Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah rafiki yangu kafariki jana Tanzanite brigde dahHivi karibuni tumeshuhudia ongezeko la ajari za barabarani ambazo zimesababisha vifo vya watu wengi je, unahisi ni sababu zipi ambazo zimepelekea ongezeko la ajari hizi? Na ni nini mwarobaini wa tatizo hili?
Karibuni kwa maoni na ushauri.
Hii inakujakuja hivi, ebu kazia hapohapoKuwe na barabara za one way. Yaani magari yanayokwenda yasikutane na magari yanayorudi
Sorry for that bro, may his/her soul rest in eternal piece.🙏🏿🙏🏿Dah rafiki yangu kafariki jana Tanzanite brigde dah
Ajari za balabalani.Hivi karibuni tumeshuhudia ongezeko la ajari za barabarani ambazo zimesababisha vifo vya watu wengi je, unahisi ni sababu zipi ambazo zimepelekea ongezeko la ajari hizi? Na ni nini mwarobaini wa tatizo hili?
Karibuni kwa maoni na ushauri.
Hii kwa bongo ngumu sna sabab ya rushwa ilioyokithiri. Kama barabarani tu trafick wanashindwa kuzuia gari bovu lisiendelee na safari itakuwa sembuse wamiliki wa garage ambao wanataka kazi?.Madereva wengi hawana uzoefu masafa
Watakaosababisha ajali ya kifo wafunguliwe mashtaka na walipe faini kubwa
Lazima kuwe na ukaguzi wa magari mara moja kwa mwaka na mwenye Gari anapewa cheti cha ubora kwa mwaka lakini pia anaweza kugaguliwa mda wowote
Garage za kuangalia magari ziwepo kwa Amri ya serikali na hakuna rushwa
Gari ukiambiwa badili tairi ni lazima ubadili la sivyo Hakuna cheti hii itawafanya wenye garage wawabane wenye magari kubadili kila kitu kibovu na kunakuwa na mtandao unaounganisha traffic department na garages ambazo zitatoa taarifa kuwa hiyo gari imefeli haitakiwi kuwa barabarani
Hapo mwenye garage hawezi kukubali kutoa cheti fake ikijua gari mbovu maana dereva akishikwa imekula kwake
Pia sign post barabarani lazima ziwe nyingi kuwatahadharisha madereva
Hili daraja jipya limeanza kuua?hiyo ajali ilitokeaje wakati njia nzuri tu zile?au boda boda?Dah rafiki yangu kafariki jana Tanzanite brigde dah
Juzi nimeweka uzi humu wa njia kuu Highways zote ziongezewe lanes ili gari za uelekeo mmoja zisikutane na za uelekeo mwingine hii itapunguza ajali.Hivi karibuni tumeshuhudia ongezeko la ajari za barabarani ambazo zimesababisha vifo vya watu wengi je, unahisi ni sababu zipi ambazo zimepelekea ongezeko la ajari hizi? Na ni nini mwarobaini wa tatizo hili?
Karibuni kwa maoni na ushauri.
Hii kwa bongo ngumu sna sabab ya rushwa ilioyokithiri. Kama barabarani tu trafick wanashindwa kuzuia gari bovu lisiendelee na safari itakuwa sembuse wamiliki wa garage ambao wanataka kazi?.