Angalizo: Wanaoitwa interview na utumishi wa umma

Angalizo: Wanaoitwa interview na utumishi wa umma

Hii thread imefungua zaidi upeo wa mambo yanayozingatiwa wakati wa usaili. Amani sana kwako muanzisha mada pamoja na wachangiaji..

Kwa niaba yao nasema, thanx! wee ndio yule NDEE wa Moshi/Arusha!
 
Kwa niaba yao nasema, thanx! wee ndio yule NDEE wa Moshi/Arusha!

Sio mimi mkuu,ila hiyo mikoa niliwahi ishi wakati natafuta elimu dunia ngazi ya chuo miaka ya 2006-2011..
 
Habari wanajamii!

Mimi ni HoD katika taasisi moja ya serikali, inayojihusisha na utoaji wa elimu ya juu Jijini DSM, huko nyuma tuliwai kuomba ofisi ya Rais Utumishi wa umma, kutangaza nafasi za kazi ambazo zipo wazi hapa ofisini kwetu, nyingi zake zikiwa ni walimu, na chache zilikuwa za watu wa utawala!

Baada ya mchakato wa kutangaza na hatimaye waombaji kuitwa na tume katika APTITUDE TEST, ikaja zamu ya Oral interview na Practical interview kwa upande wa walimu! Mimi nilikuwa memba wa interview panel wa taasisi nikishirikiana na wale maofisa kutoka utumishi!

Cha kusikitisha ni namna watanzania wenzangu wasivokuwa na umakini katika masuala muhimu kama utafutaji wa ajira na hasa interview, ama niseme sijui ni masihara ama uswahili wetu! Makosa mengi yalifanywa na wahojiwa kiasi cha kunitia simanzi mle ndani ya INTERVIEW PANEL, huku nikichoka kwa kujua upuuzi wote ule, wametoka katika vyuo vyenye majina makubwa hapa nchini! Baadhi ya makosa yaliofanywa na waombaji kazi ni haya hapa:


  1. Wengi walikuwa na maelezo marefu sana, tena yasiyo ya msingi ktk swali la kwanza kwa kila muulizwaji. Wote walianza kwa kuulizwa: "Tell us about your historical background" Yaani hapa watu walibwabwaja, aiseeee1 watu wakataja mpaka wanasiasa, wakataja vyama, idadi ya watoto, wengine wakataja hadi mambo ya ndoa, kuna waliotaja hobby zao, yaaani maelezo mengi mpk huruma! walichemka vibaya!
  2. Hii nchi kuna urasimu sana kama uliwahi ama bado unafanya kazi serikalini, na kisha ukaomba kazi sehemu nyingine, serikalini! katika interview ile, sijui ni kutokujua (nimewasamehe) ama ni kupenda sifa, wasailiwa walikuwa na mbwembwe sana wakati wakujibu swali hili! Katika panel niliokuwepo, kati ya wasailiwa 15, 7 walisema wamewahi ama wanafanya kazi serikalini, afisa utumishi kutoka UTUMISHI aliwadisqualify kuendelea na interview wasaliwa wa aina ile, on the spot!
  3. Wengi hawakutii agizo la kwamba kama wapo na kazi ya serikali, wapitishe maombi yao kwa waajiri wao! Hii iliwagharinu ktk ukumbi wa interview!
  4. Ushamba na dharau! kuna walioambiwa watengeneze SLIDES not less than 10 ndani ya 1 hour, kwa topic aipendayo msailiwa, bado watanzania wenzangu, kuna wasailiwa waliandaa slides 3, wengine 2, kuna jamaa na Masters yake nje, aliandaa slide 1 tu, ya Mathematics! Katika dunia ya leo skills za computer ni muhimu sana, unamuelewaje mtu mwenye Masters ambaye hata kuandaa slide 10 ndani ya lisaa 1 hawezi!
  5. UREMBO! Kosa hili lilinishangaza sana. Kuna bidada, msailiwa alikuwa mrembo, na alikuwa na mvuto kusema ukweli. Panel ilikuwa na wanaume wote, watano, sasa sijui yeye alikuwa na akili gani kichwani mwake kuhusu wanaume sisi, wakati woote wa maswali ya oral alikuwa na pozi, sijawahi ona hapa Dsm! Pozi mbele ya interview panel. Alikuwa anafanyiwa usaili wa kuwa assistant tutor, aisee wakati anapresent, tulikoma na swaga zake! mara kashika nywele, mara min kaivuta juu, mara kavua miwani, mara kaivaa! mara ananyata pale mbele, mara hereni zinawasha! mara scarf sijui inalegea, sijui inabana shingo! Tulitamani amalize dakika zake 30, aende zake!
  6. Muda! Kama kawaida yetu! wapo waliochelewa, na walipofahamishwa kuwa wamechelewa wakaanza kwa kuangua vilio!
  7. Mara nyingi, kila mwisho wa interview, msailiwa huulizwa kama ana swali ama maoni kwa panel! wengi hawakuuliza swali wala kutoa maoni yao! Kilinivutia kitu kimoja, wachache waliouliza, walikuwa wanaulizia maslahi na hasa Mshahara! Kwamba mshahara ni Tshs ngapi na kama kuna marupurupu mengine! Sikuweza kuelewa mara 1 kuwa walikuwa wana maana gani (mtanisamehe kama mimi nimewaelewa vibaya) kutaka kujua mshahara, kwa mimi nijuavyo, mshahara wa serikali huwa hauna room ya kubargain, sasa kama alishaapply, akafanya interview ya kwanza, na akaja interview ya pili, swali hili sikuweza kujuwa logic yake hata!

