Serikali yafuta ada elekezi shule binafsi

Serikali yafuta ada elekezi shule binafsi

pah pah pah pa paahhhh....... wamekaaa..
 
Huwezi kumpangia Mwenyenyumba bei ya Kupangisha Nyumba yake.Itakuwa ni kituko cha karne.
Huyu mama aende taratibu,kuna mengi anavurunda.
 
Mlimuona dhaifu kama hajuuui kuongoza. Toka 1970+ mwenzenu yuko bandari salama na yuko kwenye system za uongozi, nyie wakati huo mkiwa mnatega ndege huku wengine mnavua somba kwa pande za kaniki. Leo kawapigia kampeni, mmeingia Ikulu eti "nchi ilipinda, imeoza". Bado.
 
nYIE SI NDIO MLIKUWA vinara KUPINGA hili?????SASA HII NI PROVE MOJAWAPO YA KUWA SERIKALI HII NI SIKIVU..mmesikilizwa mnaanza kuhamisha GIA angani tena......Tatzo nyie VIJANA wa bavicha mmelelewa katika MALEZI YA KINAFIKI MNO NA NDIMI MBILI na hao BABA ZENU huko Chamani maana HAMNA MSIMAMO KABSA YA KILE MNACHOKIPIGANIA...MMESIKILIZWA MNAANZA KUJA kubeza TENA......

mkuu tukiachana na suala la siasa, maana serikali haitakiwi kusikiliza au kufanya siasa baadala yake itende kwa uhalisia na haki. JE UHALISIA HAPA NI UPI??
 
katika hili serikali iwe makini sana, ELIMU NI JANGA KWA TANZANIA HIVI SASA, shule za serikali kiukweli kuanzia ngazi ya msingi zinatoa elimu duni na sio za kutegemea kumkomboa mtoto au familia masikini. Hizo shule ambazo basi zinatoa Elimu nzuri ada nayo ni tatizo kubwa saaana, serikali kuna haja ya kusimamia hizi shule kwa ada kulingana na mazingira..
 
Apo sawa wangeweka ada elekezi ingeleta anguko la elimu
 
Wataadopt tu mipango mingi ya JK.
Walivunja mpango wa wanafunzi wa Ualimu pale UDOM eti ni watoto vilaza, na kwa aibu wakaishia kuwapeleka haohao vilaza katika vyuo vingine vya ualimu ambapo wakimaliza watapewa diploma ileile ambayo wangepewa kama wangelimalizia UDOM.

Si juzi tu hapa tumeona Watoto wa shule ya Ommwani hata waliofeli darasa la saba nao wakifanywa kuwa wanafunzi wa shule ya Serikali ( baada ya Ommwani kuwa ni ya Serikali)
 
Angeshughulikia maslai ya walimu ili kuboesha ufundishaji kwa nguvu zote kama anavyohangaika na ng'ombe wa bwana kheri angeweka legand nzuri ila ninavyoona kama vile hana mzigo kbsa na maslai, mafunzo na kuimarisha miundombinu ya kufundisha na kufyndishia. Sikose akatoka kama mlugo tu asiwe na legend yoyote ingawa ni mbobezi wa elimu
 
Hii awamu ya 5 ni kupanga na kupangua. Hata sukari bei elekezi walifuta.
 
Safi sana.

Huwezi kunipangia ADA wakati gharama za UJENZI & UENDESHAJI huzijui.

Kama huwezi kulipa hiyo, mpeleke mtoto KATANI.
 
Hahahahahah! Walimuona 'Rais Dhaifu' Fwala sasa hivi wanarudi kule kule.

Ada
Kama ni 5M kwa nini Ulie lie wakati kuna Ada za
Laki 3
Kwa Mwaka?


Nilipinga humu kwny forum tangu awali kuwa ni Upumbavu
Yan we boya kwel asa kama unaona elimu ya bure mbovu mpeleke mwanao kwenye ml hata 15 asa unalia nini si unazo!!!
 
Watoto wangu hawatosoma shule za kata fullstop.

Hii ni mbinu ya kuweka tabaka lao tu ndio liendelee kuwa watawala, CEO's and likes halafu sisi makabwela tuzalishe tabaka la wapiga debe na waokota chupa tupu za maji, hii haikubaliki, sipeleki mtoto wangu hata mmoja shule za umma.

Mimi nimesoma shule za umma na shuleni tulikuwa na watoto wa viongozi ma watoto wa wakurugenzi, tulikuwa tunashindana akili tu darasani, na si leo bogus Profesa kama Ndalichake akuaminishe eti mtoto wa shule ya msingi kiburugwa eti anaweza kushindanishwa na mtoto wa FEZA primary school.
Mkuu Feza primary wa kawaida tu. Mpaka wameamua kuweka matangazo barabarani.

