Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Kwema waungwana, nilikuwa sijawahi kula kimasihara. Ilikuwa wiki iliyopita 07/07 nilikula tunda kimasihara.

Nilikuwa nimempeleka mtoto wa brother shule moja huko Manyara wilaya moja milimani, toka mkoa niliopo mpaka huko shule ni mwendo wa masaa matano, mtoto alienda kuanza shule kidato cha tano.
Irudiweeee au sio
 
Mpo kimya najua mpo kwenye harakati mkimaliza kula kimasikhara
Leteni visa humu wadau,
Funguka,funguka,funguka
Mpate kupona na kufuta madhambi yenu maana afichaye dhambi itamtafuna humu ndio kitubio!

Kwa baba paroko rikiboy!


Nadanganya wadau?
😁😁😁😁
 
Hiyo pisi uliivuna ama uliisamehe?

Alikuja mara ya kwanza nkamsaidia mara ya pili nkaisaidia ilitaka movie akaingia hadi ndani mara ya tatu kaja kuomba movie Ndio nkasema Hapana leo nakula, wakati wa kuchagua movie nkampeleka folder la movie za pilau akawa anajidai hataki kuangalia nkamuuliza kwani ujui Haya mambo shem anacheka cheka tu basi nkaanza mtomaso kama kawaida kauli zao zile “shem sio sawa hivi lakini” nkamuambia Najua Ndio mana tunafanyia kwangu atakae toa Siri ya humu ndani ni nani mana mimi sito Sema chochote, akalegea nkala viwili akapita hivi na mpaka leo hapa tunasalimiana fresh tu nasubiri lini niletewe tena maana kasema anataka movie zingine nkamuambia kariiiibuu
 
NILIVYOMLA KIMASIHARA ASKARI POLISI

Saa 6 mchana niko Mbezi kusubiri gari la ABC, ili saa 7 mchana tuanze Safari ya kwenda Dom.

Mungu hamtupi mja wake kama alivyoamua kumrejesha Gwajima kwenye madhabau, gari ilfika Mbezi nasi tuliyo kuwa Mbezi tukapanda tayari kwa Safari ya kuelekea Dom. Nafika kwenye siti yangu, nakutana na jamaa tunafahamiana kabisa! Sikufurahi Sana kwa kuwa huwa napenda nisafiri kwenye siti moja na mtoto wa kike, hapo Safari inakuwa burudani. Tukapiga piga story pale, then kila mmoja akachukua time yake!

Siti ya mbele yetu kulikuwa na mama mmoja na mdada mmoja, ambaye baada ya kumuona tu, nilitamani nimuite konda amhamishe yule mama nikae Mimi au nimtoe jamaa yangu aje yule manzi nikae nae. Lakini ndo ilikuwa haiwezekani! Ikabidi niwe mpole!

Tumefika Chalinze, nikasikia wanaongea na yule mama, wakawa wanaongea Kiingereza, kwa kuchanganya na kiswahili! Kiswa-english! Ila mtoto anatema cheche balaa! Duuuh, rohoni nikaanza kumlaumu baba kwa kunipeleka shule msingi Nakapanya na Sekondari ya kata ya Mlingoti Magharibi!

Mazungumzo yalivyokuwa yanaendelea, nikagundua wale ni mama na mwana! Wanaenda kwenye graduation Udom! Na Wanafikia Lodge! Nilisikia, "mom have you asked Nasra to book a room for us....! Come on my dear! Dom napo ni pa kufanya booking, room zipo tu! Just relax babe, okay! Sawa mama angu!

As they were conversing, I was also very attentive, so as to grab some details that would help me to prepare my business plan for hooking this beautiful Onyinye! No matter what!

Kuna kipindi nilikuwa nilikuwa naomba mama alale nipate nafasi ya kuongea na mwanae lakini Mama was so supper, yaani ni ile tunaita "Stickativity theory" never quit, never sleep! Ndo kwanza anapiga story!

TUNAINGIA MOROGORO

Tumefika Morogoro, nikategea nione kama anashuka kwenda kuchimba dawa au kuchukua chakula, lkn waliendelea kukaa, ikabidi tu nishuke! Nikaenda kibanda kimoja nikachukua pipi tatu, nikanunua kalamu nikaomba na karatasi! Pipi moja, nikaiweka kwenye kikaratasi, nilichoandika
" Hello, am Lugumya" nyuma ya siti yako hapa! Namba yangu ni ......kama hutojali, naomba tuchati kidogo! I heard you speaking about Udom graduation, nami ndo ninakoelekea"
Am sorry for any inconveniences, resulted from this message! Cheers!

Nilivyorudi, kufika mlangoni nikatupa jicho moja kwa moja kwa yule dada! Tukagonganisha jicho for some seconds, then akaondoa uso wake! Hapo nilitaka nimsindikize na tabasamu! Lakn akawa ametoa macho, and she never looked at me again! Nilienda moja kwa moja hadi kwenye seat yangu, na yule seatmate alikuwa hajafika!

Nilivofika sikukaa, nilisimama, huku nikiwinda mwenendo wa mama mzaa chema, nikaona ameinamia simu, kuzungusha kichwa naona kuna baadhi ya abiria nao kama wananitizama! Najiuliza nifanyeje? Akili inanipeleka kwenye theory ya Social Cohesion- we are bound together because of our similarities and differences. Mi nina Uume yeye ana K, so we can be together eeeh! Probably, that is what can bond us!

