Wazee hii inakera sana ,. Me nafikiri inabidi ifike mahala hawa wana siasa tuwaweke kando nchi tuiongoze wenyewe ,.. unyanyasaji huu ni mbaya hakuna mfano.
Nimeusoma huu mzigo ingawa kuelewa lugha ni ngumu kidogo ila ,.. it makes sence to me that hii inaitwa twende sawa when considering what ACACIA have done to us.
Hawa dada zetu huwa wengi wao hawaoni umuhimu wakutulia na mwanaume asiye na pesa kipindi wako kwenye peak 20-25 wakifika 26 na kuendelea wanajikuta wameshatumika sana halafu hakuna mwenye mpango ,. Na ss tunarudi kule 20-25 maana wao wanakuwa washapitwa na wakati..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.