Recent content by BRAVO 2 ZERO

  1. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Mbwembwe nyingi mitandaoni, lakini makazi ya Baba Mkoani Iringa pa kawaida Sana

    Akili zako zimeishia hapo? Maisha sio mashindano, kila mtu anaishi anavyoona yeye ni sahihi,
  2. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini wamiliki wa lodge na hotels ni wagumu sana kufanya marekebisho ya biashara zao?

    Hela inayokusanywa inafanya maendeleo mengine, kujenga ni swala lingine na kuhakikisha ubora ni swala lingine
  3. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania KERO Viwanda vinafanya Kibaha eneo la Zogowale kuwa sio mahali salama kuishi

    Lishaitwa eneo la viwanda.. ni bora kutafuta ustaarabu mwingine wakati unasubiri kuhamishwa ili kunusuru afya yako
  4. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2018 alirithi account yenye Bilioni kasoro na mali zenye thamani lakini kaanza kutuma meseji za vizinga, Simwelewi kabisa

    Hiyo Pesa haikuwa size yake ndo maana imeisha, muhimu pesa inatakiwa iliwe kama pilipili,
  5. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Kununua gari used

    Kama huna haraka jazia hela nunua showroom, gari za mtaani ni kichefuchefu, jiandae kuwa rafiki na mafundi
  6. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Mjane apigwa butwaa baada ya kuona watoto wa nje ya ndoa wa mme wake wakitambulishwa na ndg!

    Tatizo linaanzia neno nje ya ndoa.. watoto wakizaliwa ni watoto tu hizo story za nje ya ndoa na ndani ndo zinazaa hayo majanga yote hayo. Na hao wanawake walio ndani ya ndoa wakishaandika kile kikaratasi sijui cheti cha ndoa wanasahau majukumu yao.
  7. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watoto hawa niwafanyeje? Baada ya kuharibu TV sasa wamebamiza gari gharama za kurekebisha milioni 3

    Tafuta hela mkuu, watoto kugonga magari ya wazazi ni kawaida kama wamefikia umri wa kudrive wafundishe tatizo wabongo kudrive tunaona ni anasa.
  8. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Dereva Bodaboda tulionunua ardhi Boko Mnemela tumetapeliwa, tunaomba msaada wa Serikali Kuu

    Hesabuni hasara tu kwani gharama za kufatilia nazo zitakuwa kubwa hatimaye uchungu mara 2, boko watu wameanza kutapeliwa zamani sana, na hamna aliyewahi rudushiwa gharama
  9. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Mliofanikiwa kibiashara, mliwezaje kupambana na changamoto ya mtaji kukata/ kuisha?

    Ukiwa unafanya biashara kuna vitu unatakiwa kuzingatia, kwanza acha kutumia pesa za biashara kufanya mambo mengine eg ujenzi hadi pale biashara yako itakapotengamaa. Maamuzi ya kukopa yawe ni last option otherwise utakuwa unawafanyia watu kazi.
  10. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Kumbe kuna baadhi ya Sekta Binafsi watu wanaishi kama wako peponi vile

    Mshahara haujawahi kumtoa mtu, bongo hii ukitaka kuishu vyema fanya biashara achana na ajira
  11. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Hongera RITA kwa mfumo mzuri wa online services

    cheti ni within 4hrs unapata
  12. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Mashine za tofali thread!

    Usifanye biashara ya tofali kama huna gari ya mchanga au ya kusafilisha tofali kwenda kwa mteja
  13. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania Ufalme wa Caterpillar, Komatsu, Volvo, JCB na Hitachi umeanguka. Kwenye heavy machines Mchina kapindua tena meza

    Na mashine za mchina zinafanya vyema sana na imara na simple kutumia...
  14. BRAVO 2 ZERO

    JamiiForums Tanzania NYUMBA INAUZWA,IPO KUNDUCHI BEACH,BEI NI BILLION 2,MAONGEZI YAPO, SIMU 0758844717

    1720sqm=41mx41....m,
Back
Top Bottom