Mwanadamu ameacha dira moyoni anaona fahali,
mwongozo ameupa kisogo hatari,
walai kama kamali makaburi yanaongezeka mabwanyenye wanavinjari,
kama mchezo wa kidali,
pambano si la hatari sasa harufu ya damu inanuka kila mahali,
mpaka akili zinafyatuka kama ngedere wa mochwari,
watawala...