Baada ya kuridhika kuwa mama amejikita kwenye simu yake, nilimgusa yule dada begani, akageuka, huku namuona jamaa yangu akipanda , nikampa pipi mbili, iliyo kwenye kikaratasi nilichoandika na nyingine ya kawaida. Pipi moja ilikuwa kishika uchumba kwa mama mzaa chema, ya Pili ilikuwa kinogesho Cha ujumbe wangu! Japo sikuwa na uhakika Kama ujumbe utapokelewa!

Yeeeees, alichukua! But she was so neutral! Nilimuona akipiga jicho kwa mama yake! Afu akainama, bega moja ameweka kingo mama yake asimdukue! I realized, the girl was reading my conceptual framework, designed by a researcher himself(Lugumya).

TUNAONDOKA MORO.
Safari ya kutoka Moro ilivoanza, nilikuwa attentive na simu asije akatuma meseji afu nikachelewa kujibu akaniona siko active! Lakini hakuna Cha meseji wala nn, kwanza ndo ameweka earphones kabisa! Nikawa natamani ninyanyuke nimwambie mbona kimyaaa! Ila nyie dada zetu Basi tu! Nyodo sijui, mnazinunua wapi?

Gari iliendelea kukata mawimbi, Mara tukaingia Dumila, akageuza shingo, akakuta nimemwandalia tabasamu nikampa, bila kusema chochote, akarudisha uso wake mbele! Akamcheki mama yake! Akamnong'ong'oneza kitu! Wakacheka! Moyoni, nikasema hili toto litakuwa linanisemea kwa mother! But what do I loose, kwanza siwajui! Potelea mbali! Then, nikaona anampa Pipi moja, mama akachukua! Nikajisemea, mnaanza kula mahari hata kabla ya kunitumia text, this is laundering! Totally laundering! Kula Pipi imekuwa halali lkn mm kunitumia meseji tu imekuwa shida! Powa!

Few minutes later, binti aligeuka kidogo akakuta namwangalia! Kipindi hiki akatabasamu nami nikatabasamu! Faster akarudisha kichwa mbele. Nikaona ameinama, Mara sms "Ahsante kwa pipi"

With that message, I real remained speechless! What a step! My ghosh! Kwa kipindi kifupi nilikuwa kwenye kifungo huru! Sasa, naona kama Rais, anatoa msamaha, na mm unanigusa moja kwa moja! I had nothing to do, rather than replying her text!
" Ahsante kushukru! Karibu!" Ukiwa unaendelea kusoma, unaweza kuibeba furaha yangu! It's a kind of passion I have never unleashed!

Jamaa yangu sina habari nae, amejilalia huko, mimi nyege zinanikorokota! And I thought, this girl was enough to kill all the pain! Na Kama Maendeleo ni matokeo ya msuguano, basi Maendeleo yapo kwa huyu dada, nitamsugua ili niyapate! Haya ni baadhi ya mawazo yaliyokuwa yananijia, nikisubiri labda aseme chochote kuhusu meseji niliyomtumia! Alikaa kimya tu lkn!

Kuna roho ilinambia, em mpotezee, si namba tayari unayo! Polepole ndiyo mwendo na haraka haraka haina Baraka! Lakini mtu simjui nitamsubiri hadi lini?
Then, niliamua kuvunja ukimya!

" Hello miss, it's of no lie, you look so beautiful and balanced" Nitafurah kama nitalifahamu walau jina lako tu.

Hahahaah, who is beautiful? Me? Hahahaha! Okay, thanks! Am Jasmin! Thanks Jasmin, and that beautiful woman besides you? This is my lovely mother! Sawa! Ahsante nashukuru kuwafahamu! Tuliendelea kuchati kawaida tu, lkn!

Katika mazungumzo yetu ya meseji akanambia, yeye ni Askari polisi, kituo kimoja Dar, wanaenda kwenye graduation yake Mdogo wake! Mi nae nikaona nisjiweke nyuma, nikataja kaofisi fulani amazing ka-serikali! Kenye mvuto mvuto, lkn si kitengo! Nikamchomekea ninavyotamani awe rafiki yangu! Akanambia urafiki wa kawaida, lakni si zaidi ya huo! I said haina shida! Naanza kuona mama anabaki mpweke, attention napewa Mimi! Nimechukua nafasi ya joti, ya masanja na mpoki! Nacheza scene zote mm mwenyew, Nampa furaha jirani yangu!

TUNAKARIBIA KUINGIA KIBAIGWA!

Tulivyokaribia Kibaigwa, tairi la gari letu lilipata pancha, hivyo ikabid tushuke tusubir wabadilishe! Kabla ya kushuka nikamtumia sms naomba nimsalimie mama! Akasema wee, huyu mama ni mkali, wee muone hivi tu! Nikamwambia mwambie mi rafiki yako, tulikuwa wote CCP-Moshi! Akacheka! Akanambia pouw!

