mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,855
- 8,253
MC...........`Haya haya lin`goma lya ndandalo liingie.(ngoma ya ndandalo iingie).
Lin`goma...`Badu kubaba.(bado inapashwa moto)
MC............`Mbona mnachelewa?
Lin`goma.....`Mwee kwani manyi mlitukwanyia?(we vipi kwani majani mlituchumia?)
Ing'oma lya ndandalo ,nyumbani Ndandalo ,east or west Ndandalo is the place to be mwe ngumbwike kukaja ku Ndandlalo.