Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 4,722
- 14,248
Najua hilo , wote nawaona kama wapo level moja hivi, tofauti ni kwamba mmoja alimtangulia mwenzake......Sasa prof jay wa hard blasters si ndo kama diamond wa WCB, wako wapi akina terry na fanani?
Amin diamond ni diamond na atakuwepo hapo ila hawa wasanii wake hawatafika popote, labda mmoja au wawili, ukiangalia foundation ya platnumz ni hatari, na mkiomba njaa ndo kwanza anavuna sema uswahili tuu kukulia tandale ni shida
Kama unakumbuka enzi za kina Pack na Big...... Waliofaidi ni kina Jigger na Diddy..... It's about time....... Sema kukulia uswahilini bila exposure na Training on public speaking madogo wote hata Mondi watazingua Sana......
Anyways.....nawaombea sana kina Aslay