chagua ukawa
say no ukawa
chagua ukawa
Wananchi watapata FAIDA GANI kutolewa KWA MASHEHE NA babu seya?
LOWASSA alipaswa kuzungumzia matatizo yanayo wakabili wananchi ya kimaendeleo kuliko hayo ya babu seya.Kuna wafungwa wengi waliofungwa kimakosa kwann amewabagua hao? Basi angewazungumzia wafungwa wote kuliko kuleta ubaguzi. KWA hilo alikurupuka.
Wasalaam,
Abel sere from Moshi
Upo sawa,lkn Mnyika nae ataitwa msalitiChadema wamebakiza mtu mmoja tu safi mnyika wengine makapi na ulafi.
Sure mkuu yeye alizoe kusemewa na watu anaowapa pesa wanasema kwa niaba yake ila yeye kama yeye ziro kabisa.Ndo maana anajinye..l.l.l.l! Siasa safi si jadi yake. Yeye anaenda kiujanja ujanja tu