Tatizo linaanzia neno nje ya ndoa.. watoto wakizaliwa ni watoto tu hizo story za nje ya ndoa na ndani ndo zinazaa hayo majanga yote hayo. Na hao wanawake walio ndani ya ndoa wakishaandika kile kikaratasi sijui cheti cha ndoa wanasahau majukumu yao.
Hesabuni hasara tu kwani gharama za kufatilia nazo zitakuwa kubwa hatimaye uchungu mara 2, boko watu wameanza kutapeliwa zamani sana, na hamna aliyewahi rudushiwa gharama
Ukiwa unafanya biashara kuna vitu unatakiwa kuzingatia, kwanza acha kutumia pesa za biashara kufanya mambo mengine eg ujenzi hadi pale biashara yako itakapotengamaa.
Maamuzi ya kukopa yawe ni last option otherwise utakuwa unawafanyia watu kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.