Recent content by Bornblack

  1. Bornblack

    Waziri Bashungwa Wimbo wa bia tamu upigwe marufuku. Unahamasisha ulevi na uzembe

    Kweli mwenyewe shahidi wa hilo jana tu watu wana mwagiana mipombe na kuimba bia tamu asikwambie mtu
  2. Bornblack

    Ukiweka ushabiki pembeni; Wanaume tumeumbwa ili kupiga bao moja tu kama kuku wafanyavyo na kusepa

    Mimi huwa nasugua kimoja tu sikojoi mpaka akojoe yeye akauke akojoe tena akauke dakika 45 to One hour akitoka hapo, La pili hataki kusikia
  3. Bornblack

    Kama hakuweza kujilipia mahari, je ataweza kulipa faini ya billion saba?

    Huyu bwege alikuwa anajifanya mwamba sana enzi za mwenda zake alipe kama hawezi akapakuliwe na Manyamlala huko
  4. Bornblack

    Wakuu nawezaje kupata kazi ya CASINO hapa Dar

    Nenda pale Princess Cassino, au Rigrend Cassino watakupa utaratibu
  5. Bornblack

    Waziri Gwajima amteua Steve Nyerere kuwa Balozi wa Uviko-19

    Hii nchi bila kujitoa akili unaweza ukabaki ulipo milele
  6. Bornblack

    Who is Martin Maranja Masese?

    Hao mabwege tu hawana lolote
  7. Bornblack

    Police online loss report hamna kitu, ni uozo mtupu

    Wanataka uende kwenye vituo ili wakuambie nenda kajaze form pale stationary upate conrol number afu nje unamkutana na madogo wanakwambia kujaza form ni 2000
  8. Bornblack

    Mbaroni kwa kumkamata, kumshambulia na kusambaza picha za utupu za waliyemfumania

    Mwenye video hiyo atupe na sisi tuione basi jamani
  9. Bornblack

    Naomba kazi kwa yoyote anayehusika

    Asante mkuu nitakutafuta
  10. Bornblack

    Utumishi mlikuwa na lengo gani kwa watahiniwa?

    hii nchi tuna viongozi wa ajabu haijawahi kutokea yaani
  11. Bornblack

    Waziri Simbachawene, IGP Sirro kiangalieni kituo cha polisi Buza

    na teleza akisikia taarifa hizi ataibuka huko
  12. Bornblack

    Tabora: Baba na mtoto wadaiwa kumuua mama kwa kuchoka kumuuguza

    Kama alikuwa anaumwa kulikuwa na haja gani ya kuning'iniza juu bora wangemwacha tu kitandanai
  13. Bornblack

    Karma ni hatari: Mzanzibar aliyebeza COVID-19 huko ughaibuni, imempata

    Watu kama hawa Covid ukikamata maliza kazi tu maana wajinga sana niliona video yake anaongea ugoro tu
  14. Bornblack

    Biashara ya Ngono jijini Dar inatisha, yazidi kunawiri

    Niliwahi kwenda mara moja pale Temeke sudani kwa Wahaya aisee nakumbuka kipindi hicho ilikuwaga Buku goli moja fasta
  15. Bornblack

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Twambie Sasa ilivyo kuwa mkuu
Back
Top Bottom