Recent content by Bonge Minyama

  1. B

    Virusi vya korona vyaja kivingine!

    Acha woga covid-19 Bongo tunadunda tu.
  2. B

    Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

    Na ndio maana anastahili kuombewa kwamaana kama mtu unafanya maamuzi hayo ujue hauko sawa.
  3. B

    Nilikuwa sijaamini mpaka nilipohakikishiwa na mtu wa karibu kwamba mfalme wa kisiwa cha hapo Guam analindwa na wanajeshi wa nchi tofauti

    Angalia kilaza mwingine huyu... hv unaona hilo haliwezekani kwa hali ya kisiasa iliyopo nchini kwako???
  4. B

    Dr. Msigwa wa TUCTA kuungana na wa CCM kuwakandamiza watumishi , inauma sana

    Wazee hii inakera sana ,. Me nafikiri inabidi ifike mahala hawa wana siasa tuwaweke kando nchi tuiongoze wenyewe ,.. unyanyasaji huu ni mbaya hakuna mfano.
  5. B

    Nataka kuoa barmaid. Je, nitadumu nae?

    Ulimpataje??? Kama kwa kumlipa basi jua wako wengi wanaomlipa mpaka sasa ila pakulala anapo so halali anafanya changamsha bwege.
  6. B

    Acacia Mining in Big Corruption Scandal

    Nimeusoma huu mzigo ingawa kuelewa lugha ni ngumu kidogo ila ,.. it makes sence to me that hii inaitwa twende sawa when considering what ACACIA have done to us.
  7. B

    Utaratibu wa kurenew line za simu kupitia polisi ni kero kubwa

    Huoni kama na huo utakuwa usumbufu kwako pia.
  8. B

    Ongezeko la wadada wanaohitaji ndoa nini tatizo?

    Hawa dada zetu huwa wengi wao hawaoni umuhimu wakutulia na mwanaume asiye na pesa kipindi wako kwenye peak 20-25 wakifika 26 na kuendelea wanajikuta wameshatumika sana halafu hakuna mwenye mpango ,. Na ss tunarudi kule 20-25 maana wao wanakuwa washapitwa na wakati..
  9. B

    Sifa za wanawake/wadada wanene

    Vibonge wasumbufu tu kitandani ,.. akijigeuza mara chaga inapiga kelele yaani vurugu tu hupati hata usingizi.
  10. B

    Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

    Hawa hawajawai ridhika ni kweli kabisa
  11. B

    I hate sex

    Hii kitu hutokeaga lakini sio kwa muda mrefu lakini mara nyingi husababishwa na msongo wa mawazo ama uchovu baada ya kazi muda mrefu
Back
Top Bottom