Shule ya msingi Nzivi Green Star English Medium iliyopo Mufindi Iringa inatangaza nafasi ya ualimu.
Mwalimu wa kike wa masomo ya kiingereza/primary anahitajika haraka.
VIGEZO
1. Awe na uwezo kufundisha watoto kujua kusoma na kuandika kwa kiingereza kuanzia la kwanza.
2. Awe tayari kuja...
Shule ya Nzivi Green Star English Medium primary school iliyopo Mufindi-Iringa, inatangaza fursa ya ajira za ualimu.
1. Nafasi mbili za walimu wa hisabati na sayansi.
2. Mwalimu mmoja wa Montesori
3. Mwalimu mmoja wa kiingereza.
*Vigezo
Maombi yatumwe kupitia email ya mwalimu mkuu...
Mwalimu T, Rafiki yangu kipenzi wa enzi na tena mhitimu wa ndaki ya Ruaha. Kwa sasa ninafanya naye kazi. Alidumbukia ndoani miaka miwili iliyopita. Bwanaye ni mshehereshaji, mwembamba wa mwili na mkubwa wa maneno. Hachagui neno lipi lianze na lipi lisubiri. Wala hajui hapa aseme lipi na pale...
Shebby si mwanangu kiviile sema anahusika sana kunipa mapande mbalimbali. Mchizi wangu kibonge Suddy ndo zinapanda sana japokokuwa hana mchongo wa maana hapa town. Huwezi amini majuzi kati nmechill zangu gheto mara mwamba Shebby huyu hapa, halafu yuko na pisi mbili kali kishenzi.
“Oya kamanda...
Ndoa haiendeshwi na maoni[emoji23]. Ndoa hutegemea tamaduni na personalities. Sio kila mtu anapenda chat chat, kurukaruka, kushikana na kuonekana public. Halafu hatufanyi mambo robotically, eti mfanyie hili au lile kila siku hiyo ni kuwa mechanic na sio genuine. Acha uhalisia uongee. Mwalimu wa...
Dunia inatangaziwa kutatokea mafuriko baada ya siku tano.
Dalai Lama anawaambia waumini wa Kibudha inatakiwa wafanye tahajudi (meditation) na wasubiri kuzaliwa upya (reincarnation).
Papa anawaambia waumini wa Kikatoliki duniani kutubu dhambi zao na kuomba.
Lakini Mwalimu wa Kiyahudi (Rabbi)...
Hakuna anayelazimishwa kupeleka watoto shule za private, kama pesa inaruhusu unapeleka kama hauna shamba la bibi lipo[emoji16]. Na private zinatofautiana bei, zipo zenye gharama kubwa kama international school of Moshi na Tanganyika, ada zinaenda hadi zaid ya 70m kwa mwaka grade za juu. Lakn...
Habari ndg. zangu!
Naomba msaada kwa mtu mwenye mawasiliano ya Watanzania fulani waliosomea China walianzisha magroup ya whatsapp kutoa msaada namna ya kuomba Chinese scholarships kwa mwaka jana. Kwa bahati mbaya nilipoteza mawasiliano yao.
Yeyote tafadhali mwenye mawasiliano yao au links za...
Nani huruhusu na nani hukataza?
Halafu nimeona uzi wako umechoka kukaa kwa mama mkwe[emoji3][emoji3][emoji3]. Ujue hata hiyo ni dhambi. Dhambi ya kutomheshimu mume kama kichwa cha familia kama biblia isemavyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.