Akashuka, mama akafuata Mimi nyuma, mshikaji wangu nae akashuka na abiria wengine wakawa wanashuka! Tukiwa chini, akanitazama nami nikamtazama, tukatabasamiana, akanifanyia Ishara ya kuniita kwa mkono! Nikaenda, nikamsalimia mama, kwa heshima zote na unyenyekevu Mkubwa kuzidi ule wa Makonda akiwa anahesabu kura zake kule Kigamboni! Akaitikia, nikatambulishwa Kama rafiki, tuliekuwa nae kwenye Chuo chetu pendwa kule Moshi! Mama akafurahi kunifahamu! Nikachomoa buku 10, nikampa Jasmini, nikamwambia ampe mama atakunywa maji! Akatabasamu, afu akampa mama! Mama akiwa anatabasamu akachukua, afu akashunishukru!

Kidogo naona mama, anarudi ndani akatuacha na Jasmin! Tunaongea vizuri, yaani kirafiki kabisa! Afande Yuko charming balaa! Mara tukaamliwa kurudi kwenye gari! Tukaingia, likaanza kuondoka!

TUNAINGIA KIBAIGWA!
Tumeingia Kibaigwa, jamaa yangu naona, anasimama kushuka! Nikampisha! Gari lilivosimama akashuka! Nikabaki mwenyewe! Nikamtumia Jasmin meseji! Cutie, am a bit bored, karibu huku tupige story bana" akatuma! Aahahaha! Ngoja nimuage mama! Nikamwambia, poa! Kama mnavyojua Shetani akitaka kujidhihirisha giza nalo halichelewi! Giza limeanza kuingia kwenye Gari na kibaridi Cha Dodoma!

Akafungua mkanda kaja, akachukua mkoba wake, akatoa khanga, akainuka akaja! Nikampisha akakaa siti ya dirishani. Alivyofika akatupia khanga yake mawilini, afu akakaa na kufunga mkanda! Mi nae nikakaa vyema nikafunga mkanda wangu, kwa ajili ya udadis.com! Hapa niwe mkweli huyu Afande alivyoinuka kuja, mshale wa sekunde ndani ya boxer ulianza kuinuka kutoka 6: am kwenda kwenda 12: 00 noon kwa Kasi ya ajabu!

NO MORE TEXT BUT ORAL NARRATION

Tukiwa tumekaa pamoja, amelaza kichwa chake nyuma ya siti ya mama yake, Mimi nae nililaza kichwa kwenye siti aliyotoka! Tukatazama kwa tabasamu, bila kuongea chochote! Macho yote kwake! Kama dk tumeacha macho yaongee, huku tabasamu likitawala! Then, I whispered! Aisee wew ni mzuri jamn! You have already won my heart! Here, my gutteral voice was no more, but romantic and in babily mood!

Nilivyomwambia kwa sauti ya kunyegesha, alibadilika kidogo sura Kama anataka kuweka ndita lkn si za chuki ila za furaha! Yaani kama anataka asinzie, Kama anataka atabasamu, nikagundua tayari nimeshaanza kufanya uchavushaji! Niliendelea kumsifia, the way, Mungu alivyompendelea kwa sauti ya chini chini ili mother asitusikie! Akashukuru! Hakuwa anaongea Sana Tena, ule uchangamfu wake ukaanza kupungua!

Nilimshika mkono nikawa nachezea vidole vyake, huku nikimsifu alivyo na vidole laini, na viganja laini! Akiwa anasema ahsante kwa sauti ya chini! Nageuza shingo, nakuta abiria Mwenzetu anatukodolea, but I didn't care!

Nilihamisha ule mkono, nikauweka kwenye paja langu la kulia, huku jicho nikipiga kwa mama mzaa chema kuona kama anatudukua kiwizi wizi ama lah! Mama alikuwa tayari kalala! Nikausogeza mkono kwenye mkuyenge, afu mm nikapitisha mkono wa kulia kwenye khanga, nikaenda kuitafuta chupi ndani ya Suruali aliyokuwa ameivalia! Nikawa napapasa, afu naivuta kidogo naiachia inajipiga paaa! Nilifukunyua, nikitaka kuingiza mkono kwenye mstari wa makalio, nguo inabana, nikamnong'oneza afungue kishikizo! Akatii bila shurti- Afande Tena! Akafungua, nilivoingiza mkono ukaenda hadi kwenye mstari wa makalio, chezea huku na yeye akichezea mkuyenge!

Nilivotoa mkono huko nikaupeleka kifuani, nikachezea chuchu ya kushoto, akawa anajinyonga nyonga sana! Nikaivuta ile khanga, tukaingia tukajifunika kichwani, afu tukanyonyana ile ya kama kung'atana mara Tatu, afu anakambia it's enough! Mi nikasema mmmmh, nooo bhn! Once more babiee. Akasema, imagine if mom see this! Busara ikarudi nikaona kweli! Nikaacha, lkn hali ilikuwa ni mbaya, kiasi kwamba nikisema nipige bao, litapita kwa mama mkwe wa hiari Hadi kwa dereva, ikiwezekana lipasue kioo Cha gari! Kwa hiyo nikawa na kazi ya kulizuia listoke!

Napiga jicho kwa jirani yangu upande wa kushoto, naona nae anachezea uume, umedinda balaa, umeinua hadi suruali, bahati nzuri abiria mwenzake alikuwa keshashuka! Moyoni nikacheka, huku nikimlaumu kwa kupenda kupiga chabo! Akajifanya Kama anapotezea, mi nae nikampotezea, nikarudi kupapasa Afande wangu!

