Recent content by Brindy

  1. Brindy

    Baba yangu huwa ananibaka

    i think kuna shida mahali.nahisi ana tatizo na kulisema anashindwa.
  2. Brindy

    Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

    Nimechekaaaa mnoooo aisee
  3. Brindy

    Hebu niambie; Mpenzi wako au mumeo/mkeo akikupiga hadharani, utachukua hatua gani?

    Ntanyamaza tu niondoke eneo la tukio,litakalofwata nyumbani kwakweli sifahamu.....najua tu sitaweza kumrudishia.....
  4. Brindy

    Mlioolewa ni nini kiliwaliza siku ya harusi?

    Nlilia cku moja kabla....nliwaza ntakavyomiss kwetu....na mambo ya kuomba ruhusa kwenda nyumbani dah! Nlikuja kulia tena a week after baada ya kuwakumbuka sana kaka zangu. Na pia ule usia wa kuwa mume ni mtoto wako wa kwanzaaaa ulikuwa unaniwazisha esp nikiwaza amenipita 10 years how...
  5. Brindy

    Ulimpataje umpendae?

    Dah....mi tulimit bar...ilikuwa mara yangu ya kwanza kuingia bar. Tukadate miaka miwili na sasa tuna mwaka ndani ya ndoa.
  6. Brindy

    Kimenuka mke wa jamaa yangu nilimuweka kwenye whatsapp

    hauko serious..... unawezaje kufanya hivyo?
  7. Brindy

    Nalia nikimaliza kufanya mapenzi

    mi nakuelewa vyema belie. sema sina namna ya kukusaidia
  8. Brindy

    Movie hii itatoka hivi karibuni

    watanzania bwana, embu jaribu kuthamini vya kwenu! ntaitafuta ikitoka.
  9. Brindy

    Dr. Myles Munroe, Mkewe na mtoto wao wafariki katika Ajali ya Ndege

    very sad indeed. utakumbukwa kwa mengi hasa kwa namna ulivyobadili maisha ya wengi. RIP both you and your wife and daughter.
  10. Brindy

    Natafuta mchumba

    duuh! kwahiyo vibonge hatuna letu?
Back
Top Bottom