Recent content by Bonifasi Lukanga

  1. Bonifasi Lukanga

    Gari za Cassablaca Kigoma na Tv za nyumbani

    Cassablanca wana Lg 32 inch,DreezyD98. Vumbi au tope jekundu ndio asili ya ardhi ya kigoma,na kwasababu sehemu kubwa ya barabara haina kiwango cha lami ni changamoto kwa nguo nyeupe hasa unaposafiri. Further-more Mladi wa barabara kiwango cha lami unaendelea na kakonkoo wanajenga stendi ya...
  2. Bonifasi Lukanga

    Ushuhuda: Tumbo la kuhara safarini kwenye basi la abiria

    [emoji120][emoji120] Shukran sanaa
  3. Bonifasi Lukanga

    Ushuhuda: Tumbo la kuhara safarini kwenye basi la abiria

    Yaah mkuu hiyo ni mzuri sanaa..[emoji106]
  4. Bonifasi Lukanga

    Ushuhuda: Tumbo la kuhara safarini kwenye basi la abiria

    Kiboko ya yote ni dawa inaitwa Loperamide 10mg tablet per oral, hiyo kwa brand name inaitwa kabisa kama traveller’s diarhoea drug. Mkuu hiyo unagonga kidonge kimoja tuu start dose...chap kwa haraka maumivu ya tumbo na kuhara kunashika adabu yake.. Hii dawa ni muhimu sanaa kuwa nayo safarini.
  5. Bonifasi Lukanga

    Members na nyuzi zao pendwa

    Wapi Zero IQ na nyuzi zake zile..[emoji4][emoji4]
  6. Bonifasi Lukanga

    Mwalim Alex Kashasha, mtaalamu maahiri wa Soka asiyeonekana

    [emoji5] [emoji5] [emoji119] [emoji119]
  7. Bonifasi Lukanga

    Kuku Wangu hatagi

    Anahitaji jogoo huyoo mkuu.
  8. Bonifasi Lukanga

    Msaada: Cheti changu cha Stashahada kimekosewa jina, nifanyeje?

    Siwaangushi broo,kupata mawazo nako mtaji tosha wa kuanzi mkuu.
  9. Bonifasi Lukanga

    Msaada: Cheti changu cha Stashahada kimekosewa jina, nifanyeje?

    Habarini za jioni, poleni na majukumu ya kujenga taifa, niende kwenye mada moja kwa moja. Mimi ni kijana niliyemaliza Kozi moja wapo ya Afya ngazi ya Stashahada/Diploma mwezi Septemba 2017. Mnamo tarehe 22/08/2019 nilifanikiwa kupata cheti cha taaluma yangu, lakini kuna makosa katika uandishi...
  10. Bonifasi Lukanga

    Huyu mwanamke nimjibuje?

    Pole sana mkuu,hakika tunafahamu jinsi gani unaumia sasa hivi,ila jitahidi,vumilia ni suala la wakati tuu nyakati za furaha ziko pia zitafika soon.
  11. Bonifasi Lukanga

    TANESCO Mtwara: Mgao wa umeme umeanza rasmi

    Jamani kwa kweli, huku kwetu ni kero kubwa mno,watu wanashindwa kusaga mahindi kupata unga, maji yanashindwa kupandishwa(hayatoki maji) kwa kweli hali mbaya siku ya 5 leo hakuna hata umeme
  12. Bonifasi Lukanga

    Nataka kusomea Diploma ya Afya ya Clinical officer itawezekana kweli ....

    Hapo kaka bios imekuangusha kwa mujibu wa wizara vigezo vya chini kabisa ni phy D,chem C na bios C pia ufaulu engl C na maths C kwa diploma ila jaribu kwenye privates.
Back
Top Bottom