Nataka kuoa barmaid. Je, nitadumu nae?

Nataka kuoa barmaid. Je, nitadumu nae?

Nakuhakikishia kuwa siyo kila anayefanya kazi bar anaipenda kazi hiyo. Nina rafiki yangu kaoa barmaid lakini amini ni mwaka wa nne ndani ya nyumba hakuna fujo wala nini. Na wamejaliwa kuzaa watoto wawili. Yaani maisha yake ni mazuri kabisa.
 
Kama huyo 'Barmaid' ni muhaya naomba achana nae mara moja,wahaya hawajatulia kabisa ni 'vicheche'.
 
Unaweza ukamshauri aache hiyo kazi na mkajichanga ukamfungulia ka restaurant
 
Inategemea labda kama unataka kufungua bar, ila kama unaweza kuvumilia oa tu, inategemea na lengo lako la kuoa ndo utaona kama akufaa au vipi
 
mwanamke wa kuoa awe anakuheshimu ajue wapi mnatakiwa mfikie ndoto zenu ajue kuwa ndoa sio tamthilia ni uhalisia awe na akili ya kupambanua mambo na kupambana sio unamuoa anakuja kupack body ghetto,elimu yake au kazi yake isikuzuie kufanya tendo unalotaka kufanya.

*ikifika wakati wa kuoa uso wa makeup maneno matamu tunaweka pembeni tunapandisha mezani tabia na akili yako katika kuyakabili matatizo*
One thing like your post
 
UHUNI NI TABIA YA MTU SIO KAZI ANAYOFANYA WE MUOE MTAFUTIE KAZI NYINGINE KAMA UNAOGOPA ATAPATWA NA ULIVYOMPATA WEWE
 
Wako wanawake, wanajiremba na kuingia mtaani, kutafuta Mabwana ili wapate pato la siku.

Wahudumu Wa bar, wako kazini wanaingiza kipato kutokana na kazi Yao, yawezekana pamoja na kutongozwa ( wanapenda na kupendwa)

Wafanyakazi Maofisini, wanapata kipato kupitia mishahara Yao, na wanatongozwa na kutongozwa

Mwisho kuna Mwanaume anayefaa kuwa Mume.

Kuna Mwanamke anayefaa kuwa Mke.

Sio kila mwanamke anafaa kuwa MKE.
 
zaidi ya 99% ya mabarmaid ni kunguru wasiofugika na huu ndo ukweli.mwanamke aliezoea kubadili mboga kila leo si rahisi sana kuvumilia mmoja.
kuna kazi nyingi za kufanya hapa duniani jiulize kwanini alichagua kufanya kazi hiyo
n.b sikiliza moyo wako
 
Mimi nimeoa huyo barmaid mwaka wa nne sasa, full amani heshima ndiyo usiseme ingawa nilipitia changamoto nyingi sana pindi nilipotangaza nia ya kumuoa, ndugu jamaa na marafiki walinisema sana zaidi ya sana sikusikia wala kujali la mtu.

Hadi sasa maisha yanaendelea.
Hongera. Nao ni binadamu kuna wengine wanafanya kazi hizo kutokana na changamoto za maisha
 
Nimetokea kumpenda Dada mmoja hivi ila ni muhudumu wa bar,sina uzoefu sana na watu hawa ila tangu nianze nae uhusiano ni mwaka sasa kila aikitoka kuuza huwa anakuja home kulala muda ule wakufunga bar ila tatizo ni moja tu yeye Anajiamini sana ila Mimi kidogo kaimani hakapo kulingana na mazingira yenyewe,ila ndugu zake wote wanajua na baadhi yao! Wamefika hadi nyumbani na kulala kabisa,

Hapa naomba ushauri,kama unauzoefu na wa hudumu wa bar pia hata mambo nisiyoyajua kuwahusu ni vyema wenye uzoefu tukajuzana,

Pia itapendeza hata kuniambia mambo ambayo naweza kwenda kukabiliana nayo huenda kwa sasa anaficha ili zoezi la kumuoa lifanikiwe pia ananiforce sana nikamtolee barua,kuhusu afya tumecheki mda si mrefu!

Naweza kuwasilisha,hasa mapopo wenzangu tusitupane sana apo!
Mwaka mmoja umeshafanya uchunguzi wako hapa na pale. Umemtambua vya kutosha. Ushauri kama umejipanga basi mwachishe hiyo kazi uwe na amani zaidi. Baadhi yao hawana shida kabisa hutajuta
 
oa kabsa km nafsi imeridhia , na km kitabia yuko poa oa tu ,, kama unaona kazi anayofanya ina vshawishi basi unamtafutia kazi ambayo ww mwenyew utakuwa na aman nayo
 
Mi sipendi kumpa mtu moyo, wote waliokushauri ukae nae nina uhakika wengine hawajawahi hata kugonga barmaid.

Kwa uzoefu wangu, sijawahi kumtaka mwanamke wa Bar akakataa.

Fanya haya kumchunguza:
1. Huwa hawasave namba za wateja, ukishika siku yake angalia namba alizowasiliana nazo mara ya mwisho au ukiwa nae utaona zinapiga namba ambazo hazijaseviwa (atajifanya hamjui huyo mtu)
2. Siku nyingine bar inawahi kufungwa hasa katikati ya wiki lakini yeye atakwambia amechelewa wateja walikuwa wengi (anapita kutafunwa hata bao moja)... au anawahi kwenda kazini, anapitia kupigwa kimoja cha faster
3. Ndani ya wiki kuna siku moja anakuwa off, hiyo ndio siku anatumika hasa.

