Hata Watanzania wengi waliosoma vyuoni nje ya nchi yetu, na ambao wanaishi katika nchi ambazo zinatumia Kiingereza kama lugha yao ya kwanza - UK, USA, Canada, Australia na nchi zingine - wanazungumza Kiingereza kibovu. Wengi wao hawamkaribii Kikwete. Wanachojaribu mara nyingi ni kuwaiga...