Kwanini Serikali imepiga marufuku Biashara ya kusafirisha mkaa nje ya nchi?

boyson onlye

JF-Expert Member
Sep 13, 2015
1,104
1,385
Habari wadau

Kama wiki hizi tatu nilkuwa nafatilia biashara ambazo ni profitable business outside of our country, nimegundua biashara ya mkaa ni biashara ambayo inweza kuleta billions of money kwenye nchi yetu na nchi yetu namaeneo mengi yanayoweza kuzalisha mkaa lakini hairuhisu kusafirisha mkaa nje ya nchi swali langu ni kwa nini serikali hairihusu kusafirisha mkaa wakati

1: Ukataji wa mkaa si kwa ajili ya miti yote ni baadhi tu ya miti hivyo mapori bado yanabaki hata mkaa ukikatwa.
 
Habari wadau

Kama wiki hizi tatu nilkuwa nafatilia biashara ambazo ni profitable business outside of our country, nimegundua biashara ya mkaa ni biashara ambayo inweza kuleta billions of money kwenye nchi yetu na nchi yetu namaeneo mengi yanayoweza kuzalisha mkaa lakini hairuhisu kusafirisha mkaa nje ya nchi swali langu ni kwa nini serikali hairihusu kusafirisha mkaa wakati

1: Ukataji wa mkaa si kwa ajili ya miti yote ni baadhi tu ya miti hivyo mapori bado yanabaki hata mkaa ukikatwa.
Hivi hairuhusiwi? Labda ni kwa ajili ya kuulinda uoto wa asili.
 
Back
Top Bottom