Nilivogundua kuwa tayari ameshakolea, nikamuuliza! Unalala wapi? Tunalala Simba hotel, mom ameshabook rooms! So, unalala nae, hapana, kila mtu room yake! Okay, hope this will be our very wonderful night! Yeye, hahahahaha! Kweli tena! Utatangulia, then, you will tell me the room number! Akanyamaza!

TUNAINGIA AREA C, OFISI ZA ABC!

Niliamua kumuachia, akafunga Suruali yake, then, akamwambia mama yake! Mama tushuke! Afu akanambia, I will text you soon! Nikasema okay! Nilisimama, nikashuka, wao wakaja, kumbe walikuwa na begi kwenye Boot, lilivyotolewa nikajitahidi kulibeba hadi nje ya geti, wakapanda bajaji kuelekea Simba hotel, ni jirani tu! Huo ni usiku Sasa! Mimi nilitaka nikalale Bansee, buku 15,000/= tu! But I have to wait for this beautiful soldier! Nikiwa bado, najiuliza nimekosa au nitapata, ghafla sms ikaingia, mazingira yakiwa sawa, I will let you know, ikishindikana pia nitakujuza! Nikasema sawa!

Niliamua nisiende mbali, nikaenda moja kwa moja Simba hotel, nikaagiza chakula nikawa nakula! Huku mawazo yakiwa kwa yule dada!! Saa tano hakuna hata sms, mi nae nimeganda tu. Nikapiga, simu haikupokelewa! Nikatumiwa sms wait pliz! Nikawait! Ila nikawa najiuliza muda wote huo anafanya nn, this girl has decided to leave me out in cold! Aiseee, ila akijiroga nitamtomb...ngoja ikipigwe baridi ndo atanijua! Nikatafuta na mtindi nikagonga, ili neutralize manii!


SMS YAKE INAINGIA!

" It's now safe, you're welcome! Room no....! Yaani kwa hii sms, only men can understand! Mie huyoooo! Kufika reception, nikajitambulisha pale, wakampigia, akasema mruhusuni! Nikaenda nakuta mwenzangu ameshaoga, amejiremba utafikir ana mtoko! Naogopa hata kumgusa, akanambia, karibia bafuni! Nikamwambia twende wote, akasema wee, mi nishaoga bn! Kweli nikachukua taulo, nikazama bafuni, nikaoga!

Kurudi, akanambia, najua hujala, nilikuchukulia chakula, nikala tena, huku nikimwangalia, naona Kama ndoto za Kimweri (waliosoma miaka yetu wanaijua Hadith hii).

KULA KIMASIHARA

Nikiwa nakula, alikuja kukaa karibu yangu, Mara anishike mgongoni, Mara kwenye vichcuchu vyangu, Mara ateremke kwenye uume, nilikuwa sijavaa, pensi Wala boxer, maana nilifua bafuni huko, na sikua nimechukua kwenye begi nibadilishe! Kwa hiyo nilikuwa na taulo tu. Akawa anaendelea kunipapasa, nikaona isiwe taabu. Nikanawa! Nilivyomaliza kunawa, nikanywa maji! Nilivyoweka tu chupa na kuifunga, nikusukumwa kitandani hapo chali!

Mtoto kaja juu, kaanza kuninyonya kwenye kifua viziwa vyangu, nikawa nimetii amri Kama ananizid cheo jeshini! Akashashuka, chini kwenye uume akanyonya uume, huku akinipasa maeneo ya kwenye mbavu! Then, akaja kunipa denda, tukala denda, nikambadilishia kibao Sasa. Nilikula mate, nikamtomasa yule Afande, nikishika ziwa lake, nikaviringishia ulimi, naona anasemee, shiiiiiiii, anajinyooosha! Moyoni nikawa namwambia, hatuko parade Afande! Kukaa kwako mguu sawa hakunisaidii!

Nilimlamba masikioni, naona anajikunja tu, nikamgeuza , nikawa napitisha ulimi kwenye mstari wa mgongo wake, nakaribia kwenye mstari wa tako, anahema tu mtoto wa watu, nikambinua, nikaweka Mito yote miwili kiunoni kwake, ili mreji maringo ubinuke kama Kitumbua Cha Mama Lishe pale UDSM, aliweka kiuno chake, huku miguu ameitawanya Kama mende aliyekufa, nikazama chumvini, ulimi ukaanza kumtesa Afande! Anahema tu, kwa uzuri wake, ule nilihitaji kuweka alama isiyofutika! Yaani nilikusudia kumpa sakramenti ya kusadiki katika Mimi!

Nilimnyonya sana huyu mdada, nikaenda kwa shingo, huku nikitalii maeneo mengine ya mwili, nikajikuta nimepiga bao kabla sijaingia! Hilo ndo lilikuwa lengo langu haswaa, nitoe nyege mshindo, nibaki na nyege ushindi! Tuliendelea na kuandaana, akanambia she loves romance sana, then, tulivyokuwa tayari nikaingia Sasa!

