Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,109
- 18,326
Nilipeleka gari kwa fundi anipigie rangi, sasa baada ya kupiga rangi kweli gari lilipendeza na rangi ikawa na mng'ao mzuri sana kiasi kwambanunaweza jiona sura yako.
Baada ya kama mwaka hivi rangi imefubaa na sehemu nyingine inatoka na inabakia rangi nyeupe.
Mara ya kwanza nilidhani ile nyeupe ni rangi ya mwanzo lakini gari toka litoke japani halijawahi pigwa rangi nyeupe.
Mtu mmoja akanimbia hiyo nyeupe ni puti ambayo huwa wanaweka kuzima sehemu zilizo bonyea zikae sawa.
Lakini nikajiuliza mbona rangi original hata uikwaruze huwezi ona kitu cheupe?
Kwanini hawa mafundi wanaweka maputi mengi badala ya kutumia muda mwingi kunyoosha.
Je, tatizo ni nini? Hakuna vifaa?
Baada ya kama mwaka hivi rangi imefubaa na sehemu nyingine inatoka na inabakia rangi nyeupe.
Mara ya kwanza nilidhani ile nyeupe ni rangi ya mwanzo lakini gari toka litoke japani halijawahi pigwa rangi nyeupe.
Mtu mmoja akanimbia hiyo nyeupe ni puti ambayo huwa wanaweka kuzima sehemu zilizo bonyea zikae sawa.
Lakini nikajiuliza mbona rangi original hata uikwaruze huwezi ona kitu cheupe?
Kwanini hawa mafundi wanaweka maputi mengi badala ya kutumia muda mwingi kunyoosha.
Je, tatizo ni nini? Hakuna vifaa?