Nawashukuru wana jamvi wote mlio toa maoni yenu, ninayaheshimu sana. kwa ambao hawajaelewa mada ni kuwa yeye ndio hataki kuolewa tena na hakunipa sababu yoyote.
Jamani wana jamvi naomba ushauri wenu,
Kuna dada nilikuwa na mahusiano nae na tukakubaliana tutaoana tukimaliza chuo. Kwa bahati mbaya yeye kakwama kuendelea na chuo.Hivyo kaamua kupotezea suala la kuolewa. Ukweli wa moyoni nampenda sana japo tulikuwa tunatofautiana hapa na pale.
Ushauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.