Nimeingia uume ukapenya, vizuri nikaskia, aisiiiiiiiii,shiiiiii, ooooooohhh, tukaanza kusuguana pale Mdogo Mdogo taratibuuu! Akawa anzungusha, kinyamwezi, Mimi huku bichwa limeiva kama kama tofali la udongo kwenye tanuru! Baadae, nikawa chini, yeye akaja juu, maaskari wanajua kufinyia kwa ndani asikwambie mtu. Nafikiri ni kutokana na Ile tabia yao ya kubana miguu wanapokuwa wanasalimiana na wakubwa zao! Alikuwa ananinfinya. Aliikatikia mpaka akapizi, huyu dada alikuwa na hisia Kali Sana, akitaka kupizi anatoaa usauti wa ajabu balaaa! Utasiiii, aaaanhaaaaaaaaaa, aaaannhaaaaaaaaaaaa! Oohhoooooohiiish! Ooooooohiiii! Ufuuuiiiiijj!

Mimi nilichokuwa nakifanya nikitaka kupizi, natoa mawazo, naanza upya! Nikaamua tu nipizi, tukapumzika kidogo!

Baada Kama ya dk 30 hivi, tukiwa tumekumbatiana, alianza kunishika shika tena, akaanza kuchezea uume wangu, nikaenda nae Kama anvyotaka, sasa tulivotaka kuanza mtanange akainama, nikawa napiga dogy style, piga, akanambia twende kwa kiti, tukaenda kwenye kiti, Mimi chini yeye juu, akawa anakatika mm nimemsaidia kushikilia makalio, napapasa kwa namna kiuno kinavyozunguka! Mara yanapigisha kwa style ya kichura chura, anatoa usauti wa hadi wakat mwingine namziba mdomo!

Baada ya hapo, akainama tena kwenye kitanda, nikashindilia, akanambia nimechoka, naomba turudi kitandani! Tukarudi kitandani, nimesugua sugua naona akanikaba kwa nguvu, akanambia ahsante Sana, I love you, nikamwomba anisaidie nami nimalize, Basi akajikaza hadi nikamliza! Hata sijui usingizi ulivyonipitia, nililala juu yake, saa 10 hivi, nikashtuka, nikajiweka pembeni! Saa 12, nikapata kengine. Kwa kweli nilifurahia Sana, Afande nae alinisifu Sana! Saa moja nikachomoka na mizigo yangu yote.

Ametoka kwenye mahafari, wakiwa na Mdogo wake, Pamoja na mama, tukaonana chako ni chako, nikanunua kuku pale then, tukawa tunakula tunapiga piga story, nikaaga! Akanitumia sms, usiende mbali, kesho tunarudi Dar, hivyo uje tuagane! Leo naomba uje mapema! Nikamwambia utanistua, akasema pouw! I have real missed it! Nami nikamwambia, it is just a day, lkn umenipa kumbukumbu nzuri kichwani!

Saa 4 usiku, meseji ikaingia, if you're free, then you're welcome! Nikamwabia, I will be there sweetie with no late! Nikaenda kula mtoto wa watu tena, nikapiga Hadi Asubuhi, then saa 1 nikabeba tena kibegi changu huyooo! Sasa ikawa mwendo wa sms, kadri nafasi ilivyopatikana tulipata kutano! Tumezunguka nae lodge nyingi nyingi tu Sinza!

Huyu sidhani kama urafiki unaweza kufa, maana nimemweka pia kama msaada nikipata msala aweze kuniokoa!


Yuko vizuri sana dada wa watu, na saa yake mkononi! Yuko huko Dar, kituo Cha Polisii.......!

Nawasilisha!
Mkuu wewe ni author?
 
Kuna Manzi mmoja maarufu sana Morogoro.Anauzaga maduka flan hivi ya nguo.

Day moja nikiwa misele ya hapa na pale nikaamua kupita duka moja kubwa languo hapo Moro mjini.
Mara paap nakuana na hiyo Piss kali sio poa wakulungwa.
Mwanaume nikavimba nikaanza kumshobokea kwa maswali ya hapa na pale nikiulizia bei za bidhaa zake huku mwanaume muda wote nimekenua nikichekacheka tuu.

Muda ulipo wadia nikaomba namba zake niki muaidi kuja kuchukua Pamba kali bei Around 200k.

Basi mwanaume nikaanza kuchart nae hapa napale kumpa moyo na ushauri mwingi ili nijisafishe nionekane mwema mpole na mtulivu.

Siku moja alitoka zake Dar kufunga mzigo basi mwanaume nikachart nae nikamuomba Sponsor ya masaa nikae na faragha popote pale atakapo kuwepo huko huko Dar manzi akanikubalia.

Muda umewadia nikamuita kiwanja flan hivi tukakaa pale nikawa napiga Story za hapa na Pale.

Muda ulivyo sogea akawa ashakula kiepe chake na Juisi ya Embe mi nikagonga utende mzito mwanaume nika pumua kwa sauti kwa ajili ya kujiandaa na show.

Sa yule Manzi akasema leo hawezi kwenda Moro anataka tuende kiwanja tukakeshe tunywe biaa.

Mmmh mwanaume sikuwa vibaya wala nini nika mkubalia bhanaa.

Nimefika kiwanja flan amaizing tuu bia pekeake 4000 mwanaume nikaona isiwe taabu nikaagiza Kvant kubwa na maji ye nika mwambia agiza chochote ye akawa nakunywa savana.

