Recent content by boy sunday

  1. B

    BORA YUPI, kati ya Raisi Muongo au Fisadi?

    Asa we ulkuwa una maana gani!!!umeshasema fisadi na unajua nini hatima yake!!!bora muongo aliyetuletea elimu bure ndege na heshima baa
  2. B

    Nay wa Mitego: Japo Diamond ni mshikaji wangu ila kimuziki hamfikii ubora Ali Kiba

    Kumbe diamond ni mfanyabiashara!!!biashara gani hiiyo!!!!
  3. B

    Serikali yafuta ada elekezi shule binafsi

    Yan we boya kwel asa kama unaona elimu ya bure mbovu mpeleke mwanao kwenye ml hata 15 asa unalia nini si unazo!!!
  4. B

    Nana ya Diamond: Video ya kwanza TZ kufikisha 20 milion YouTube views

    Na we weka video yako ukanunue alf ulipwe
  5. B

    Mambo ambayo yanatakiwa kupiganiwa na vijana wanaojitambua mwaka 2017

    Lazima tuanze chini utakuaje mbuyu kabla hujapitia mchicha
  6. B

    Vodacom wasafi festival yaandika historia mpya mjini Iringa

    Hajaziona huuyo mtumieni!!!
  7. B

    Mange achoma moto kadi ya CCM live

    Hivi kuna njia ya kuondoa umaskini bila ya kufanya kazi!!!!nisaidieni!!!
  8. B

    Swali kwa TRA: Kuingizwa kwa Magari 651; Dangote amelipia kodi kiasi gani?

    Kwan hata wanaouza magari mbona nao hamwafuatilii!!!
  9. B

    Ujumbe kwa walimu wote

    Yan unazungumzia hayo nikazan we ni mwalimu!!!tafuta mada nyingine sisi walimu hatutajui haayo
  10. B

    Ni dhahiri kwamba Rais Magufuli hawezi na hatoweza

    Nchi iliyojaa wanafiki wasaliti!!wanadai mabadiliko huku wakiwa waoga kuyapata hayo mabadiliko!!hakuna mabasiliko yasiyo na maumivu!!!
  11. B

    Kenya kutupita, yaamua kutumia Nishati ya Nuclear

    Yan hata hatuelewi tumlaumu nani!!!!
Back
Top Bottom