Nataman sana kwenda nje kusoma wadau vp kuhusu gharama za kusoma computer science kwa nchi kama australia,belgium,uk nina diploma wadau na pia nchi kama china na india sio mbaya!
Nina rafiki angu ambaye tumejuana nae mda mrefu sasa anataka kuja Tanzania tafadhali kwa yeyote anayefahamu utaratibu wa kupata visa ya Tanzania pamoja na gharama zake anifahamishe tafadhali
I'm in......hizi habari za mtaa mzima unajua kama wewe ni mchaga cha ajabu ukikutana na mkabila aliye jifunza kichaga hujui chochote inakuwa aibu kwakweli ,,,,,ni tag mtoa mada pls
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.