Twende mbele, turudi nyuma "KUNGURU HAFUGIKI"

ukweli mchungu huu, umenena vyema kabisa, afanye maamuzi yaliyosahihi ila ajue akili kumkichwa
 
Nimetokea kumpenda Dada mmoja hivi ila ni muhudumu wa bar,sina uzoefu sana na watu hawa ila tangu nianze nae uhusiano ni mwaka sasa kila aikitoka kuuza huwa anakuja home kulala muda ule wakufunga bar ila tatizo ni moja tu yeye Anajiamini sana ila Mimi kidogo kaimani hakapo kulingana na mazingira yenyewe,ila ndugu zake wote wanajua na baadhi yao! Wamefika hadi nyumbani na kulala kabisa.

Hapa naomba ushauri,kama unauzoefu na wa hudumu wa bar pia hata mambo nisiyoyajua kuwahusu ni vyema wenye uzoefu tukajuzana,

Pia itapendeza hata kuniambia mambo ambayo naweza kwenda kukabiliana nayo huenda kwa sasa anaficha ili zoezi la kumuoa lifanikiwe pia ananiforce sana nikamtolee barua,kuhusu afya tumecheki mda si mrefu!

Naweza kuwasilisha,hasa mapopo wenzangu tusitupane sana apo!
Ulimpataje??? Kama kwa kumlipa basi jua wako wengi wanaomlipa mpaka sasa ila pakulala anapo so halali anafanya changamsha bwege.
 
Nimetokea kumpenda Dada mmoja hivi ila ni muhudumu wa bar,sina uzoefu sana na watu hawa ila tangu nianze nae uhusiano ni mwaka sasa kila aikitoka kuuza huwa anakuja home kulala muda ule wakufunga bar ila tatizo ni moja tu yeye Anajiamini sana ila Mimi kidogo kaimani hakapo kulingana na mazingira yenyewe,ila ndugu zake wote wanajua na baadhi yao! Wamefika hadi nyumbani na kulala kabisa.

Hapa naomba ushauri,kama unauzoefu na wa hudumu wa bar pia hata mambo nisiyoyajua kuwahusu ni vyema wenye uzoefu tukajuzana,

Pia itapendeza hata kuniambia mambo ambayo naweza kwenda kukabiliana nayo huenda kwa sasa anaficha ili zoezi la kumuoa lifanikiwe pia ananiforce sana nikamtolee barua,kuhusu afya tumecheki mda si mrefu!

Naweza kuwasilisha,hasa mapopo wenzangu tusitupane sana apo!
Pole na Hongera;

Ondoa hio stereoptype uliyonaya kichwani kwanza kabala hujafanya uamuzi wowote.

Mke ni nani,kwa tafsiri ya kaifrika kabisa,Mke ni mwanamke ambaye unamua kuishi naye kwa sababu una mmudu.Unajua maana ya kmmudu mwanamke?Kiafrika tunamaanisha subjugation yaani mwanamke awe mnyenyekevu kwako na sio unyenyekevu wa kinafiki.

A barmaid is just a woman with dreams and aspirations and ukiweza kummudu she is the best wife because unajua uzuri na ubaya wake ila changamoto yangu kwako ni moja tu.Mlianzaje uhusiano wenu?Je mlianza kwa ajili ya kuoana au mlianza mkadumu then sasa mnafikiria next level kama jibu ni B basi you might have found a soul mate kama ni A nena na moyo wako.

What other choices of women do you have ambao ungeweza kuwaoa,je wao ni bora than huyo BARMAID

Nitaendelea
 
Mi sipendi kumpa mtu moyo, wote waliokushauri ukae nae nina uhakika wengine hawajawahi hata kugonga barmaid.

Kwa uzoefu wangu, sijawahi kumtaka mwanamke wa Bar akakataa.

Fanya haya kumchunguza:
1. Huwa hawasave namba za wateja, ukishika siku yake angalia namba alizowasiliana nazo mara ya mwisho au ukiwa nae utaona zinapiga namba ambazo hazijaseviwa (atajifanya hamjui huyo mtu)
2. Siku nyingine bar inawahi kufungwa hasa katikati ya wiki lakini yeye atakwambia amechelewa wateja walikuwa wengi (anapita kutafunwa hata bao moja)... au anawahi kwenda kazini, anapitia kupigwa kimoja cha faster
3. Ndani ya wiki kuna siku moja anakuwa off, hiyo ndio siku anatumika hasa.

Twende mbele, turudi nyuma "KUNGURU HAFUGIKI"
Twende mbele, turudi nyuma.
 
Inategemea, ila mabamedi wengi ninaowafahamu wameishia kuwauwa waume zao. Tena mmoja kafa juzi kati hapa dar. Kisa bamedi yeye akiona mwanaume ana hela anajiona anamuhitaji, au anaweza kutaka amiliki hela zako zote awe na mamlaka, yaani ukabidhi kadi ya bank, pia akigundua una demu analipiza kisasi, kwa ufupi kuoa bamedi ni upuuzi, hao ni wa shetani achana naye
Tunatishana bhana
 
Mtafutie kazi nyingine mana huko ataendlea kushikwa tako na walevi
 
Kama anajitambua na unampenda muoe tu hakuna tatizo ila ni vizuri kama atafanya kazi nyingine tofauti na hiyo.
 
Back
Top Bottom