Recent content by Bornhero

  1. Bornhero

    JamiiForums Tanzania Kila awamu haikosi mauno

    Bila kuona video tutaamini vip
  2. Bornhero

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga 2-1 Red Arrows | Siku ya Wananchi 2024 | Mkapa Stadium

    Kwani mechi ni saa ngapi
  3. Bornhero

    JamiiForums Tanzania Waturuki na Urusi wapeleka majeshi ya Gaza

    Hakuna kitu hapa wanajifariji tu
  4. Bornhero

    JamiiForums Tanzania Majeshi ya Israel yamekwama kweye tope Gaza hali tete

    Hizi ni propaganda hakuna ukweli wowote kwenye hii habari
  5. Bornhero

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

    Duh hii dunia Ina mambo kweli mrembo kama huyu anafanya maamzi ya hovyo hivi bila uoga wowote. But, akibahatika kufika uzeeni atajuta maamzi yake.
  6. Bornhero

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Duh Kuna sexual fantasy zingine ni hatari na nusu! Vijana mmetisha kinoma noma.
  7. Bornhero

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kumbe kuliwa nauli ni jambo jepesi sana

    Kuliwa nauli ni jambo la kawaida Ila unakua makin siku nyingine usitume nauli kizembe
  8. Bornhero

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pombe imenitia aibu sana siwezi sahau. Ni wiki sasa sijakanyaga kwangu

    Inaonekana kulikua na nguvu nyingine maana vituko vimezidi.
  9. Bornhero

    JamiiForums Tanzania Kipi kilichomchosha Mungu mpaka akapumzika siku ya saba?

    Ukiona mtu anajiuliza maswali kama haya basi ujue huyo mtu dini imemshida maana hakuna namna yoyote ambayo unaweza kuelezea mambo ya Mungu kwa kutumia nadharia za kibinadam vinginevyo utazua mijadala ambayo haina mwisho
  10. Bornhero

    JamiiForums Tanzania Tabora: Watoto wakodi muuaji akaue Mama yao

    Naona Dunia inaenda kwa Kasi Zaid maana haya matukio hayakuwepo zaman
  11. Bornhero

    JamiiForums Tanzania Waluguru wanafukia ufuo wa maiti chumbani

    Mhh hii Dunia Ina mengi aisee!
  12. Bornhero

    JamiiForums Tanzania Nini chanzo cha ongezeko la ajali za barabarani? Je, kipi kifanyike ili kupunguza ajari hizi?

    Hivi karibuni tumeshuhudia ongezeko la ajari za barabarani ambazo zimesababisha vifo vya watu wengi je, unahisi ni sababu zipi ambazo zimepelekea ongezeko la ajari hizi? Na ni nini mwarobaini wa tatizo hili? Karibuni kwa maoni na ushauri.
  13. Bornhero

    JamiiForums Tanzania Tupia majina ya sehemu ambayo ukiyasikia huwa unacheka

    😂😂😂
Back
Top Bottom