MU-ARSENAL
JF-Expert Member
- Sep 21, 2012
- 956
- 597
Unasubir meli air port.. Unasubir sanaAchana na sisi mind your business, fani haikuhusu wew unaingilia nini,magu ni mkombozi tunasubiri mema yanakuja wew hujui
Unasubir meli air port.. Unasubir sanaAchana na sisi mind your business, fani haikuhusu wew unaingilia nini,magu ni mkombozi tunasubiri mema yanakuja wew hujui
Sawa mwalimu tumekusikia, maana usingekuwa mwalimu usingeyajua haya.Hakuna anayepinga sekta ya elimu nimoja ya sekta muhimu sana ila ajabu nipale sekta hii kukosa ule mvuto nakukosa hadhi hasa upande wa umma.
Haiingii akilini wamachinga wapige kelele kidogo tu mkuu wa nchi aingilie kati kwa kuwakingia kifua kwa kisingizio hao ndiyo waliompa kura.
NYINYI WALIMU Si ndiyo mnaosimamia uchaguzi.
Si ndiyo mnalipa kodi kuliko machinga.
Si ndiyo mnaotegemewa kufuta ujinga.
Si ndiyo mlisema rais ni mwalimu au alikuwa machinga.
Walimu ndiyo watumishi peke yenu hamna posho.
Walimu ndiyo watumishi peke yenu mna waajiri zaidi ya mmoja.
Walimu ndiyo watumishi peke yenu hamna malipo ya muda wa ziada.
Walimu ndiyo mnaongoza kupigwa makofi kutolipwa stahiki zenu kwa wakati n.k.
Ila pamoja na yote hayo sijawasikia hata mkimuomba rais au waziri mkutane na kujadili.
Msije mkaniona mbaya ila ukweli CWT hamna mnachofanya mnanyonya wenzenu.
Nyie ndiyo mna sauti zao mmekaa kimya mnahangaika na benki sijui ndiyo itawaongezea mshahara au posho.
Walimu wengi wana elimu duni, vyeti feki na kuungaunga kwa hiyo they get what they deserveUnatoa ushauri au unaamua kuonyesha weledi wa domo lako kuharisha kashfa
Kisa na sababu za kuufurahia? Unamaanisha kuwa ukisimamishiwa stahiki zako na kunyimwa haki zako zilizowekwa kwenye mkataba wa kisheria wewe hufurahia? Hujui tu kilichomo kwenye mioyo yao na jinsi wanavyohangaika kuharakisha kulipiza kisasi kwa jamii isiyojali huduma yao kwao.Walimu wanafurahia sana utawala wa awamu hii.
Na ndio haohao walokufanya wewe uonekane jf sasa. Shame on you! Babako profesa na mamako ni Dr jiulize imejuwaje wasikufungie ndani wakakufundisha had I nawe ukawa prof. Dharau kijinga zisozoweza kujibu hoja za msingi.Walimu wengi wana elimu duni, vyeti feki na kuungaunga kwa hiyo they get what they deserve
Mhhh muogope Mungu!Teaching is a STUPID professional.. Bora kuwa machinga
Mkuu inaonekana kama una hasira sana, pole sana.Kisa na sababu za kuufurahia? Unamaanisha kuwa ukisimamishiwa stahiki zako na kunyimwa haki zako zilizowekwa kwenye mkataba wa kisheria wewe hufurahia? Hujui tu kilichomo kwenye mioyo yao na jinsi wanavyohangaika kuharakisha kulipiza kisasi kwa jamii isiyojali huduma yao kwao.
Laiti mngalijitambua na kuungana kuwatetea ili wasiwateketeze kwenye tanuru LA ujinga.
Dah ngoja mi niwah huku mbeleHuu uzi ungekuwa unahusu udikteta, dangote, TRA, bomba dear....kesho tu kungekuwa na majibu hata kama indirect...lakini kwa kuwa unahusu walimu mfatiliaji mtandaoni wala hashtuki...
Unawahi nini mkuu?Dah ngoja mi niwah huku mbele
Vitie na mimba kabisa uvikomoe shenzi zaoPigeni kelele tu, Mimi najipoozea kwa vibinti ninavyovifundisha na uhandsome wangu huu wanakuja kwa speed. Likizo hii wamegawana namba si mchezo nasubiri warudi. Sikumbuki hata nyongeza ya mshahara wanavyonifariji.

Nakubaliana na ww mkuuTeaching is a STUPID professional.. Bora kuwa machinga
Acha uchochezi
Nawahi huku ndani maana hiz stories za humu dah walimu na maisha magumu hapo pamenigusa aisee hawana pa kusemea wasemaji wao cjui hawana impact naona walimu in gani ya kujifunzia kuongoza mpaka aibuUnawahi nini mkuu?
Walim hawakusimamia uchaguz 2015.Fursa ilitolewa kwa yeyote anayehitajiHakuna anayepinga sekta ya elimu nimoja ya sekta muhimu sana ila ajabu nipale sekta hii kukosa ule mvuto nakukosa hadhi hasa upande wa umma.
Haiingii akilini wamachinga wapige kelele kidogo tu mkuu wa nchi aingilie kati kwa kuwakingia kifua kwa kisingizio hao ndiyo waliompa kura.
NYINYI WALIMU Si ndiyo mnaosimamia uchaguzi.
Si ndiyo mnalipa kodi kuliko machinga.
Si ndiyo mnaotegemewa kufuta ujinga.
Si ndiyo mlisema rais ni mwalimu au alikuwa machinga.
Walimu ndiyo watumishi peke yenu hamna posho.
Walimu ndiyo watumishi peke yenu mna waajiri zaidi ya mmoja.
Walimu ndiyo watumishi peke yenu hamna malipo ya muda wa ziada.
Walimu ndiyo mnaongoza kupigwa makofi kutolipwa stahiki zenu kwa wakati n.k.
Ila pamoja na yote hayo sijawasikia hata mkimuomba rais au waziri mkutane na kujadili.
Msije mkaniona mbaya ila ukweli CWT hamna mnachofanya mnanyonya wenzenu.
Nyie ndiyo mna sauti zao mmekaa kimya mnahangaika na benki sijui ndiyo itawaongezea mshahara au posho.