Kwanza nampa POLE. Ila pia kwa yule ambaye alikuw na uwezo wa kununua loti, basi alikuwa ameshajipanga kimaisha kwa yanayofuata.
So, anasikitika kupoteza lori, japo naamini alikuwa amelikatia BIMA, so kapata maumivu, japo yatapunguzwa kidogo na bima aliyokata.
Ugumu wa maisha, muwazie mama...