FrankOwner
Member
- Mar 18, 2010
- 54
- 2
Politics is a dirty game...sasa kama ma professor wote wame kimbilia kwenye siasa na kujitahidi kuwa kamua walala hoi tusio na elimu...tusi shangae kusikia kauli hizo za ajabu...kwani wakosoaji ndio haohao wako kwenye game....kilicho baki hewala bwana...au la 2010 be history to them!!!!!!!!!!!!!!!!!!!