Ubabe wao secondary tu. But umeeleweka
 
Watoto wangu hawatosoma shule za kata fullstop.

Hii ni mbinu ya kuweka tabaka lao tu ndio liendelee kuwa watawala, CEO's and likes halafu sisi makabwela tuzalishe tabaka la wapiga debe na waokota chupa tupu za maji, hii haikubaliki, sipeleki mtoto wangu hata mmoja shule za umma.

Mimi nimesoma shule za umma na shuleni tulikuwa na watoto wa viongozi ma watoto wa wakurugenzi, tulikuwa tunashindana akili tu darasani, na si leo bogus Profesa kama Ndalichake akuaminishe eti mtoto wa shule ya msingi kiburugwa eti anaweza kushindanishwa na mtoto wa FEZA primary school.

Unataka Mtoto wa Fwala na wa Mwenye Fweza wakae darasa moja halafu faida ya kuwa na Baba Mwenye Umate mate itoke wapi?

Wewe Somesha Mwanao ashindane na Maisha sio kushindana na Watoto wa Feza Girls & boys.

Hata Nyerere alisoma Shul za Watoto wa Machifu kwa kuwa Baba yake alikuwa Chief!
 
Kuna mambo mengine ukishindana nayo kwa ulimwengu wa leo utaonekana kichaa. Nilikuwa nawaangalia tu
 
hahaha ukisoma comment za hao wanaoponda kusitishwa kuweka ada elekezi ndio hao hao walisema kuwa kusiwepo na ada elekezi na wengine walisema kuwepo na ada elekezi lakini mpango huo umesitishwa leo hii wale wale wanaanza kushangilia oooh wameshindwa ooooh wamenywea lakini kelele zilianzia kwa hao hao oooh tunatozwa ada kubwa haziendani na tunachopewa oooh. wanao faidika ni wenye shule wala serikali haipati hasara yeyote...endeleeni kushangilia
 
Watoto wangu hawatosoma shule za kata fullstop.

Hii ni mbinu ya kuweka tabaka lao tu ndio liendelee kuwa watawala, CEO's and likes halafu sisi makabwela tuzalishe tabaka la wapiga debe na waokota chupa tupu za maji, hii haikubaliki, sipeleki mtoto wangu hata mmoja shule za umma.

Mimi nimesoma shule za umma na shuleni tulikuwa na watoto wa viongozi ma watoto wa wakurugenzi, tulikuwa tunashindana akili tu darasani, na si leo bogus Profesa kama Ndalichake akuaminishe eti mtoto wa shule ya msingi kiburugwa eti anaweza kushindanishwa na mtoto wa FEZA primary school.
Wa kiburugwa sekondari na wa Feza wote wanakutana chuo mfano MUHAS baada ya hapo wanaajiriwa na serikali na wanalipwa sawa.
 
nYIE SI NDIO MLIKUWA vinara KUPINGA hili?????SASA HII NI PROVE MOJAWAPO YA KUWA SERIKALI HII NI SIKIVU..mmesikilizwa mnaanza kuhamisha GIA angani tena......Tatzo nyie VIJANA wa bavicha mmelelewa katika MALEZI YA KINAFIKI MNO NA NDIMI MBILI na hao BABA ZENU huko Chamani maana HAMNA MSIMAMO KABSA YA KILE MNACHOKIPIGANIA...MMESIKILIZWA MNAANZA KUJA kubeza TENA......
Mwenye akili kubwa hujadiri mambo (issues kwa kingereza) na mwenye akili za wastani au nyepesi hujadiri matukio wakati mjinga hujadiri watu, haya maneno yalisemwa na Wahenga na nadhani yanaishi hata sasa.
 
nYIE SI NDIO MLIKUWA vinara KUPINGA hili?????SASA HII NI PROVE MOJAWAPO YA KUWA SERIKALI HII NI SIKIVU..mmesikilizwa mnaanza kuhamisha GIA angani tena......Tatzo nyie VIJANA wa bavicha mmelelewa katika MALEZI YA KINAFIKI MNO NA NDIMI MBILI na hao BABA ZENU huko Chamani maana HAMNA MSIMAMO KABSA YA KILE MNACHOKIPIGANIA...MMESIKILIZWA MNAANZA KUJA kubeza TENA......
Kheli mwenye ndimi mbili kuliko asiekua na msimamo na vision
 
Back
Top Bottom