Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,431
Nape Nnauye , mwanaccm na Waziri wa Habari , umesikika Bungeni ukipiga porojo kuhusu Mbowe na Maridhiano badala ya kujadili kuuzwa kwa aibu kwa bandari za Tanzania .
Umefika Mbali sana kwa kusema kwamba wanaopinga ujinga wa kuuzwa kwa Bandari washughulikiwe , maana mbegu ikiwa ndogo iko siku itakua (VITISHO)
Hata hivyo nakutahadharisha kwamba Freeman Mbowe , mtu mwenye exposure ya kimataifa kuliko kiongozi yeyote wa Tanzania siyo fala , huyu hafanani na Lowassa uliyemtukana matusi ya nguoni na kumdhalilisha utakavyo kwa kulindwa na Kikwete , kwa Mbowe wewe ni mtu mdogo mithili ya Piritoni , kwa hiyo unapomjadili mtu huyu ambaye Serikali yako IMEMUOMBA RADHI KWA KUMSINGIZIA UGAIDI unapaswa kuwa makini mno !
Ninachokifahamu ni kwamba hukutumwa na mtu kushambulia Mbowe , bali ni kiherehere chako tu , hata hivyo hatutakunyamazia , hii ni kwa sababu hata ubunge wako si wa kuchaguliwa , japo uko bungeni lakini huna unayemwakilisha .
Umefika Mbali sana kwa kusema kwamba wanaopinga ujinga wa kuuzwa kwa Bandari washughulikiwe , maana mbegu ikiwa ndogo iko siku itakua (VITISHO)
Hata hivyo nakutahadharisha kwamba Freeman Mbowe , mtu mwenye exposure ya kimataifa kuliko kiongozi yeyote wa Tanzania siyo fala , huyu hafanani na Lowassa uliyemtukana matusi ya nguoni na kumdhalilisha utakavyo kwa kulindwa na Kikwete , kwa Mbowe wewe ni mtu mdogo mithili ya Piritoni , kwa hiyo unapomjadili mtu huyu ambaye Serikali yako IMEMUOMBA RADHI KWA KUMSINGIZIA UGAIDI unapaswa kuwa makini mno !
Ninachokifahamu ni kwamba hukutumwa na mtu kushambulia Mbowe , bali ni kiherehere chako tu , hata hivyo hatutakunyamazia , hii ni kwa sababu hata ubunge wako si wa kuchaguliwa , japo uko bungeni lakini huna unayemwakilisha .