Recent content by breem

  1. breem

    Lowassa: Nitamtoa Babu Seya gerezani

    mimi nimekuelewa wewe unamaanisha kuna ndugu yako pia yupo SEGEREA sasa ulivyo msikia Mh. Raisi Ndg. ENL kawataja hao baadhi ukachanganyikiwa sio... Hii imekaa hivi hao kawataja kama mfano tu wa kuwakilisha wengi kama hao. Hivyo nakushauri ukae karibu kuorodhesha jina la huyo ndugu yako...
  2. breem

    Asante Mh. Mbowe!

    Alisema "Utanikana mara tatu kabla jogoo hajawika". sasa kumbe mnategemea nini zaidi ya hilo (Traitor never change= Judas Iscariot).
  3. breem

    Dr. Slaa anastahili kuheshimiwa

    What else for the traitor????
  4. breem

    Makamba ashangazwa na vichwa vya habari vya haya magazeti kuhusu Lowassa

    huyu naye jina la January hali kumfaa bora angeitwa April ili tujue Kama ni Fool wa rejareja!!!!!!!!
  5. breem

    Hii hapa sababu kwanini Lowassa hapelekwi mahakamani

    Yani aka kajamaa eti letigimacy,,, haya tukikauliza katupe tafsiri yake kataanza kuangalia pua,, yaleyale ya Polepole ndo unatuletea hapa. Bangi uliyo vuta ni hatari kwa afya yako.. huu upuzi peleka huko sisiemu kwenu.
  6. breem

    Huyu dada nimfanye nini wadau?

    Ukiona secretary ananyodo ujue Boss anapumzika pale.... Sasa uchague moja kumvunjia kaka yako mahusiano au kufanya kazi iliyo kupeleka hapo...
  7. breem

    Niliyoyaona Kenya, Tanzania is better a million times

    Jamani ukinywa gongo usikimbilie JF kuja ku-post vitu vya ajabu ajabu! ungesubiri hangover zikutoke halafu ndo ukatafakari cha ku-post.
  8. breem

    Nimemfuma anapika chakula akiwa uchi jikoni

    sasa huo uchi unalinganaje hadi akaupike!!!!! toa maelekezo
  9. breem

    Napenda kuitambulisha teknolojia ya mawasaliano katika kusimamia biashara

    "(Husiogope user name yangu; "Zabeast" The executional beast not the bad beast The make things happen with the animal spirit The monstery way of solving problems.... never quit ease! Asante!!" Hilo jina lako kwanza nani atakuwa tayari kuwa mteja wako hata ukimpa free off charge!!!!!!!!!
  10. breem

    Kuna haja ya wazazi wako na mke wako kujua mshahara wako?

    yap ni haki yake kufahamu kwa undani hapo hakuna personal isue. Jiulize wakati wanakusomesha ulihitaji kuwaficha budget yako au uliwambia wazi. Sasa leo umezipata ndo unafanya siri kumbuka kuna jana,leo na kesho. Mbona mkipandishwa vyeo hadi wahudumu wa bar wanajua leo kwa mzazi wako ndo...
  11. breem

    Kuna haja ya wazazi wako na mke wako kujua mshahara wako?

    Hao ni watu muhimu wanastahili kufahamishwa kwanini unapata ugumu kuwaambia. Au tufafanulie vizuri huenda ukawa unalipwa kinyume na matarajio yako labda unaona aibu kuwafahamisha.
  12. breem

    Mbona mabasi yaendayo kasi hayapo njiani?

    Mwendo umezidi sasa yanapita angani kama ndege!!!!! wewe rudi kwenu tu ya kitua tutakutaarifu.
  13. breem

    Diamond, ni nani kakwambia Sumaye na Lowassa ni kabila moja?

    Kubadilisha wao imekuwa nongwa,,, bora kubadilisha Chama!!! Kuliko WANAWAKE leo huyu kesho yule kama si Ulimbukeni ni nini????
  14. breem

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    kweli biashara ni matangazo... watu mnazini bado mnakuja kuweka hadharani humu (H.I.V) haitokuja kuisha kamwe...poleni sana waasherati.
  15. breem

    So Nice, A Gentlemen In The Making...

    hapo kaka na dada hiyo ipo sana. kaka mtu anafuata maelekezo (take care of your little c*)
Back
Top Bottom