Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,118
- 27,945
Haya mambo magumu sana usiombe ukutane nayo, huko ex wife naye analia mlio wake huko aliko, kama ni wa nokia au tecno Mungu ndiye anajuaUkweli ex mume anahitaji tumfungie maombi haya mambo bhana omba usikutane nayo tu, je ex wife wa jamaa