I hate sex

I hate sex

Jiandae umuone mwenyekiti wa CHAPUTA akupe fomu ujaze haraka cz mara nyingi nyie ndo mnakuwa active members wakongwe wanazingua.
......mimi huko siko mkuu.

Wewe endeleza tuu hiyo
 
2f1448661822f1bbd117408b8392bdee.jpg
 
Hii kitu hutokeaga lakini sio kwa muda mrefu lakini mara nyingi husababishwa na msongo wa mawazo ama uchovu baada ya kazi muda mrefu
 
Ohhh kumbe ndio kwanza uko kwenye 20's..?! Omba Mungu akupe maisha marefu maana kuishi kwingi ni kuona mengi!!
. Asante... Sana mtanza--mwenye--nia....kulingana na maneno yako haya it seems you are nearly too uzee sasa.....


So much respect
 
Back
Top Bottom