Niliwahi kumwuliza jaji mkuu wa miss Tanzania, bwana Shah, vigezo vinavyotumika kumpata mshindi na kuniambia yafuatayo: 'shape' na 'size' ya mwili, urefu kwa kimo, size ya hips, n.k. Hii ilinipa hisia kuwa mashindano haya yanaanzia kwingine - ndani ya chumba hivi bila watazamaji - na kuishia...