mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,966
Nimekuwa mtazamaji na mchangiaji katika jukwaa kwa muda sasa.Lakini ombi langu kwa leo nadhani umefika muda niseme kwamba nahitaji mke.Sifa zifuatazo zinahitajika.Mzuri wa haja,mweusi(si kama Idd Amini),mwenye urefu wa wasitani,asiyependelea vileo,mwenye kiu ya maendeleo, MCHA MUNGU,asiwe ni ndiyo mzee(she must be critical),awe mfanyakazi kwa kujiajiri au kuajiriwa (lakini si mwanasheria),Umri walau kuanzia miaka 23 mpaka 25.La muhimu zaidi asiwe mwanasiasa.Karibuni.