Tatizo yeye alikuja na mkwara mzito hadi kuwatishia samaki wakubwa kwahiyo pin [emoji419] ikahusika hapa nathani jamaa anaongelea kiwanda cha kimta zaidi
Wanasema like shamba walilolima bangi ni moja ya agriculture project kubwa sana dunia zilizofanikiwa maana kwanza walilima sehemu kame sana haina hata rutuba kwanza wakachimba miamba kutafuta maji halafu wakatutubisha udongo
Hongera sana sana mkuu yani umeniongezea madini vibaya sana umenisaidia sana hapo kwenye muingiliano mimi nimefungua auto spare nina miezi mitatu nalo bado vitu vilikuwa vinanipiga chenga
Mara ya kwanza kujua hili zao lina thamani ni mkoa wa kagera nilikuta vanila inalindwa na bunduki na mbwa za kutosha ikiwa shabani inakaribia kuvunwa kwa kifupi ni madini kabisa kuna watu wameshauawa kwa ajili ya vanilla
Hata mimi kabla sijawa na familia hata dereva akimbize kama F1 nilikuwa siogopi ila nilipoanza kumiliki familia aisee nimekuwa muoga wa gari zinazokimbia
Nyongeza badala ya kutumia makopo nakushauri utumie mifuko ya lailoni kama ya karanga ni mizuri pia kuna jamaa yangu ndio anafanya hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Arusha, Kilimanjaro watu wamekaba kila kona hata majani yanauzwa Kigoma imejitenga sana mpaka umalize wilaya zote ndio ukute mkoa mwishoni kwa Zanzibar hasa Pemba chenchi ya elfu kumi mpaka uende bank
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.