Nlilia cku moja kabla....nliwaza ntakavyomiss kwetu....na mambo ya kuomba ruhusa kwenda nyumbani dah! Nlikuja kulia tena a week after baada ya kuwakumbuka sana kaka zangu.
Na pia ule usia wa kuwa mume ni mtoto wako wa kwanzaaaa ulikuwa unaniwazisha esp nikiwaza amenipita 10 years how...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.