Sasa nataka kuoa.

mayenga

JF-Expert Member
Sep 6, 2009
4,118
1,966
Nimekuwa mtazamaji na mchangiaji katika jukwaa kwa muda sasa.Lakini ombi langu kwa leo nadhani umefika muda niseme kwamba nahitaji mke.Sifa zifuatazo zinahitajika.Mzuri wa haja,mweusi(si kama Idd Amini),mwenye urefu wa wasitani,asiyependelea vileo,mwenye kiu ya maendeleo, MCHA MUNGU,asiwe ni ndiyo mzee(she must be critical),awe mfanyakazi kwa kujiajiri au kuajiriwa (lakini si mwanasheria),Umri walau kuanzia miaka 23 mpaka 25.La muhimu zaidi asiwe mwanasiasa.Karibuni.
 
Nimekuwa mtazamaji na mchangiaji katika jukwaa kwa muda sasa.Lakini ombi langu kwa leo nadhani umefika muda niseme kwamba nahitaji mke.Sifa zifuatazo zinahitajika.Mzuri wa haja,mweusi(si kama Idd Amini),mwenye urefu wa wasitani,asiyependelea vileo,mwenye kiu ya maendeleo, MCHA MUNGU,asiwe ni ndiyo mzee(she must be critical),awe mfanyakazi kwa kujiajiri au kuajiriwa (lakini si mwanasheria),Umri walau kuanzia miaka 23 mpaka 25.La muhimu zaidi asiwe mwanasiasa.Karibuni.

Mshkaji utachemsha, mwanamke wa kuoa siku zote si external features ni moyo wake ukoje kwako. Ila kama uataka wa kupita nae kwenye red carpet OK go ahead!!
 
All the best kaka, lakini haya mambo huwa yanatokea automatically, unaweza kukutana naye tu na roho yako ikakwambia she is the one, so you dont need all that.
 
akitokea mweupe hutamuangalia hata kama ana sifa nyengine ulizotaja? na jee kama ana miaka 30?

kaka punguza masharti kisha omba mungu akuletee mke bora tu, akiwa na sura ya kukuridhisha kidogo tu inatosha
 
Y excluding wanasheria and wanasiasa? Hakuna wife materials miongoni mwao? En yz, kila la kheri ktk harakati zako
 
Nimekuwa mtazamaji na mchangiaji katika jukwaa kwa muda sasa.Lakini ombi langu kwa leo nadhani umefika muda niseme kwamba nahitaji mke.Sifa zifuatazo zinahitajika.Mzuri wa haja,mweusi(si kama Idd Amini),mwenye urefu wa wasitani,asiyependelea vileo,mwenye kiu ya maendeleo, MCHA MUNGU,asiwe ni ndiyo mzee(she must be critical),awe mfanyakazi kwa kujiajiri au kuajiriwa (lakini si mwanasheria),Umri walau kuanzia miaka 23 mpaka 25.La muhimu zaidi asiwe mwanasiasa.Karibuni.

iish....mimi niko tayari lakini mwaka huu nagombea udiwani kwa tikiti ya mbayuwayu upo tayari?
 
Nimekuwa mtazamaji na mchangiaji katika jukwaa kwa muda sasa.Lakini ombi langu kwa leo nadhani umefika muda niseme kwamba nahitaji mke.Sifa zifuatazo zinahitajika.Mzuri wa haja,mweusi(si kama Idd Amini),mwenye urefu wa wasitani,asiyependelea vileo,mwenye kiu ya maendeleo, MCHA MUNGU,asiwe ni ndiyo mzee(she must be critical),awe mfanyakazi kwa kujiajiri au kuajiriwa (lakini si mwanasheria),Umri walau kuanzia miaka 23 mpaka 25.La muhimu zaidi asiwe mwanasiasa.Karibuni.

she must be critical - lakini angalia asije kucritisize kila kitu mpaka ukajiona hovyo,
kwann asiwe mwanasheria au wewe fisadi?
asiwe mwanasiasa - hutaki kuja kuwa mume wa raisi cku moja?

lakini penzi halichagui elimu wala uzuri au bado hujapenda?
 
Kwa masharti hayo hata asipokupenda utamuoa?? Anaweza jitokeza muigizaji wa ndoa.
 
Nafikiri ni vizuri na wewe ukatoa sifa zako naye atakaye endana na hivyo vyako afanye maamuzi. In pyschology it is said "human beings are very complex"; that is, they can behave unexpectedly in a good or bad manner.
 
Kaka mbona masharti kibao? Je akiwa na sifa zote ila akawa mwanasheria bado humtaki? Hebu tupe ishu kwa nini usingependa kuoa mwanasheria?
 
Kaka naona kama we mkuda fulani hvi... masharti mbona magumu! labda hilo la kumcha Mungu. Na ukipata wa kumcha Mungu huonji kitu hadi siku ya ndoa!
 
Unajua mi sijaweza kuelewa hii staili ya kutafuta wachumba kwenye mitandao mi nadhani kama muda wa kuoa au kuolewa unafika pale unapompata mtu mnaanza urafiki uchumba then unaoa lakini usikurupuke tuu kwa kutangaza unataka kuoa unaoa nini sasa maneno! muombe mungu wako akupe mke mume mwema...naboreka sana kuona thread watu wanatoa humu na kuweka masharti ya nataka hiki nataka kile...kwa hiyo wasio na hizo sifa hawataolewa au kuoa achen hizo bana...muda wako ukifika hutakuw na hata haja ya kuesma ni hayo tuu kwa leo...
 
waache wakupige vijembe,but at least unajua unachokitaka.....

hata kwa fundi wa nguo tunaenda tunamwambia nishonee hivi au vile,hatumwambiiii tu nishonee utakavyo!
 
Nimekuwa mtazamaji na mchangiaji katika jukwaa kwa muda sasa.Lakini ombi langu kwa leo nadhani umefika muda niseme kwamba nahitaji mke.Sifa zifuatazo zinahitajika.Mzuri wa haja,mweusi(si kama Idd Amini),mwenye urefu wa wasitani,asiyependelea vileo,mwenye kiu ya maendeleo, MCHA MUNGU,asiwe ni ndiyo mzee(she must be critical),awe mfanyakazi kwa kujiajiri au kuajiriwa (lakini si mwanasheria),Umri walau kuanzia miaka 23 mpaka 25.La muhimu zaidi asiwe mwanasiasa.Karibuni.
kwenye rangi NYEUSI: BAADA YA NDOA HALAFU AKAFUKUZWA KAZI UTAMWACHA?....KWENYE RANGI YA BLUU:unampango wa kumuonea/kumdhurumu mkeo mtarajiwa? kuna jirani yangu hapa ana binti yake ni mfanyakazi nasikia anafanya kazi pale kwa macheni,...tukuunganishie mzeeee?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom