Recent content by BRAVO 2 ZERO

  1. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Athari za Oko

    Oko ni kimiminika ukiweka kwenye tairi chombo kikiwa high speed kitakuwa hakitulii kiminika nacho kwenye tairi kinafanya mwendo
  2. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri biashara ya magari ya mchanga 20cbm FAW, HOWO

    inahitaji kamda kidogo ila biashara ya matipa itafaa pale kama hayo matipa pia yana support biashara zako zingine zinazoingiliana na shughuli za tipa, mf kama we ni mkandarasi au unaviwanda vya tofali etc, ila kufanya biashara hiyo iwe inaingiza hela as core bussiness itakataa
  3. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri biashara ya magari ya mchanga 20cbm FAW, HOWO

    Miaka 2 sio kweli labda 3yrs
  4. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri biashara ya magari ya mchanga 20cbm FAW, HOWO

    Unajua kuwa sheria ya mzani hairuhusu hizo gari kupita barabara ya lami ikiwa na mzigo, ukikamatwa gari unaweza iacha-hiyo ndo risk moja wapo
  5. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri biashara ya magari ya mchanga 20cbm FAW, HOWO

    Nyumba za kupangisha nazo ni biashara miyeyusho tu japo risk ni ndogo ila hilo lori mtaji mkubwa risk kubwa mapato kidogo hatari
  6. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri biashara ya magari ya mchanga 20cbm FAW, HOWO

    Biashara kichaa investment kubwa sana return ndogo say manunuzi 186mil mapato 550k/day %Marejesho ya mtaji ni =500k/186mil=0.27% yaani kwa siku una recover 0.27% ya hela uliyoweka, ni hatari, hata 1% haijafika
  7. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Maisha baada ya kufukuzwa kazi

    Kwanza kubali kuwa umefukuzwa na huna kazi, pili usiwe na matumaini ya kupata kazi hivi karibuni tatu fanya chochote cha kukuingizia kipato ili mradi iwe ni kitu halali, anza na udalali ndo kazi nyepesi
  8. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Mbwembwe nyingi mitandaoni, lakini makazi ya Baba Mkoani Iringa pa kawaida Sana

    Akili zako zimeishia hapo? Maisha sio mashindano, kila mtu anaishi anavyoona yeye ni sahihi,
  9. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini wamiliki wa lodge na hotels ni wagumu sana kufanya marekebisho ya biashara zao?

    Hela inayokusanywa inafanya maendeleo mengine, kujenga ni swala lingine na kuhakikisha ubora ni swala lingine
  10. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania KERO Viwanda vinafanya Kibaha eneo la Zogowale kuwa sio mahali salama kuishi

    Lishaitwa eneo la viwanda.. ni bora kutafuta ustaarabu mwingine wakati unasubiri kuhamishwa ili kunusuru afya yako
  11. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2018 alirithi account yenye Bilioni kasoro na mali zenye thamani lakini kaanza kutuma meseji za vizinga, Simwelewi kabisa

    Hiyo Pesa haikuwa size yake ndo maana imeisha, muhimu pesa inatakiwa iliwe kama pilipili,
  12. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Kununua gari used

    Kama huna haraka jazia hela nunua showroom, gari za mtaani ni kichefuchefu, jiandae kuwa rafiki na mafundi
  13. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Mjane apigwa butwaa baada ya kuona watoto wa nje ya ndoa wa mme wake wakitambulishwa na ndg!

    Tatizo linaanzia neno nje ya ndoa.. watoto wakizaliwa ni watoto tu hizo story za nje ya ndoa na ndani ndo zinazaa hayo majanga yote hayo. Na hao wanawake walio ndani ya ndoa wakishaandika kile kikaratasi sijui cheti cha ndoa wanasahau majukumu yao.
  14. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Watoto hawa niwafanyeje? Baada ya kuharibu TV sasa wamebamiza gari gharama za kurekebisha milioni 3

    Tafuta hela mkuu, watoto kugonga magari ya wazazi ni kawaida kama wamefikia umri wa kudrive wafundishe tatizo wabongo kudrive tunaona ni anasa.
  15. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Dereva Bodaboda tulionunua ardhi Boko Mnemela tumetapeliwa, tunaomba msaada wa Serikali Kuu

    Hesabuni hasara tu kwani gharama za kufatilia nazo zitakuwa kubwa hatimaye uchungu mara 2, boko watu wameanza kutapeliwa zamani sana, na hamna aliyewahi rudushiwa gharama
Back
Top Bottom