Kama mdau mmoja alivyosema hapo juu
mimi nimejifunza lugha mpya spanish so kwa maongezi ya kawaida nayaweza sana kuongea na kusikiliza
pia naweza kusoma habari mtandaoni au kwenye gazeti lolote nikaelewa vizuri tu bila shida
gracias youtube para ensenarme espanol
eso es
Lips cheilitis mkuu . Yani ngozi ya kwenye lips hubanduka na kutoka mdomo ote mwekundu nikila mbele ya watu wanaweza kutapika wote ngozi ikiguswa tu na maji inakuwa kama ukoko wa ugali just imagine
mdomo umevimba sana na yote hayo kwa miaka 10 yote
nishatumia dawa na dawa nishaenda hospitali za...
Kwa maobi niliyoomba tokea niugue kama ningeyahamishia yakawa ni kuomba nipate pesa ningekuwa tajiri mkubwa
yani unaweza kuwa unaomba kila baada ya dakika kazaa lakini wapi
Najuta kuzaliwa afadhali nisingezaliwa mateso juu ya mateso
miaka 10 sasa naumwa ugonjwa usioeleweka sijui ni kansa ya ngozi ?
Nikienda hospitali madoctor wanasema siyo kansa napewa madawa tu siponi
namuomba Mungu achukue maisha yangu au aniponye lakini hakuna hata moja linalotokea
kweli dunia...
Hiyo ya magonjwa ndio inanisumbua nawaza sijui nikipata pesa ndiyo nitapona ama nikipona ndiyo nitapata pesa,
siwezi hata kulia sababu pains are too heavy
Du hii ilishawahi kunitokea advance bukoba kwenye ile shule maarufu pisi zilikuwa zinanikubali kimuonekano ila kiswahili kilikuwa cha kisukuma kilinikosesha credit kwa watoto wazuri ,kutokana na unfair comparison kati ya apearance yangu na kiswahili changu ikabidi nichange character nikaacha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.