Mi kwa utundu wangu nikaanza kuisifia Kvant sifa kede kede.
Yule dem akaanza kama kuielewa Kvant.Mara mhudumu akaja na tena akasema nletee na Mimi Glass mwanaume nikasema aswaaaaaa.

Basi tukaendelea kushusha mlima wetu mdogo mdog kucheka kwa Wingii.

Kitu ambacho kilikuwa kina nishangaza yule manzi nikiwa pale hanywi Kvnt ila nikienda chooni basi anagida mafundo makubwa makubwa ya kutosha.
Mi nikastukia mchezo. Nikajifanya sioni nlichofanya nikazidisha Rout za chooni ili bidada afe na Likvnt langu.

Heee muda ulivyo songa dem anyanyuke aende chooni kwani alisimama tenaa...????

Aswaaa nikamshika nikampeleka chooni basii nika mkamata nikamuweka begani aswaa mwamba nika paanae Piss moja kali sanaa.

Nlikuwa na kausafiri kangu ka X Trail basi mwamba

Nikasepa kumalizia show uwanja wa Nyumbani kule kule Dar mitaa ya Ukonga wakati tukiwa kwenye Gari mtoto full kula koni mwanaume nimshkilia stealing ya Gari kwa makini nisipigwe pass.

Any way shoo ikaishia Geto kwa piss kali ya Moroo

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kuna Manzi mmoja maarufu sana Morogoro.Anauzaga maduka flan hivi ya nguo.

Day moja nikiwa misele ya hapa na pale nikaamua kupita duka moja kubwa languo hapo Moro mjini.
Mara paap nakuana na hiyo Piss kali sio poa wakulungwa.
Mwanaume nikavimba nikaanza kumshobokea kwa maswali ya hapa na pale nikiulizia bei za bidhaa zake huku mwanaume muda wote nimekenua nikichekacheka tuu.

Muda ulipo wadia nikaomba namba zake niki muaidi kuja kuchukua Pamba kali bei Around 200k.

Basi mwanaume nikaanza kuchart nae hapa napale kumpa moyo na ushauri mwingi ili nijisafishe nionekane mwema mpole na mtulivu.

Siku moja alitoka zake Dar kufunga mzigo basi mwanaume nikachart nae nikamuomba Sponsor ya masaa nikae na faragha popote pale atakapo kuwepo huko huko Dar manzi akanikubalia.

Muda umewadia nikamuita kiwanja flan hivi tukakaa pale nikawa napiga Story za hapa na Pale.

Muda ulivyo sogea akawa ashakula kiepe chake na Juisi ya Embe mi nikagonga utende mzito mwanaume nika pumua kwa sauti kwa ajili ya kujiandaa na show.

Sa yule Manzi akasema leo hawezi kwenda Moro anataka tuende kiwanja tukakeshe tunywe biaa.

Mmmh mwanaume sikuwa vibaya wala nini nika mkubalia bhanaa.

Nimefika kiwanja flan amaizing tuu bia pekeake 4000 mwanaume nikaona isiwe taabu nikaagiza Kvant kubwa na maji ye nika mwambia agiza chochote ye akawa nakunywa savana.

Mi kwa utundu wangu nikaanza kuisifia Kvant sifa kede kede.
Yule dem akaanza kama kuielewa Kvant.Mara mhudumu akaja na tena akasema nletee na Mimi Glass mwanaume nikasema aswaaaaaa.

Basi tukaendelea kushusha mlima wetu mdogo mdog kucheka kwa Wingii.

Kitu ambacho kilikuwa kina nishangaza yule manzi nikiwa pale hanywi Kvnt ila nikienda chooni basi anagida mafundo makubwa makubwa ya kutosha.
Mi nikastukia mchezo. Nikajifanya sioni nlichofanya nikazidisha Rout za chooni ili bidada afe na Likvnt langu.

Heee muda ulivyo songa dem anyanyuke aende chooni kwani alisimama tenaa...????

Aswaaa nikamshika nikampeleka chooni basii nika mkamata nikamuweka begani aswaa mwamba nika paanae Piss moja kali sanaa.

Nlikuwa na kausafiri kangu ka X Trail basi mwamba

Nikasepa kumalizia show uwanja wa Nyumbani kule kule Dar mitaa ya Ukonga wakati tukiwa kwenye Gari mtoto full kula koni mwanaume nimshkilia stealing ya Gari kwa makini nisipigwe pass.

Any way shoo ikaishia Geto kwa piss kali ya Moroo

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
chai
 
Leo ngoja na mm niwape kisa changu cha kimasikhara. Kuna mmama mmoja mtu mzima tulikuwa tumezoeana kikawaida tu.kuna siku nikakutana nae mida ya saa moja ucku,nikamsalimia kisha nikamuuliza unaenda wapi?Akasema mi nipo tu.nikamwambia (kiutani tu) twende nifuate,si akaanza kunifuata kweli! Nikajua hapa kimeumana nikamwambia kanisubir sehemu x mimi nakuja.akatangulia bhana,nikapiga u_turn na mbio kama zote kwenda kuchukua zana.niliporudi nikamkuta pale ananisubiri.sikuongea neno nikampindua,nikamvua pichu nikamchumisha mboga.nilivyomaliza nikamwambia poa...nikasepa.baada ya hapo nikajifanya kama hakuna kilichotokea na tukionana nampa shkamoo yake mi mbele.
Sehemu Gani mbn kama chai
 
Kuna Manzi mmoja maarufu sana Morogoro.Anauzaga maduka flan hivi ya nguo.

