Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Kwa kawaida ikifika tarehe 23 ya kila mwezi mishahara inakuwa imeshatoka karibu kwa watumishi wote wa umma hili likiwa ni jambo la kupongeza sana tofauti na awamu zilizopita.
Sasa leo Alhamisi tarehe 23 kimya Ijumaa ya kesho nayo ikipita kimya maana yake ngoma ni mpaka Jumatatu na kuendelea huku uchaguzi unakuwa teyari umepita.
Anyway,huenda labda marekebisho ndio yanachelewesha hivyo watu wasikate tamaa na pia tusibiri tuone kesho inapitaje kwanza.
Nawaza tu mwenzenu.
Sasa leo Alhamisi tarehe 23 kimya Ijumaa ya kesho nayo ikipita kimya maana yake ngoma ni mpaka Jumatatu na kuendelea huku uchaguzi unakuwa teyari umepita.
Anyway,huenda labda marekebisho ndio yanachelewesha hivyo watu wasikate tamaa na pia tusibiri tuone kesho inapitaje kwanza.
Nawaza tu mwenzenu.