Hata kama hujafafanua mimi maoni yangu ni kwamba, kama binti hana wazazi kabisa labda walifariki na akalelewa na ndugu wengine huyo hana shida ila pia chunguza kama hao ndugu waliomlea ndoa yao ipoje, kama mama ndio kila kitu huyo binti muache. Na pia kama wazazi wanaishi ila wametengana huyo...
Huwezi kunielewa ila walionielewa watakuwa wameelewa lakini pia nimeongea based on my own experience kwamba nimeoa familia ambayo baba na mama waliachana so naongea nachokijua na sio story za kusimliwa. Kwa hiyo please acha kugeneralize sijui walokole ama wapagani hapa hayahusiani tujikite tu...
Kusema ukweli binafsi nimeoa familia ambayo mama na baba walitengana, ila mtu akija kuniomba ushauri kijana anaetaka kuoa mtanisamehe sana ila siwezi kumshauri akaoe kwenye nyumba ambayo baba na mama walitengana, kama kifo ndio kiliwatenganisha hapo sawa ila eti baba anaishi na mama anaishi huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.