Day moja nikiwa misele ya hapa na pale nikaamua kupita duka moja kubwa languo hapo Moro mjini.
Mara paap nakuana na hiyo Piss kali sio poa wakulungwa.
Mwanaume nikavimba nikaanza kumshobokea kwa maswali ya hapa na pale nikiulizia bei za bidhaa zake huku mwanaume muda wote nimekenua nikichekacheka tuu.

Muda ulipo wadia nikaomba namba zake niki muaidi kuja kuchukua Pamba kali bei Around 200k.

Basi mwanaume nikaanza kuchart nae hapa napale kumpa moyo na ushauri mwingi ili nijisafishe nionekane mwema mpole na mtulivu.

Siku moja alitoka zake Dar kufunga mzigo basi mwanaume nikachart nae nikamuomba Sponsor ya masaa nikae na faragha popote pale atakapo kuwepo huko huko Dar manzi akanikubalia.

Muda umewadia nikamuita kiwanja flan hivi tukakaa pale nikawa napiga Story za hapa na Pale.

Muda ulivyo sogea akawa ashakula kiepe chake na Juisi ya Embe mi nikagonga utende mzito mwanaume nika pumua kwa sauti kwa ajili ya kujiandaa na show.

Sa yule Manzi akasema leo hawezi kwenda Moro anataka tuende kiwanja tukakeshe tunywe biaa.

Mmmh mwanaume sikuwa vibaya wala nini nika mkubalia bhanaa.

Nimefika kiwanja flan amaizing tuu bia pekeake 4000 mwanaume nikaona isiwe taabu nikaagiza Kvant kubwa na maji ye nika mwambia agiza chochote ye akawa nakunywa savana.

Mi kwa utundu wangu nikaanza kuisifia Kvant sifa kede kede.
Yule dem akaanza kama kuielewa Kvant.Mara mhudumu akaja na tena akasema nletee na Mimi Glass mwanaume nikasema aswaaaaaa.

Basi tukaendelea kushusha mlima wetu mdogo mdog kucheka kwa Wingii.

Kitu ambacho kilikuwa kina nishangaza yule manzi nikiwa pale hanywi Kvnt ila nikienda chooni basi anagida mafundo makubwa makubwa ya kutosha.
Mi nikastukia mchezo. Nikajifanya sioni nlichofanya nikazidisha Rout za chooni ili bidada afe na Likvnt langu.

Heee muda ulivyo songa dem anyanyuke aende chooni kwani alisimama tenaa...????

Aswaaa nikamshika nikampeleka chooni basii nika mkamata nikamuweka begani aswaa mwamba nika paanae Piss moja kali sanaa.

Nlikuwa na kausafiri kangu ka X Trail basi mwamba

Nikasepa kumalizia show uwanja wa Nyumbani kule kule Dar mitaa ya Ukonga wakati tukiwa kwenye Gari mtoto full kula koni mwanaume nimshkilia stealing ya Gari kwa makini nisipigwe pass.

Any way shoo ikaishia Geto kwa piss kali ya Moroo

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app

Asubuhi pombe ilivyoisha akasemaje?
 
Hii kula tunda nilikuwaga napitia txt kuona wadau mnapataje, hatimae na mm imenitokea saiz nasadara manzi moja huku.
Sikua na mazoe na huyu manzi zaidi ya salam, kupishana wkt wa kuingia class, time ya msosi na makutano ya hapa na pale katika mazngira ya chuo.
Binti ghafra salama zikaanza kuwa nyingi kidume nikamtolea ivivu na kuomba namba,,,after two day ananiomba tutoke out (Night Club). Sikupoteza muda nikafight kupata mkwanja hatimae night tukatoka tumefika club hatujamaliza hata saa akadai anataka kulala hajiskii vzr, nikacheck lorg ya karibu alale me nikapari zangu.
Nimemuingiza ndan namuaga kurudi mtto akadai hawez lala peke ake,,, duuuh sikuamni kama zari ukichek mtto kakamilika kila idara wadau mtto ni msweet wakurungwa wanaelewa,,,,,,,mpaka leo nasadara anytime nikihitaji,,,japo sijajua kama ndio tumeanzisha mahusiano au tunachakatana but tuko hot sana nowdays...
Umemchukulia lodge na ukataka kumwacha mzee umelogwa
 
Kabla ya yote nataka ifahamike kuwa bandiko hili halina nia ya kukejeli wanawake tajwa hapo juu bali najaribu kuelezea uhalisia wa sehemu ya mapito yangu.
Fuatana nami

Kama mkataba wa kazi yangu ulivyonitaka niwe tayari kufanya kazi mahali popote ndani ya Tanzania na ndivyo ilivyotokea nikajikuta nipo bandarini kusubiria boti ya kuelekea zanzibar kufanya kazi huko kwa muda wa miezi sita. Ilikua ni mara yangu ya kwanza kwenda zanzibar na pia mara ya kwanza kutoka nje ya kituo kikuu cha kazi yangu hapa dar es salaam na kupangiwa kituo kingine tangu nipate mkataba wa miaka mitatu kwenye kampuni hii iliyokua na makao makuu yake ndani ya bandari ya dar es salaam. Sehemu zetu za kazi ambazo mtu angepaswa kwenda kama angehamishwa kutoka hapa makao makuu ni mtwara, tanga, unguja, pemba, mafia na bagamoyo.

