Recent content by boyson onlye

  1. boyson onlye

    Nina serious clients wanaohitaji huduma kukosa ofisi kumekuwa "red flag" inayonikosesha pesa naombeni msaada wadau

    Kutokana na maelezo yako hapo juu unahitaji nini hasa 1.Pesa ukodi ofisi? Msaada au ukopeshwe?? 2. Unahitaji mtu mwenye ofisi akusaidie kwa mda ufanye shughuli zako? Kama ni mkopo wa pesa unakitu gani cha kuaminiwa? Kama ni ofisi kuna uhakika gani hautochukua pesa za watu ukaingia mitini...
  2. boyson onlye

    KERO DAWASA, ni lini mtatoa huduma ya maji bila mgao?

    Habari wakuu, Nina miaka kadhaa katika jiji hili la Dar es salaam, na wengine wote wanaoishi katika jiji hili ni mashahidi, Kila nyumba ina vifaa vingi vya kutunzia maji, iwe ndoo, jaba au tank na kuna wakati unakuta maji yote uliyotunza yameisha ndanj na maji hayatoki, hasa kipindi hiki...
  3. boyson onlye

    Jamani Mwili Wangu Unawasha balaa

    Choma power safe injection siku tano Tumia sabuni ya tetmosol ya India usitumie ya Nigeria Tafuta lotion inaitwa Scaboma paka baada ya kuoga kutwa mara mbili, baada ya wiki leta mrejesho Boss Fuata ushauri wa daktari kuhusu matumizi
  4. boyson onlye

    Jamani Mwili Wangu Unawasha balaa

    Choma power siku tano Tumia sabuni ya tetmosol ya India usitumie ya Nigeria Tafuta lotion inaitwa Scaboma paka baada ya kuoga kutwa mara mbili, baada ya wiki leta mrejesho Boss Fuata ushauri wa daktari kuhusu matumizi ya dawa
  5. boyson onlye

    Kuna shida gani? Vijana wengi wanaohitimu wa kozi ya IT hawawezi kutengeneza website

    Tatizo ma bro wengi mkisikia dogo amesoma IT mnataka kamserereko mkipewa budget mnasema kubwa, kwa sababu tu dogo ni fresh hamlipi website kuna vitu vya kulipia, alafu kuna gharama za muhusika, pia IT ina course nyingi ndani uliemuuliza alikuwa amebase kwenye nini, wengine wameseoma IT ila...
  6. boyson onlye

    Nahitaji Emegency Temporary Passport kabla ya Jumatatu

    Wakuu habari, Kwa yeyote anaeweza kunisaidia kupata temporary passport leo hii ijumaa. Nimepata safari ya ghfla ya kwenda nchi jirani Natanguliza shukrani
  7. boyson onlye

    Kwanini Serikali imepiga marufuku Biashara ya kusafirisha mkaa nje ya nchi?

    Habari wadau Kama wiki hizi tatu nilkuwa nafatilia biashara ambazo ni profitable business outside of our country, nimegundua biashara ya mkaa ni biashara ambayo inweza kuleta billions of money kwenye nchi yetu na nchi yetu namaeneo mengi yanayoweza kuzalisha mkaa lakini hairuhisu kusafirisha...
  8. boyson onlye

    Nakukumbusha Nape Nnauye kwamba Mbowe si kama Lowassa uliyemtukana utakavyo

    Wabunge wa Tanzania ni aina flani ya watu ambao hawana uchungu na taifa wao wana uchungu na chama chao na tumbo zao, haiwezekani wabunge wote wawe sawa kwenye hili
  9. boyson onlye

    Kariakoo: Kiongozi wa Wafanyabiashara azomewa

    Huelewi chochote wafanya biashara wanawateja wao na biashara inaendelea fresh sema wanaoumia ni wa mwisho huku
  10. boyson onlye

    Kaninyanyasa kijinsia nawezaje kumshtaki?

    Unataka kula pesa zake tu asikuzalishe Zaa uwe single mother si mnataka kupangiwa
  11. boyson onlye

    Vijana wajipanga kufanya Maandamano ya Amani kumpongeza Rais Samia kwa kutoa Maelfu ya Ajira

    Kwan mkikaa kimya utapungukiwa nini? Tanzania imeibiwa 3trilion mpaka sasa unalijua hilo?
Back
Top Bottom