Mikutano dizaini hii tuwe tunampeleka Rais Mstaafu Ben Mkapa. Marekani hawaoni aibu kumpeleka Rais Mstaafu Bill Clinton.
Kwanza Mh. Ben Mkapa ana muda wa kusoma makabrasha, uwezo wa dosoa mambo haraka anao, pia mtiririko wa hoja anao.
Hii ni nafasi for the young turks kujifunza toka kwa Mh. Ben Mkapa namna ya kuiwakilisha ktk jukwaa la kimataifa (Mh. Mkapa amejifunza toka kwa Mwl Nyerere) maana masuala mengine huwezi kuyatambua ukiwa Chuo cha Diplomasia, serikalini, UDSM n.k
Lazima tukubali kuna kitu cha kujifunza positive toka kwa Mh.Mkapa(Jukwaa la Kimataifa) mbali na mapungufu yake, ikiwa kina George W Bush, Bill Clinton, Tony Blair n.k tunajua mapungufu yao, kwa nini tunashangaa mapungufu ya Mh. Mkapa ktk nyanja zingine?
Kwanza Mh. Ben Mkapa ana muda wa kusoma makabrasha, uwezo wa dosoa mambo haraka anao, pia mtiririko wa hoja anao.
Hii ni nafasi for the young turks kujifunza toka kwa Mh. Ben Mkapa namna ya kuiwakilisha ktk jukwaa la kimataifa (Mh. Mkapa amejifunza toka kwa Mwl Nyerere) maana masuala mengine huwezi kuyatambua ukiwa Chuo cha Diplomasia, serikalini, UDSM n.k
Lazima tukubali kuna kitu cha kujifunza positive toka kwa Mh.Mkapa(Jukwaa la Kimataifa) mbali na mapungufu yake, ikiwa kina George W Bush, Bill Clinton, Tony Blair n.k tunajua mapungufu yao, kwa nini tunashangaa mapungufu ya Mh. Mkapa ktk nyanja zingine?