Best achana na hawa vinyamkera wana stress za maisha, don't give up be strong mama jikaze utafanikiwa mm nachokushauri jitahid upate hata elfu 10 nunua beseni tembeza mihogo mibichi na machungwa kwenye sehemu za ujenzi au bodaboda utauza au nunua trey ya mayai chemsha anza kuzungusha kikubwa...
Yeah hapo wamepunguza idadi naona hao 29 watachukua database maana Kuna post tayar wamefanya sana interview tuendelee kupaza sauti watasikia kilio chetu. Nikisema huyu mbingunikwetu ni psrs mwenyew mnakataa kunielewa 😂😂
Ni kweli hao 29 watachukua database ndio maana wakapunguza
Ndio ushangae wengine tukisema tunaonekana waongo hata kazi za Tira mawakili sijui na insurance wamefanya interview juzi juzi tu.
Hata hizi za assistant account watu wamepiga interview juzi juzi tu na hamna placement yoyote ila wamekazana kutangaza upya ili wapate posho
Wametangaza kazi za LGA and MDA wanaona hata aibu kuandika tangazo la nafàsi za kazi LGA and MDA wakaweka tu tangazo la kazi 😂😂😂😂😂
Msichojua ni kwamba kwenye huu uzi wapo mawakala wa psrs na Moja akicomment mwingine anakuja kusapoti na pia wana tabia ya kujidai kuuliza maswali yenye kulenga...
Mpotezeeni huyo amekuja kupotosha uzi na kututoa kwenye mada
Asa kazi zenyewe hatujapata tuanze kujadili mishahara badala ya kupaza saut psrs wajirekebishe na kutoa placement kwa wakat nyie mnakubali kuyumbishwa
Fungueni uzi wenu mkajadili mishahara
Maana huyu wakala wa psrs anatutoa kwenye lengo la uzi.
Tungeendelea kusukuma ajenda kwanini wanarudiarudia kutangaza post zilezile daily
abeche mfwende sawadogo
Cha ajabu ni kwamba database haina watu 🙄🙄🙄 au ni kutafuta posho tu wanazingatia. Basi kama ndio hivyo database ifutwe maana haina maana kila siku kufanya interview post zilezile
Mfano: mhandishi umeme, hydrogeologist, procumbent and supplier's office, assistant account, transport officer, ict...
We vp ndio sababu ya msing maana sikumbuki password na email nayotumia tofaut hivyo mind your business huwezi kupotosha uzi alafu tukuchekee. Unatafuta huruma kwa kulia Lia kwendraa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.