Tangu nilipoambiwa na rafiki yangu kuhusu JF nimekuwa siachi kufika hapa jamvini kila nikipata nafasi. Hapa ni sehemu ambapo mnahusiana bila kujuana (kwa wengi wetu). Haiyumkini hapa wapo watu na wake zao, wanalala nyumba moja kisha wanakuja kubishana na kupeana hoja hapa. Bila shaka umepata taswira fulani fulani za baadhi ya watu humu, kama tabia zao, aina za kazi wanazofanya, jinsia, marital status zao. Hebu kuwa mtu wa imagination kidogo unapoanza weekend hii, na uchambue baadhi ya wana-JF. Jiulize, Ukimuona Chupaku unadhani ni mtu wa aina gani? MwanajamiiOne, Chrispin, YoYo, Boflo, Pretty, etc etc? Karibuni...
Ngoja nijaribu
MwanajamiiOne
Middle aged lady,
Married,
Wise,
Umbile la wastani,
Mchaga???
Chrispin
Mweusi,
Mchaga (ana meno ya kukaanga),
ana kitambi,
Ameoa, mtu wa makamo
Ana Grocery- hahahaaa
Marketing profession??
Pretty
Msichana wa kileo,
Anafanya kazi kwenye corporates,
Slender, Beautiful
Fidel80
Umbile la wastani, Mrefu,
Hawaangalii wanawake usoni??
Mweusi
Bubu Ataka Kusema
Calm, ila mbishi,
Mrefu wa wastani,
Mweusi,
Gentleman
Charity
Kind hearted,
Beautiful,
Classy
Not married.
And the list goes on and on....
Karibuni
Ngoja nijaribu
MwanajamiiOne
Middle aged lady,
Married,
Wise,
Umbile la wastani,
Mchaga???
Chrispin
Mweusi,
Mchaga (ana meno ya kukaanga),
ana kitambi,
Ameoa, mtu wa makamo
Ana Grocery- hahahaaa
Marketing profession??
Pretty
Msichana wa kileo,
Anafanya kazi kwenye corporates,
Slender, Beautiful
Fidel80
Umbile la wastani, Mrefu,
Hawaangalii wanawake usoni??
Mweusi
Bubu Ataka Kusema
Calm, ila mbishi,
Mrefu wa wastani,
Mweusi,
Gentleman
Charity
Kind hearted,
Beautiful,
Classy
Not married.
And the list goes on and on....
Karibuni