WaTanganyika wenzangu na hasa, wale wanaotafuta kazi za serikali, naomba tuwe makini na hizi mambo, maisha ya mtaaani ni magumu, wasio na ajira ni wengi sana, tupunguze masihara na mizaha yetu tuliozoea, tuongeze umakini katika hili!

Mwenye sikio na asikie!

1. red ya kwanza wewe ni heaven on desert ( HoD)
2. hapo namba mbili kuna kosa gani mtu kusema anafanya kazi Serikalini? huoni kwamba inamuongezea sifa ya kuwa na uzoefu wa kupata kazi kwenye taasisi nyingine ya Serikali? kama huyo afisa utumishi amewa disqualify hao vijana atakuwa amefanya makosa makubwa! hakuna kosa hapo hata wewe unayeshabikia ndio walewale. mtu anataja sifa za ziada alizonazo nyinyi mnasema ana mbwembwe?
3. namba tatu huu ni upuuzi mwingine mnaoufanya nyinyi mtu hakutimiza vigezo vya kupitisha barua kwa mwajiri unamuitaje kwenye usaili? tena anapita usaili wa kwanza na mnamsubiri kwenye ya mwisho na kumdhalilisha? mtu ameshaanza kuwa na matumaini ya kupata ajira then unamdisqualify kwa swali la kijinga namna hiyo? f..ck!
4. namba saba waliouliza mshahara hawakukosea! taasisi za Serikali hazina mishahara inayofanana! Mshahara wa mtu Wizara ya maji ni tofauti na mshahara wa mtu wa Dawasa na dawasco! Mtu wa wizara ya ujenzi mshahara wake ni tofauti na wa Tanroad!...Kuna TGS kwa Wizarani na na scale zingine hasa za Agencies ni tofauti si kosa kuuliza na si lazima ujue mshahara wa hiyo taasisi kwani kazi nyingi zinaishia kusema utalipwa atractive package baasi. waliouliza wamefanya kosa gani? mmewafelisha mungu atawalaani kwa hilo!

Mwisho. siku hizi interview panel nyingi zimejaa watu wa aina yenu mnaoenda kuwasanifu wenzenu wanaotafuta kazi badala ya kuwapima uwezo wao mnakaa na vitai vyenu pale mbele kama mnaangalia sinema shennzy taip!
 
Serikalini Siku hizi competition ni kubwa na wako makini sana. Mleta mada amesema ya msingi yasipuuzwe.
 
1. red ya kwanza wewe ni heaven on desert ( HoD)
2. hapo namba mbili kuna kosa gani mtu kusema anafanya kazi Serikalini? huoni kwamba inamuongezea sifa ya kuwa na uzoefu wa kupata kazi kwenye taasisi nyingine ya Serikali? kama huyo afisa utumishi amewa disqualify hao vijana atakuwa amefanya makosa makubwa! hakuna kosa hapo hata wewe unayeshabikia ndio walewale. mtu anataja sifa za ziada alizonazo nyinyi mnasema ana mbwembwe?
3. namba tatu huu ni upuuzi mwingine mnaoufanya nyinyi mtu hakutimiza vigezo vya kupitisha barua kwa mwajiri unamuitaje kwenye usaili? tena anapita usaili wa kwanza na mnamsubiri kwenye ya mwisho na kumdhalilisha? mtu ameshaanza kuwa na matumaini ya kupata ajira then unamdisqualify kwa swali la kijinga namna hiyo? f..ck!
4. namba saba waliouliza mshahara hawakukosea! taasisi za Serikali hazina mishahara inayofanana! Mshahara wa mtu Wizara ya maji ni tofauti na mshahara wa mtu wa Dawasa na dawasco! Mtu wa wizara ya ujenzi mshahara wake ni tofauti na wa Tanroad!...Kuna TGS kwa Wizarani na na scale zingine hasa za Agencies ni tofauti si kosa kuuliza na si lazima ujue mshahara wa hiyo taasisi kwani kazi nyingi zinaishia kusema utalipwa atractive package baasi. waliouliza wamefanya kosa gani? mmewafelisha mungu atawalaani kwa hilo!

Mwisho. siku hizi interview panel nyingi zimejaa watu wa aina yenu mnaoenda kuwasanifu wenzenu wanaotafuta kazi badala ya kuwapima uwezo wao mnakaa na vitai vyenu pale mbele kama mnaangalia sinema shennzy taip!

Wachangiaji wanajua tofauti ya ulichoweka hapa na kile nilichoweka mimi! Hongera na wewe umechangia!
 
Inabidi uwe safi kwenye tilio,,maana hata kama unaiweza power point kuweka madude slide kumi si haba.

Ni kweli kabisa, ila kwa vile unakua ushajua what you're going to do nadhani unatakiwa kujiandaa tu then inawezekana.
 
Hakuna kitu hapo kuwa na maneno mazur sio uchapakaz mi nashaur wabadili staili za usaili huu! wengine huwa hatuwez kuongea sana lkn tunachapa kaz balaa! interview za staili hiyo wazipeleke kwa wanasiasa sio kaz za kitaalamu!

Kuna jamaa wawili mmoja alishfanya vizuri sana kwenye written na akamzidi mwenzake. ilipokuja kwenye oral yule aliyefanya vizuri kwenye written akazidiwa sana na mwenzake na akakosa kazi. kwa bahati akaitwa baadae kwenye tasisi hiyo hiyo. sasa sikia yule kipanga wa oral ni mpiga story maarufu ofisi nzima wakati yule wa written akiingia ofisini habanduki mpka anamaliza mzigo yaani ni mchapa kazi hasa. ndio maana nimemuambia jamaa hapa bongo bado hatuajua kufanya rigorous search ya vipaji. tunatumia dk 15 tu kumpa kazi mtu aliyeongea vizuri na aliyevaa vizuri kwa siku hiyo tuu. mbaya zaidi mtu ambaye hana taaluma ya kugundua vipaji anapewa jukumu la kuchagua mfanyakazi. bado sana sisi
 
1. red ya kwanza wewe ni heaven on desert ( HoD)
2. hapo namba mbili kuna kosa gani mtu kusema anafanya kazi Serikalini? huoni kwamba inamuongezea sifa ya kuwa na uzoefu wa kupata kazi kwenye taasisi nyingine ya Serikali? kama huyo afisa utumishi amewa disqualify hao vijana atakuwa amefanya makosa makubwa! hakuna kosa hapo hata wewe unayeshabikia ndio walewale. mtu anataja sifa za ziada alizonazo nyinyi mnasema ana mbwembwe?
3. namba tatu huu ni upuuzi mwingine mnaoufanya nyinyi mtu hakutimiza vigezo vya kupitisha barua kwa mwajiri unamuitaje kwenye usaili? tena anapita usaili wa kwanza na mnamsubiri kwenye ya mwisho na kumdhalilisha? mtu ameshaanza kuwa na matumaini ya kupata ajira then unamdisqualify kwa swali la kijinga namna hiyo? f..ck!
4. namba saba waliouliza mshahara hawakukosea! taasisi za Serikali hazina mishahara inayofanana! Mshahara wa mtu Wizara ya maji ni tofauti na mshahara wa mtu wa Dawasa na dawasco! Mtu wa wizara ya ujenzi mshahara wake ni tofauti na wa Tanroad!...Kuna TGS kwa Wizarani na na scale zingine hasa za Agencies ni tofauti si kosa kuuliza na si lazima ujue mshahara wa hiyo taasisi kwani kazi nyingi zinaishia kusema utalipwa atractive package baasi. waliouliza wamefanya kosa gani? mmewafelisha mungu atawalaani kwa hilo!

Mwisho. siku hizi interview panel nyingi zimejaa watu wa aina yenu mnaoenda kuwasanifu wenzenu wanaotafuta kazi badala ya kuwapima uwezo wao mnakaa na vitai vyenu pale mbele kama mnaangalia sinema shennzy taip!

Ahahahahhaahhaha ila oweli wanawafanya watu sinema
 
Back
Top Bottom