Safari ilianza saa 11 jioni, nikiwa na begi langu nikaingia kwenye boti na kwenda kukaa kwenye daraja la tiketi yangu ambalo ni silver class. Sehemu niliyokaa kando yangu kulikua na msichana wa kati ya miaka 22+ ambapo yeye alitangulia kuingia kabla yangu na nilimkuta yuko bize na simu yake ya tochi, nikamsalimia na hatukua na maongezi tena kati yetu kwa muda huo. Baada ya safari kuanza na kila kitu kutulia nami nikaona nitoe simu yangu japo niperuzi. Simu yangu ilikua ni iphone 5s kwa wakati huo na ilikua siku nzuri haswa. Sasa bwana, baada ya kuitoa ile simu nikaona yule msichana amemakinika kidogo kuikazia macho, na baada ya muda akaanza kunisemesha na kuuliza ile ni simu gani, nilipomjibu akafungua mkoba wake akatoa simu kama ile ikiwa mpya kabisa akasema alitumiwa na ndugu yake kutoka canada na ametoka kuichukua lakini hawezi kuitumia na hata alipojaribu kuweka line hakuona majina. Basi nikamfanyia setting pale ikiwa ni pamoja na kumtengenezea apple id ili aweze kutumia na baada ya hapo tukawa kama watu tuliofahamiana kitambo, nikapata mpaka namba. Katika kufahamiana nikagundua kuwa yule msichana kwao mombasa lakini anaishi unguja, na akaniambia kama mipango itaenda sawa anatarajia kwenda kuishi canada miezi mitatu mpaka sita ijayo.

Baada ya kushuka pale bandarini (znz) kila mmoja (kati yetu) akashika njia yake huku tukipeana ahadi za kuwasiliana, lakini haikua hivyo kwani yule bint aliamua kunipotezea. Ni mara moja tu alipokea simu yangu baada ya kuachana pale bandarini tena ni pale nilipompigia ili kumuuliza kama amefika salama, baada hapo hakupokea tena simu wala kujibu sms. Kidume nilijaribu kwa njia zote kufanya ushawishi labda nitajibiwa lakini ikawa kinyume chake, nikakata tamaa lakini sikufuta namba. Nikapotezea kwa muda.

Baada ya wiki kama tatu hivi za kuwa busy weekend moja nikiwa mahali ninapoishi nimeshika simu yangu nikamkumbuka yule bint, nikasema wacha nijaribu leo nikatuma sms ya salamu, mara baada ya kutuma sms tu punde akanipigia. Ile kupokea bint ananiuliza mimi ni nani nikajisemea duh mpaka namba kafuta!, hata hivyo nikajitambulisha, ajabu bint akaanza kufurahi na kunilaumu kwa nini nilikua simtafuti nikashangaa!
Ktk kuendelea kuongea ndipo akaniambia mdogo wake amei restore ile simu yake (iphone) kwa bahati mbaya, na ameenda kwa fundi ameambiwa hawezi kuitumia mpaka aweke apple id iliyokuwepo awali lkn yeye anaikumbuka apple id pekee passwords amezisahau hivyo akataka kujua kama naweza kuzikumbuka, na kweli zilikua kichwani maana nilimuwekea passwords ninazotumia kwenye simu yangu.
Hata hivyo nikamwambia aje ninapoishi na hiyo simu kama anaweza, akaja.

Alivyokuja akanikuta napika sasa ili mimi nifanye kazi yake akaniambia jiko nimuachie yeye. Kazi kwangu haikua ngumu ila ikabidi nijicheleweshe ili nipikiwe kila kitu na pia nipate kuzoeana na yule bint. Akapika vikaiva na tukala pamoja, baada ya muda kdg ndipo nikampa simu yake ikiwa sawa. Yule bint aliiangalia simu mara moja tu na mara nikashtuka akiwa amenivaa mwilini huku akiwa amefurahi ajabu, akanikumbatia kwa nguvu huku napigwa mabusu hapo mzee sikulaza damu, japo nilipata usumbufu ule wa sitaki nataka lkn hatimae nilimla yule bint siku ile ile.
Rasmi sasa tukawa wapenzi baada ya lile game na ikafikia point mpaka nikawa naonewa wivu, ajabu ni kwamba hakuwahi kunionyesha kwao na hakutaka hata nipajue, sikujali. Baada ya miezi miwili ya uhusiano akaondoka kwenda mombasa na akasema anaenda kukamilisha taratibu za safari na alisafiri kweli. Kwa sasa yupo canada na hatuwasiliani baada ya kurudia zile tabia zake za kunata.

Baada ya mwezi kupita nikapata mwanamke mwingine, huyu kwao pemba ila alikua anafanya field pale bandarin unguja. Bint mweusi wa kipemba, mzur wa sura na asiekua na mambo mengi akameza ndoano yangu. Uhusiano ukaanza na ukashamiri, huyu nilimkuta bado bikra, nikampenda haswa huku nikijiwazia "huyu ndie mke".


Tulale kwanza....
Lafa weweeee

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom