAIKUA riziki, ili jambo lisha kuwa sugu just imagine ndoa ina kaa miezi mitatu inavunjika kwelii, inasikitisha Sanaa, peaneni muda hata miaka mitano...
  4. bro alex

    Bila promo ZeroBrainer endelea kuiheshimisha Tanzania

    Ila nyimbo za diamond, pambe au sio Fullstop, kwishaaa
  5. bro alex

    Ni kweli huwa mnapata wenza humu?

    Coc Niko serious na wewe ila mapenzi YANGU na wewe kama yatakuwepo basi itabidi tupeane walau miaka minne mbele ndo yaanze sio sasa ni uwongo ukisema umuingize mtu moyoni haraka hivi sikweli, miaka minne tosha kabisa kwa uaminifu, kuaminiana coc mi Niko tayari kukusubiri, mapenzi ya kweli Huwa...
  6. bro alex

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Mkuu Mimi sio kijana mi ni mtumzima namanisha man SAMAHAN kama nmekubugudhi mkuu, chaowww Fullstop, kwishaaa
  7. bro alex

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Umenifananisha mi ni MGENI humu, naitwa bro alex SIJAWAHI sajili I'd tofauti na hii, and this is my really name ALEX au NMEKOSEA njia sio Mimi ulie ni target mkuu Fullstop, kwishaaaaa
  8. bro alex

    Wanawake wanapata Raha sana wakifanywa hivi

    Fullstop, kwishaaaaa
  9. bro alex

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Hahahahaaaaaaaa coca mi Haina hata haja ya kuniroga nikisha penda, kwishaaaaa habari YANGU labda uzingue weweeeee, mana mi ni msukuma sa tunalindwa na mizimu nikirogwa mizimu yetu inachukia beibii we nipe UPENDO TU ni limbwata tosha Fullstop kwishaaaaaaa
  10. bro alex

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Utafiti upi? kwamba we ni me au mke wa jamaa? nisikilize Nina more alternative na Nisha jipanga kwa lolote mfano mbona Kuna surgery za kubadili vifanyio inabadili unawekewa nyapu na titi unawekew Utafiti upi Yani kama we ni me au ni mke wa huyo JAMAAA? Kama ni me na umerizia kua ke si unafanya...
  11. bro alex

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Nikufiche nini sasa, am in looove with uuuuu , unakumbuka walisema we ni me si ke, sasa Tena naona Kuna watu wanalalmika we ni shemeji yao sa nachanganyiiiikiiiwa, nmu sikilize nani sasa? Wao walisema nataka kula me mwenzangu wakimanisha we ni shoga Tena saivi naambiwa nataka kula shemeji yao au...
  12. bro alex

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Sasa coc unafikiri nifanyeje, ili hali we hutak tuonane? au unatafutwa na usalama wa taifa? Niwewe tu ukitaka ata saivi you tell me tupeane location romance love ianze, sinaga show ndogo kwenye couple, utasahau hata hii jf am really sio muongo ndo MANA hata hili jina Alex ndo langu linatambulika...
  13. bro alex

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Nisikilize coc nisikilize kwa umakini mi SIJAWAHI OWA, na sikia na mpango huo hivo we sikupangi love is really, nmetoa miaka minne anae kutaka akuowe ikiisha Sito kua na break baby you know how twin birds fly the heaven during day, I think I will be me and you and it will look awesome, love baby...
  14. bro alex

    Bila promo ZeroBrainer endelea kuiheshimisha Tanzania

    Mkuu sijui kufake kaka, am Alex really, sio zero brainer huyo ni dogo tu nmejisikia furaha kwa kazi anayo Fanya Fullstop, kwishaaaaaaa
  15. bro alex

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    coc Huwa nahisi Kuna mtu hum unae kimahusiano ndo mana Kuna muda naamua kukupotezea, Kuna wengine hatunaga moyo wa uvumilivu coc, niambie nafac yang kwako, chapchap basi USIJE nifuma NAPIGA sound mtu hum coc pliz🙏♥️♥️🥀 Fullstop, kwishaaaaa
Back
Top Bottom