Recent content by brightangel

  1. brightangel

    Yamenikuta: Mpenzi nikifanya naye mapenzi leo, kesho anataka tena

    Mmmh jmn khaaa,huyo dada nae kiboko,kiungo gn hicho kisichochoka kusuguliwa mbona anaondoka amevimba sasa,duuuu
  2. brightangel

    TUCTA wasema wangeshirikishwa kwenye kuboresha mishahara wangeshauri nyongeza hiyo isitangazwe hadharani

    Yaaani kwa kifupi hakunanhata senti tano itakayoongezeka kw mtumishi yoyote yule, tupo tusubiri mjioneee wenyewe
  3. brightangel

    Ndoa ya miaka tisa hawajapata mtoto, Mungu nusuru ndoa hii

    Nimekupenda bure ndg yangu, tatizo watu wengi wamekuw wanaingia ktk ndoa kw lengo moja wanapolikosa ndio fujo zinaanza, tujifunze kw wenzetu wazungu,ndoa ni wao tuu mtoto akitoa wanasema asante,sasa siye mmmh Mungu tusaidie
  4. brightangel

    Huyu mke wa mtu ananitafutia matatizo!

    Duuu,uckubali,kumbuka,muosha huoshwaaaaa
  5. brightangel

    Newcomer

    Asantee
  6. brightangel

    Kifo cha Mwalimu Nyerere 14/10/1999, ulikuwa wapi?

    Haaaa,kwel wkt ule tulikuw tunamaliza mwezi wa9,i think,lkn nakumbuka nilikuw Primary level
  7. brightangel

    Mbasha afurahia wanawake wanavyompenda

    All the best,ishu ndio kupata huyooo aliyetulia ndio kazi ilipo,Mungu akusaidie
  8. brightangel

    Newcomer

    Hi, nawapendaaa,
  9. brightangel

    Nahitaji mke wa kuoa

    Haaaaa tenaaaa
Back
Top Bottom